PEP (Post - Exposure Prophylaxis) ni matibabu anayopewa mtu after been exposed to HIV ili kukukinga kuwa HIV positive.
Matibabu haya yanatakiwa kutolewa as soon as possible baada ya mtu kuwa exposed na HIV (ndani ya masaa 72) i.e kama zishapita siku tatu( masaa 72) matibabu haya hayawezi kufanya kazi
Matibabu haya hutolewa kwa muda wa mwezi mmoja( 4weeks).
Swali: Mbona hiki kitu akizungumziwa sana na watoa huduma ya afya na wadau wanaohusika na mapambano dhidi ya ukimwi?
Je ni gharama ama kuna side effects kubwa?
"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"
Naona bado kuna watu wasiojua ukweli kuhusu HIV/AIDS,mnasimuliana hadithi za kusadikika.Mtu yeyote mwenye akili timamu akiruhusu akili yake ifikirie upande wa pili wa HIV/AIDS basi atauona waziwazi uongo wote kuhusu ugonjwa huu feki katika kila nyanja.
"HIV/AIDS is a mindset disease"
Ukimwi hausababishwi na HIV,hakuna kirusi chenye uwezo wa kushusha kinga ya mtu yeyote.ARVs zikiwemo PEP ndio mpango mzima,ARVs ndio zinazosababisha Ukimwi kwa wale wanaozitumia.
Wanachokifanya hawa jamaa ni kwamba;
-Wanakwambia kwamba ukimwi unasababishwa na HIV kwa kutumia kampeni na matangazo ya kutisha ili kurubuni akili yako.
-Wanakupima na vipimo vyao feki ambavyo si kweli kwamba vinapima HIV,halafu wanakusingizia kwamba una HIV.
-Baada ya hapo wanakwambia utumie madawa feki ya ARVs ambayo hayatibu chochote na hayana faida yoyote mwilini zaidi ya hasara huku ukiamini kwamba yanapunguza makali ya ukimwi kumbe si kweli.
-Halafu ARVs ndizo zinakusababishia ukimwi baada ya kuzitumia kwa muda fulani huku ukimsingizia HIV ambaye ni hewa kwamba ndiye amesababisha.Kumbe mchawi hapa ni ARVs.
Wagonjwa wote wanaotumia ARVs ambao wana hali mbaya kiafya huwa wanakuwa na magonjwa yafuatayo;
1.Matatizo ya MOYO,
2.Matatizo ya INI,ini kufeli
3.Matatizo ya FIGO,figo kufeli
4.Upungufu wa damu,ANAEMIA,
5.CANCER,
6.Kisukari.
Haya ndiyo matatizo yanayowauwa watumiaji wa ARVs.Kama huamini fuatilia kwenye vituo vya afya ujionee mwenyewe.
Swali;
Je,matatizo hayo hapo juu yanasababishwa na HIV?Kama kweli,je ni kivipi?Kama si kweli,je nini husababisha matatizo hayo?
Jibu la kweli;
Matatizo hayo yote hapo juu hayasababishwi na HIV bali husababishwa ARVs.ARVs zinaleta LACTIC ACIDOSIS kwenye damu ambayo ndio mzizi wa matatizo yote hapo juu.Cell za mwili zinaishi katika hali ya ukosefu wa hewa ya oksijeni kwa muda wote wa matumizi ya ARVs(fermentation),cell hudhoofu na kufa(UKIMWI,KISUKARI) na nyingine hupata mutation na kuanza abnormal division(CANCER),madini kama calcium na magnesium hupotea mwilini ili kubalance alkalinity level ambapo madini haya ni muhimu ktk relaxation na contraction ya misuli ya moyo(matatizo ya moyo),pia madini ya Ca ni muhimu kwa uimara wa mifupa.Sumu hii ya ARVs inadhoofisha bone marrow ambayo ndio mzizi wa kuzalisha damu(ANAEMIA),sumu hii pia inafanya ini lishindwe kufanya kazi yake hivyo pia hupelekea figo kushindwa kufanya kazi.
ARVs ndio ukimwi wenyewe na sio HIV kama wengi wanavyodhani.HIV ni hewa tu,ARVs eg PEP ndio mpango mzima lakini watu bado hawajui na wanazidi kuzipigia debe dawa hizi hadi leo hii.Walioanzisha uongo huu wanajua ukweli wote huu,kazi kwetu sisi watu wa dunia ya tatu kutegua mtego huu.
HIV/AIDS ni biashara ya ARVs tu na si vinginevyo.Siku hizi kampeni za kupima bure zimepamba moto,watu wanadhani wamarekani wanatupenda sana,la hasha,ukweli ni kwamba wanatafuta wateja wa ARVs kwa nguvu zote kwa kutumia vipimo vyao feki vilitengenezwa kwa sayansi ya kijanja ili viwapatie wateja wengi zaidi.
Kampeni dhidi ya ugonjwa huu feki nazo ni feki pia,na ndio maana huwezi kamwe kusikia dawa au kinga ya ugonjwa huu feki imepatikana,hii ni kwa sababu ugonjwa wenyewe ni feki.Kama kuna mtu anadhani kuna swali lolote lenye utata mimi kulijibu ninawaambia kwamba hakuna swali lenye utata hapa.Ila kuna maswali yasiyohesabika ambayo hayawezi kujibika na watu wanaotetea dhana hii ya HIV/AIDS.
AIDS haiambukizwi kwa njia yoyote hata kwa ngono zembe,HIV hasababishi ukimwi,Vipimo vya HIV ni feki,ARVs hazina faida yoyote zaidi ya hasara na hazitibu chochote na ndio hizi zinazosababisha ukimwi kwa wale wanaozitumia.
Fungueni akili mtajua tu,ninaamini mna uwezo mkubwa zaidi ya huo mlionao sasa,jitahidini kufungua akili na kuangilia upande wa pili wa ugonjwa huu feki.
Narudia; "HIV/AIDS IS A MINDSET DISEASE".HIV/AIDS IS NOT REAL.