Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anapatikana hospital gani na mkoa gani?Pole ndugu yangu. Usimsahau Yesu daktari bingwa aliyepo dunia nzima.
Sarakasi zako zinapoishia ye ndo atakapoanzia.
Kwa hiyo mueleze tatizo lako na dozi yake ni ya papo kwa hapo.
Nimeona wengi wakiponywa nae zaidi ya huo ugonjwa unaokusumbua.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Mkuu pole Sana mimi pia Nina vitiligo,imenisumbua Miaka karibia kumi Sasa... Nimeshaangaika Sana. Saiv nimeamua kumuachia Mungu... Ila kajaribu Dawa za kimasai.. pia Kuna Dawa hospital zinasaidia isiongezeke. Kamuone Dermatologist regency au muhimbili anaweza kukushauri zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Email yangu kagebby@gmail.com nimejaribu kukupm but imegoma kwendaMimi nilikuwa nao lakini nilipona. Niko safarini ntakuandikia next week. Nipe Email Address yako.
Hiyo mionzi Wala haisaidiihuo unaitwa vitiligo inasemekana unatokana mwili kujishambulia (autoimmune). wanatibu kwa kukumulika na mwanga maalum.
Huku nlishaenda...aisee wale hawana msaada kwa ugonjwa huu...wanakuonesha tu picha zawatu waliopona but hawasaidiii kabisaWAPIGIE HAWA JAMAA WA KOREAN MEDICAL CLINIC WAPO KARIAKOO MTAA WA MAHIWA NA LIVINGSTONE KARIBU NA MSIKITI WA MTORO NI MA-SPECIALISTS KWENYE ISSUE HIYO, FUATILIA WEBSITE YAO NI: koreadermatologicalclinic.blogspot.com utakuta na mawasiliano yao hapo.
kila la heri
Huu ugonjwa haumi Wala hauwashi...Ni nyozi tu kabadilika rangifafanua jinsi ungonjwa huo ulivyo yaani jinsi unavyoumwa kwani jina hilo ni geni ili upate msaada zaidi
Dada mbona nakupm haiendi naomba number yakoKama unadhani mimi nafanya biashara ya kuuza dawa, kaa na ugonjwa wako. Unadhani watu niliowaandikia hiyo dawa wakapona walinipa hata shilling moja?
Huna haja ya kuniita tapeli. Ugonjwa wako, halafu unanitukana mimi niliykwisha kupona tena kwa sh. thelathini elf tu. Watu nakutana nao kwenye mikutano na vyombo vya usafiri nawaandikia dawa siwafahamu hawanifahamu. Halafu leo eti kune pm unaona nitakutapeli. Pole .
Pole sana mkuu,
Sitaki kukukatisha tamaa ya kupona lakini ukweli ni kuwa vitiligo, (mabaka meupe mno) haitibiki. Ni miongoni mwa magonjwa ya auto immune, yaani kinga ya mwili inashambulia cells zinazoitwa melanocyte ambazo ndio zinazotengeneza rangi nyeusi tuliyonayo.
Shida hii ni kasoro ya kuzaliwa na inafata ukoo japo si kila mtu katika ukoo aweza pata. Shida hii inawapata watu wa rangi zote.
Na ajabu ni kuwa pamoja na kuwa wazungu ni weupe but akiwa na vitiligo huwa inaonekana wazi (very conspicious) Dawa nyingi zimejaribiwa but hakuna iliyoibuka tiba.
Baadhi ya watu wakitumia prednisolone au hydrocortisone ya kupaka waweza pata nafuu but ni baada ya muda mrefu.
Tiba ya uhakika ni kuikubali hali hiyo, na kuipuuza kwa sababu haiumi, wala haiwashi. Otherwise nimeona watu wakipoteza fedha nyingi na hawakupona.
Kama unaishi karibu na hospitali kubwa kama Muhimbili, KCMC, Bugando au Mbeya waweza pata ushauri wa Dermatologist.
Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi ambao unasababisha ngozi kuwa na mabaka mabaka meupe kwa sababu ya kupoteza melanin. Vitiligo inaathiri watu wa rangi yoyote ya ngozi japo kwa watu wengine huwa inaonekana zaidi kutokana na rangi yake ilivyo sanasana kwa watu wenye ngozi nyeusi. Pia inatokea katika umri wowote mara nyingi katika umri chini ya miaka 40.Ungeandika maelezo yake kidogo ni ugonjwa wa nini, dalili zake na madhara yake. Huenda kuna mitishamba ya kutibu ila jina ni tatizo ila kupitia dalili watu wakaugundua na ukawa na jina tofauti na hilo la kisomi.
Matibabu hutegemea na makubaliano ya mtu mwenye tatizo na daktari wake.Habari wanajukwa.
Kama nilivyoeleza hapo juu, Naomba msaada waushauri wa kitaalamu either wa tiba za asili au za kisasa juu ya tatizo la vitiglo kwa ambao wamesha experience na kujua japo ata kwa kuuthibiti usisambae zaidi au kupunguza. Natanguliza shukrani
Nakupataje mkuu kwa mawasilianoNinaomba nipingane na wewe. Mimi nilikuwa na hili tatizo na nilipona kabisa. Anayetaka dawa ani pm nimwelekeze. Ni miaka mingi imepita lakini ninaimani kwa Mkono wa Mungu, bado ile dawa ipo.
Naomba uni in box kiongozi. Mambo ya afya ni muhimu kuliko lolote.Nakupataje mkuu kwa mawasiliano