Fahamu zaidi kuhusu Mr Kuku

Fahamu zaidi kuhusu Mr Kuku

Mkuu up
Tatizo ni hesabu.....

Upate 100% kwenye kuku ndani ya miezi 3....Huu ni wendawazimu hapa ndipo upatu ulipo Huyo hakuwa anawalipa wateja wake kwa mauzo ya kuku stop that rubbish.

Halafu crowd funding/capital raising lazima uwe na business proposal.....mf mr kuku alikuwa anahitaji bilioni 5 kwa project yake ya kuku milioni moja basi ilibidi aweke hizo details public....sio ishu ya njoo ofisini hapana as long as unakusanya mtaji kwa umma maana yake lazima uweke details za mtaji hitajika ukishafikiwa unafunga zoezi la kukusanya mtaji.

Ajabu ni kuwa mr kuku yeye anakusanyaga mtaji full time. UPATU UPATU.

Tufanye hesabu ya Miezi 3 kwa broiler kwa mtu aliwekeza laki 7 (kuku100 anavyodai mr kuku).

Miezi 3 maana yake akifuga kwa wiki 4 atauza batch 3.

Tu assume everything is okay

Faida ya kila kuku tufanye ni elfu 2 (kwa broiler hi ni faida ya juu sana kama umewahi kufuga UTAELEWA HILI.

Kuku 100 x 2000(faida) x 3(miezi 3 ya gawio linapotolewa) unapata laki 6.

GAWIO anatoa laki 7 wakati amepata laki 6...kumbuka hiyo laki 6 hazitoshi hata gawio la mwekezaji bado yeye hajapata kitu hapo.

UJINGA NI MZIGO MZITO
upo sahihi na umepiga hesabu vizuri kweli, napenda kujua Hoja yako (mzizi) hoja yako au main point.
 
Vimoradi miradi hivi vya sungura mara sijui samaki mara kuku mara nyanya huwa siviamini, ni bora ifanye mwenyewe at your own pace na kujijengea uwezo taratibu, asije mtu akaja kukupa plan ya kuingiza hela haraka haraka, ni utapeli tu
Maana wajinga ni wengi wanazaliwa kila leo mkuu
Alafu Hao wajinga WAKIAMBIWA ukweli Wanakuwa wakali kama MBOGO [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Tatizo ni hesabu.....

Upate 100% kwenye kuku ndani ya miezi 3....Huu ni wendawazimu hapa ndipo upatu ulipo Huyo hakuwa anawalipa wateja wake kwa mauzo ya kuku stop that rubbish.

Halafu crowd funding/capital raising lazima uwe na business proposal.....mf mr kuku alikuwa anahitaji bilioni 5 kwa project yake ya kuku milioni moja basi ilibidi aweke hizo details public....sio ishu ya njoo ofisini hapana as long as unakusanya mtaji kwa umma maana yake lazima uweke details za mtaji hitajika ukishafikiwa unafunga zoezi la kukusanya mtaji.

Ajabu ni kuwa mr kuku yeye anakusanyaga mtaji full time. UPATU UPATU.

Tufanye hesabu ya Miezi 3 kwa broiler kwa mtu aliwekeza laki 7 (kuku100 anavyodai mr kuku).

Miezi 3 maana yake akifuga kwa wiki 4 atauza batch 3.

Tu assume everything is okay

Faida ya kila kuku tufanye ni elfu 2 (kwa broiler hi ni faida ya juu sana kama umewahi kufuga UTAELEWA HILI.

Kuku 100 x 2000(faida) x 3(miezi 3 ya gawio linapotolewa) unapata laki 6.

GAWIO anatoa laki 7 wakati amepata laki 6...kumbuka hiyo laki 6 hazitoshi hata gawio la mwekezaji bado yeye hajapata kitu hapo.

UJINGA NI MZIGO MZITO
Ni miezi sita mkuu nilisaau hiki.
 
Na
Nashukuru kwa hayo marekebisho ila Hata ww bado hujaiweka sawa 100% ni miezi 4 sio miezi 6.

