Fahamu zaidi kuhusu Mr Kuku

Hao broiler walikuwa hawaishi?[emoji16][emoji16]
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Wabongo tusiwe wepesi wa kushikiwa Akili Na Kanjanja mmoja!!
Hizi vikundi vya ONLINE vimekua vingi na watu wanapigwa!! Ukiwaambia et acha #Uwoga!!
Ni vizuri hizo Idea watu wazirejeshe kwenye familia,Ukoo Kama Ni kilimo mashamba ya kwenu yapo, Kama Biashara ya mazao,bidhaa mbalimbali angalie vipato vyenu kwenye familia,Ukoo wekeni hizo hisa changishaneni Mukiwa na lengo moja
Najua hata kwenye familia,au ukoo unaweza pata changamoto lakini Ni vizuri zaidi kuliko haya yanayoendelea ONLINE
 
Kuna jamaa yangu alichukua ka"nssf" kake akaamua kuweka huko km laki4 iv...skumbuki fresh... ingawa sina utaalam na izo makitu ila nlimwambia aachane nazo bora atafte biznez rahisi anayoweza kuisimamia mwenyewe... akasema ye hawezi bora awekeze....
Saiv anasema bora angeniskiza...

Saiv kanssf kameisha.... huko nako wamempuga.... dah.... kitonga noma.
 
Bado kuna wanaotetea duh
 
Sema idea ya jamaa ilikua poa sana maana hela inaingia kwenye mzunguko. Ila labda kwakua serikali inataka watu wafanye kazi sio kuweka hela wakisubiri faida, basi ana makosa
 
Vimoradi miradi hivi vya sungura mara sijui samaki mara kuku mara nyanya huwa siviamini, ni bora ifanye mwenyewe at your own pace na kujijengea uwezo taratibu, asije mtu akaja kukupa plan ya kuingiza hela haraka haraka, ni utapeli tu
 
Mmoja wa wapiga debe alikuwa huyu.
 
In
Inamaana wawekezaji walikuwa wanapata pesa zao ??
 
Unajua hesabu

Chukua 18 Billion gawanya miaka mitatu aliyo oparate Mrkuku ambzo ni siku 360×3 then uoate Figure kwasiku alikuwa anakusanya kihasi gani then uwangalie kuana uharisia...there is extra thing than upatu.
 
L
Huyu ni tapeli,si ndio huyuhuyu aliwapiga hela watu katika mradi wake wa kukopesha kupitia mtandao wa L-PESA?
L-pesa alipigaje elezea japo ??

Nimeshindwa kuumiza akiri mkopeshaji ampige mkopeshwa hemu eleza hii.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
We mbona ulikuwaga unamtetea Sana inaonekana mko kundi moja so unajifanya kutokea nyuma ya keyboard ili kuwaaminisha watu. Pumba..... Sana.
Mimi mpaka leo naweza tetea hoja ya jamaa kuna client wake aliye taperiwa...sipo upande wowote ila jambo lina angle tofauti na tunavyoliumba.
 
Kwahio tunatakiwa wote tumkosoe?

Usiwe kama Nyumbu, tumia akili yako uelewe na sio kufata tu mkumbo.
Unajua kuna hali ya ukondoo inatengenezeka automatically JF member kufata upepo ukienda agaist au kuhoji wanakugeukia ili wakupige vichwa.
 
Kumbe Jamaa ni Tapeli tu kama kina Ontario ilikuwaje akaaminika na wakulungwa? Au alitumia Ndumba na Ngaye?
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…