nafiaafrca
JF-Expert Member
- Jul 26, 2016
- 248
- 308
Kama picha inanyo onesha huyu nijamaa yangu alianza kuona ngozi ikibadilika nakuwa kama mtu alie unguwa na moto au donda linaro pona amehangaika bira mafanikio ili kuirudisha ngozi yake kwenye hali ya kawaida kama kunamtu anafaham dawa anaweza kutusaidia ili nguzi uludi kwenye hali yake ya kawaida