Kwahiyo ukiweka 50m ndani ya miezi 4 unapata 50[emoji23]unakuwa na 100m unaweka 100m miezi 4 unapata 200m then unaweka milioni 200 miezi 4 ya mwisho una 400m (ndani ya mwaka tu [emoji23]).

Kwa 50m ndani ya miezi 12 una 400m
Return 100% kila miezi 4.

Haya fanya hiyo hesabu ya broiler kwa miezi 4 yako uone utapata nini. Na nimekupa super profit 2000 kwa kila kuku + everything is okay.

Wakati huo mnasema alikuwa anauza kuku bei cheap tu [emoji848]mnajitekenya na kucheka wenyewe yaani kuku bei cheap halafu return kubwa [emoji1787]

Milioni 7 hadi milioni 52 kwa mwaka. Mimi ni mfugaji nasema ninachokifanya kila siku naijua hii industry.

UJINGA NI MZIGO MZITO.View attachment 1533703
Napenda kujua hoja yako, point kuu.
 
Kumbe Jamaa ni Tapeli tu kama kina Ontario ilikuwaje akaaminika na wakulungwa? Au alitumia Ndumba na Ngaye?
Siyo ndumba alitumia mfumo wa maisha yetu hakuna taarifa za kutosha kuhusu uwekezaji na wawekezaji wadogo, kati na wakubwa. Hata watoa vibali nao hawapo makini kujua hali za baadhi ya hao wawekezaji, kwa hiyo wanakua na uwezo wa kushawishi na hatimae kujipagia fedha kwa ulaghai. Na zaidi wengi kupenda mkato kufikia mafanikio
 
Muwe mnafuatilia mambo kabla ya kutuhumu watu. Je, mnaamini watu wote walio Segerea kwa Money Laundering ni kweli wametakatisha pesa?

Nendeni Kigamboni Kisarawe 2 karibu na kiwanda cha Maji (Afya) muone mabanda makubwa sana ya kufugia Kuku tena yapo 14 na mlima wa Mbolea ya kuku. Walikua wanafuga Kuku mpaka laki 2 kwa mpigo kutokana na pesa za wawekezaji. Nenda kaulize hata majirani kama hakukua na mradi wa ufugaji uliokua ukiendelea. UPATU unatokea wapi hapo?

Huyo Wankyo Simon ndio kiboko ya kesi za Money laundering. Wanatafuta tu sababu ya kutaifisha hizo Bilioni17 za wananchi.

Kama kweli huu ni Upatu, mbona kuna miradi mingine kama hio mitatu nayoifahamu bado inaendelea na watu wanawekeza huko?

CHEMA - Unawekeza hela kisha baada ya miezi mitano unarudishiwa 60% ya pesa ulowekeza

WEKU - Picha inajieleza

JATU - Hawa wana wanachama zaidi ya 2000 na viongozi wa Serikali hadi Waziri Manyanya kashahudhuria mikutano yao. Unawekeza 1/3, wanakukopesha 2/3 na kukulimia Mahindi, Maharage, Mpunga n.k na baada ya mavuno wanakurudishia 1/3 yako plus faida yote ya mauzo ya mavuno yatokanayo na 3/3 ya mtaji.

Acheni ushamba, kilimo kina faida kikifanywa kitaalamu. Huyo Tariq wa Mr Kuku amesoma SUA na aliajiri maafisa Kilimo waliokua full time pale Shambani. Anachukua pesa yako na kuizungusha kwa faida mara NNE kabla ya kukurudishia 70% ya faida. Broiler anakuzwa kwa mwezi MMOJA tu na kuuzwa, maajabu yako wapi hapo?

Hii ni dhulma tu, hamna maelezo tofauti.

Hio Bilioni 17 imewatoa watu fulani mate.View attachment 1533329View attachment 1533332

Subiri zamu yako, ni suala la muda tu!
 
Sasa aliwatapeli vipi na miradi ilikua inaendelea na watu walikua wanapata hela zao kama kawaida?
 
