DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Zote Ni takataka kwa mwanaume kuendesha.vip minicopper?
Zile znawafaa mabinti wa vyuoni Rika la 18-25yr
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zote Ni takataka kwa mwanaume kuendesha.vip minicopper?
Juke old modelWatu mshahamisha uzi na kuufanya wa progres, mwenye picha ya juke atusaidie walio na freebasics
Juke new model.....hope nimetii kiu ya wadau..Watu mshahamisha uzi na kuufanya wa progres, mwenye picha ya juke atusaidie walio na freebasics
Watajie na Bei mkubwaaJuke new model.....hope nimetii kiu ya wadau..View attachment 1446436
Sent using Jamii Forums mobile app
Umetisha mkuu, halafu nasikia hii ndinga ni diesel engine au vipi?Juke new model.....hope nimetii kiu ya wadau..View attachment 1446436
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao mabint was vyuoni unasema ww juke itawauwaa na hawaiwezZote Ni takataka kwa mwanaume kuendesha.
Zile znawafaa mabinti wa vyuoni Rika la 18-25yr
Sent using Jamii Forums mobile app
Umetisha mkuu, halafu nasikia hii ndinga ni diesel engine au vipi?
Kwa matoleo ya Ulaya kuna za diesel ila matoleo ya japan zenye engine ya HR 15 ni petrol na ndiyo zipo nyingi...Umetisha mkuu, halafu nasikia hii ndinga ni diesel engine au vipi?
NISSAN JUKEhabari za wakati huu naomba kuuliza kwa yeyote ambaye anajua au analitumia gari aina ya nissan juke upatikanaji wake kwa hapa ndani na bei za hiyo gar?
Gari mbaya
Anzisha uzi wakonaombeni kujua discovery td5 uimara wake na madhaifu yake
Hizo tabia za kiwaki kupondea gari zetu…Hahahaah hakuna gari hapo...mkuu..gari imekaa lama chura vile
i eecond you!another man food is another man poison.(kwa kweli tunatofautiana, kisichonivutia mimi mwingine kinamvutia ).Aisee tunatofauti mitizamo sana,nissan juke ina sura mbaya balaa daah na zile taa zake zilivyokaa hamu ndo inaisha kabisaa.