Fahamu zaidi kuhusu Mr Kuku

Mimi nime atudy hapo uliposema munajuana kwa karibu umemaanisha nini ??
Hakuna niliposema tunajuana kwa karibu, soma nilicho andika mm sio tafsiri yako wewe..alafu Nenda Twitter kasome alicho andika yeye
 
Mkuu wewe ni nabii?
 
Vipi huyu mtu bado yupo humu ndani?
 
Unamwamini Ontario?? Mtu aliyeweka nyumba ya wazazi wa rafiki yangu kwenye mitandao huko na kuaminisha watu eti nyumba hiyo kawajengea wazazi wake..

Huyo nae ni tapeli kama wengine tu..
Mkuu isije ikawa uyo rafiki yako ndio kakudanganya
 
Alikufanya nn ? mbona mtu poa sana ? hebu jaribu kua na mtu karibu umjue mwenyewe na sio kuambiwa na watu

Ni mtu poa sana ila sio kwenye pesa, kwenye pesa kukufanya kuwa fursa kwake ni mda mfupi tu
 
Ni mtu poa sana ila sio kwenye pesa, kwenye pesa kukufanya kuwa fursa kwake ni mda mfupi tu
huyo mtandao wenyewe uliokufanya ukaingia hapa wewe ni fursa tayari, max wewe kwake n fursa, kila kitu unachotumia hujazalisha ww, kauuzia mtu au kazalisha mwingine ww kwao ni fursa,

umepungukiwa nn baada ya kua fursa kwa wote hao?
 
Kwahiyo hapo mkuu wewe ukisoma unaona kasema alijenga hiyo nyumba?? mbona kiswahili ni lugha rahisi sana ... kasema ndoto yake kaweka picha kama mfano wa kitu anachotaka fanya


Ambacho hujaelewa ni kipi, amesema watu waweke malengo 2020, akasema alijiapiza 2019 lazima awajengee wazazi wake nyumba ya kisasa ambayo ndo hiyo hapo pichani.
 
Mkuu isije ikawa uyo rafiki yako ndio kakudanganya
Teh teh teh teh.. ananidanganyaje mtu ni jirani yangu.

Muulizeni jamaa enu kwanini alimblock mchizi kwa kumuomba tu atoe picha ya nyumba ya wazazi wake kwenye huo ujinga anaowadanganya nao mitandaoni..
 
Ambacho hujaelewa ni kipi, amesema watu waweke malengo 2020, akasema alijiapiza 2019 lazima awajengee wazazi wake nyumba ya kisasa ambayo ndo hiyo hapo pichani.
Teh teh mkuu bila shaka hao kama sio washirika wake wa karibu, basi bado wana giza machoni pao..

Huyo mmoja alisema yeye ni mtu wake wa karibu so labda ndio maana anamtetea..
 
Kwahiyo hapo mkuu wewe ukisoma unaona kasema alijenga hiyo nyumba?? mbona kiswahili ni lugha rahisi sana ... kasema ndoto yake kaweka picha kama mfano wa kitu anachotaka fanya
Mkuu kama hujaelewa mie sina wajibu wa kukuelewesha hapo.. Lugha za kitapeli ziko smart sana ili likibumburuka basi apate loophole ya utetezi. Sasa huo utetezi ndio huu hapa wako teh teh teh

Unamjua kwa karibu sana au sio mazee..
 
Teh teh mkuu bila shaka hao kama sio washirika wake wa karibu, basi bado wana giza machoni pao..

Huyo mmoja alisema yeye ni mtu wake wa karibu so labda ndio maana anamtetea..

Bila shaka hyu ni mshirika wake namba moja
 
Unamwamini Ontario?? Mtu aliyeweka nyumba ya wazazi wa rafiki yangu kwenye mitandao huko na kuaminisha watu eti nyumba hiyo kawajengea wazazi wake..

Huyo nae ni tapeli kama wengine tu..

Bila shaka hyu ni mshirika wake namba moja

Wakuu msiumize vichwa ,Ontario ni Tapeli Mjanja mjanja kwa watu ambao hawana upeo lazima awaingize king,Ontario kaanzisha Shindano la kujishindia laki 1 kwa watu 10 ,mmoja wa washindi ni Dan Pol na ametaja sifa nyingi sana za Dan Pol mpaka akampa laki 1 ,ukichunguza utajua tu Dan Pol ni Ontario mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…