Mjini pesa ipo nyingi sana kwenye mifuko ya wajinga sema tu hatujajua jinsi ya kuzibeba na kutokomeza umaskini, saivi Ontario twitter anatoa laki laki subili bomu litakalo pigwa hamtoamini zaidi ya M500
 
Licha ya kuwa kinyume na Sheria,Nani mwenye uhakika kuwa anapata faida?anaandaa hesabu?anakuwa regulated na Nani? Alichokifanya jamaa ni kama public listing (kuuza share) amabyo Ina Sheria zake na miongozo.kama anapata hasara then ni upatu maana anawapa pesa watu wa zamani kwa kutumia hela za hawa wapya na hata kama anapata faida Nani anayejua,nimeamini watanzania bado ni rahisi Sana kuibiwa tena wasomi
 
Licha ya kuwa kinyume na Sheria,Nani mwenye uhakika kuwa anapata faida?anaandaa hesabu?anakuwa regulated na Nani? Alichokifanya jamaa ni kama public listing (kuuza share) amabyo Ina Sheria zake na miongozo.kama anapata hasara then ni upatu maana anawapa pesa watu wa zamani kwa kutumia hela za hawa wapya na hata kama anapata faida Nani anayejua,nimeamini watanzania bado ni rahisi Sana kuibiwa tena wasomi
Share maana yake unakubali kupokea faida/hasara kwasababu na ww ni sehemu ya mmliki wa kampuni.

Share maana yake GAWIO sio fixed....sio uweke 7m kwa mwaka upewe 52m kama kampuni haikupata faida unadai gawio kutoka wapi.

Kampuni ina HISA ngapi zina thamani gani

Kwani lengo ilikuwa kukusanya sh ngapi au mtaji kiasi gani au ni ukusanyaji endelevu wa pesa kutoka kwa wawekezaji wapya?

Jamaa alichokuwa anakifanya kibiashara HAKIWEZEKANI HESABU ZINAKATAA.


KUHUSU ALIWEZAJE KUWALIPA WADAU.

TUMEONA ILE VIDEO MOJA YA SHUHUDA WA 7M KUWA ALILIPWA 14M AKAWEKEZA TENA AKALIPWA AKAWEKEZA TENA AKAWA ANASUBIRIA KULIPWA.


Maelezo haya yanaibua maswali kwamba je huu ndo ulipwaji unaongelewa kuwa "amelipwa akawekeza tena so pesa yake haikutoka kwenye mzunguko"

Angefanya kwa mfumo wa HISA ingekuwa easy tu kwamba mwekezaji apewe faida MTAJI ubaki ukilipa faida na mtaji how will you run the business? Je hii ndo sababu ambayo ilimfanya akusanye pesa kila siku?

KWASASA TUFUATILIE KESI MAANA ANA MAKOSA SABA.

HESABU ZINAKATAA BUSINESS MODEL YAKE ILA ANA NAFASI YA KUJITETEA MAHAKAMANI.
 
Mkuu up

upo sahihi na umepiga hesabu vizuri kweli, napenda kujua Hoja yako (mzizi) hoja yako au main point.
Hakuna biashara ya hivyo ndugu yangu...ww nikikupa 7m as running capital plus infrastructure hutaweza kutengeneza hiyo faida ya 49m kwa mwaka. Tuanzie hapo.

1.Je alikuwa anawalipa wawekezaji?

2.Kama ndiyo, Je aliwezaje kuwalipa hao watu kwa mfumo ambao haupo?

3. Je ni pesa ya kuku kama alivyodai ?

Kwa maoni yangu kama kweli (mind you nimeona testimonial moja tu YouTube ya mtu aliyelipwa) Kama kweli alikuwa anawalipa wawekezaji basi alitumia pesa za wawekezaji wapya kulipa wa zamani. Usiniulize kuhusu kuku wale waliokuwa wanafugwa, faida yake kamwe haiwezi kuwalipa wawekezaji NEVER EVER. NI MAKUSANYO MAPYA KULIPA WAWEKEZAJI WA ZAMANI.

JE KUNA TATIZO KATIKA MFUMO HUU SERIKALI SI WANGEMUACHA AENDELEE KUKUSANYA HELA KWA WATEJA WAPYA KULIPA WAWEKEZAJI WA ZAMANI? WEWE UNAONAJE?
 
