mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Hao broiler walikuwa hawaishi?[emoji16][emoji16]
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Kwahio Kuku alokua akifuga alikua anakula na familia yake? Ungekua kweli una ufahamu ningekuelewa kama ungesema cash flow yake ya mauzo ya Kuku hayakulingana na matarajio ya wawekezaji. Unaiweka kama vile hakua na project yoyote ya kutengeza hela. Acheni uzushi, fatilieni muelewe.
Na hizo hesabu zako ni za kitoto sana. Hio bilioni 17 ni lugha tu ya kimahamaka, una uelewa mdogo. DPP anavuta statement yako yote na kuhesabu all the CREDITS bila kujali kuna Debit zilipita. Na hata kama kweli watu wamewekeza Bilioni17, kwani wote waliwekeza siku moja?
Shule muhimu hapa
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app