Unajua hesabu

Chukua 18 Billion gawanya miaka mitatu aliyo oparate Mrkuku ambzo ni siku 360×3 then uoate Figure kwasiku alikuwa anakusanya kihasi gani then uwangalie kuana uharisia...there is extra thing than upatu.
Hoja yangu haijajikita kwenye makusanyo sana sana nimejielekeza kwenye biashara aliyokuwa anafanya.

Mm na ww hatujui makusanyo ya bilioni 17 yamegawanyikaje kwasababu tunaweza kuigawa sawasawa tusiwe sahihi.

Ukiangalia Hesabu zangu utaona naangalia sana namna ya kuzalisha faida ili yeye abaki na chake na amlipe muwekezaji.

Na mimi nipo Open minded kujifunza kutoka kwa huyu jamaa [emoji120]
 
Hakuna biashara ya hivyo ndugu yangu...ww nikikupa 7m as running capital plus infrastructure hutaweza kutengeneza hiyo faida ya 49m kwa mwaka. Tuanzie hapo.

1.Je alikuwa anawalipa wawekezaji?

2.Kama ndiyo, Je aliwezaje kuwalipa hao watu kwa mfumo ambao haupo?

3. Je ni pesa ya kuku kama alivyodai ?

Kwa maoni yangu kama kweli (mind you nimeona testimonial moja tu YouTube ya mtu aliyelipwa) Kama kweli alikuwa anawalipa wawekezaji basi alitumia pesa za wawekezaji wapya kulipa wa zamani. Usiniulize kuhusu kuku wale waliokuwa wanafugwa, faida yake kamwe haiwezi kuwalipa wawekezaji NEVER EVER. NI MAKUSANYO MAPYA KULIPA WAWEKEZAJI WA ZAMANI.

JE KUNA TATIZO KATIKA MFUMO HUU SERIKALI SI WANGEMUACHA AENDELEE KUKUSANYA HELA KWA WATEJA WAPYA KULIPA WAWEKEZAJI WA ZAMANI? WEWE UNAONAJE?
Mtu ulipiga hesabu vizuri kihasi kile sikutegemea utoe hoja hiyo ya waliotoa mwanzo wanapewa pesa ya wataotoa baadae...umeahinda kuona kama ili lifanikiwe kihasabu mmiliki wa mradi hatopata faida na itambidi atoe pesa yake ya mfukoni kuwalipa Once mtu akitoa 700K alipwe 1.4M je sichizi huyo.

Okey, Kilichonifanya niww interested na hoja yako ni kuchunguza na kupiga mahesabu ya kampuni ili upate conclusion kwamba inawezekanaje hii inamuhusu nini client ikiwa flow ya malipo yao hakuna aliye tapeliwa ndani ya miaka yote minne.

What i strictly Mrkuku hakutaperi wewe shilingi 300 yako there is million Dollar Mind behind it you need to know.
 
Hoja yangu haijajikita kwenye makusanyo sana sana nimejielekeza kwenye biashara aliyokuwa anafanya.

Mm na ww hatujui makusanyo ya bilioni 17 yamegawanyikaje kwasababu tunaweza kuigawa sawasawa tusiwe sahihi.

Ukiangalia Hesabu zangu utaona naangalia sana namna ya kuzalisha faida ili yeye abaki na chake na amlipe muwekezaji.

Na mimi nipo Open minded kujifunza kutoka kwa huyu jamaa [emoji120]
Kwanink unaBase sana na mahesabu ya yeye kupata chake, chake yeye atajua anapata wapi na anapataje Our minding Business ni Clients wanapata huduma iliyotangazwa kwa 100% Yes nini kujipa jukumu la CIA ikiwa raia wanaweka mizigo na kupewa double.
 
Huyu ndugu si anatafutwa na polisi au alishakamatwa?
 
Mtu ulipiga hesabu vizuri kihasi kile sikutegemea utoe hoja hiyo ya waliotoa mwanzo wanapewa pesa ya wataotoa baadae...umeahinda kuona kama ili lifanikiwe kihasabu mmiliki wa mradi hatopata faida na itambidi atoe pesa yake ya mfukoni kuwalipa Once mtu akitoa 700K alipwe 1.4M je sichizi huyo.

Okey, Kilichonifanya niww interested na hoja yako ni kuchunguza na kupiga mahesabu ya kampuni ili upate conclusion kwamba inawezekanaje hii inamuhusu nini client ikiwa flow ya malipo yao hakuna aliye tapeliwa ndani ya miaka yote minne.

What i strictly Mrkuku hakutaperi wewe shilingi 300 yako there is million Dollar Mind behind it you need to know.
Mkuu huna hoja yoyote unayotetea client walikuwa wanalipwa wakati huna hata uhakika na hoja yako.... Mm nimetizama hesabu maana ndio zipo public.


Kupitia Hesabu nimeona kuna ulaghai, siwezi kukaa kimya. Nimeikataa business model before hajakamatwa mr kuku na hata sasa NAIKATAA

Kwasasa tukutane Kisutu kila kitu kitajulikana.
 
Share maana yake unakubali kupokea faida/hasara kwasababu na ww ni sehemu ya mmliki wa kampuni.

Share maana yake GAWIO sio fixed....sio uweke 7m kwa mwaka upewe 52m kama kampuni haikupata faida unadai gawio kutoka wapi.

Kampuni ina HISA ngapi zina thamani gani

Kwani lengo ilikuwa kukusanya sh ngapi au mtaji kiasi gani au ni ukusanyaji endelevu wa pesa kutoka kwa wawekezaji wapya?

Jamaa alichokuwa anakifanya kibiashara HAKIWEZEKANI HESABU ZINAKATAA.


KUHUSU ALIWEZAJE KUWALIPA WADAU.

TUMEONA ILE VIDEO MOJA YA SHUHUDA WA 7M KUWA ALILIPWA 14M AKAWEKEZA TENA AKALIPWA AKAWEKEZA TENA AKAWA ANASUBIRIA KULIPWA.


Maelezo haya yanaibua maswali kwamba je huu ndo ulipwaji unaongelewa kuwa "amelipwa akawekeza tena so pesa yake haikutoka kwenye mzunguko"

Angefanya kwa mfumo wa HISA ingekuwa easy tu kwamba mwekezaji apewe faida MTAJI ubaki ukilipa faida na mtaji how will you run the business? Je hii ndo sababu ambayo ilimfanya akusanye pesa kila siku?

KWASASA TUFUATILIE KESI MAANA ANA MAKOSA SABA.

HESABU ZINAKATAA BUSINESS MODEL YAKE ILA ANA NAFASI YA KUJITETEA MAHAKAMANI.
Upo sahihi kabisa,inabidi kujiuliza maswali ya msingi Sana Kuna watu wamesoma uhasibu tena na Masters wanazo na wamepigwa hapa kilaini,ni maajabu mtu akupe guarantee ya faida ya kiasi hicho,wakati huo huo hakuna regulator
 
Mkuu huna hoja yoyote unayotetea client walikuwa wanalipwa wakati huna hata uhakika na hoja yako.... Mm nimetizama hesabu maana ndio zipo public.


Kupitia Hesabu nimeona kuna ulaghai, siwezi kukaa kimya. Nimeikataa business model before hajakamatwa mr kuku na hata sasa NAIKATAA

Kwasasa tukutane Kisutu kila kitu kitajulikana.
Jamaa unachekesha Business model like biashara ndio inaenda kufanyika...unachofanya wewe unachambua idea na mchakato mzima wa biashara ambao uchambuzi huo uliitajika uufanye kabla ya biashara ijaanza kuOperate sasa biashara isha Operate miaka minne hizo calculation zanini huu muda wa kuView je Model iliwapa watu kama ilivyosema au hapana.

Sasa unafanya uchambuzi aiseee maisha hayaa.
 
Upo sahihi kabisa,inabidi kujiuliza maswali ya msingi Sana Kuna watu wamesoma uhasibu tena na Masters wanazo na wamepigwa hapa kilaini,ni maajabu mtu akupe guarantee ya faida ya kiasi hicho,wakati huo huo hakuna regulator
Watu wamepigwa vipi ??
 
Back
Top Bottom