Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanabodi kwa yule anayefahamu dawa ya kumaliza kabisa minyoo ya aina zote ambayo ni Sugu anijuze hapa naitafuta dawa hii.
Maana hizi Albendazol, Combatrin na Mabendazole naona zimechemsha, nahitaji kwa ajili ya mtu mzima na si mtoto dawa ambayo inauwa minyoo ya aina zote.
Karibuni bandugu na si vibaya ukiipa promo phamacy ambayo naweza kupata dawa hii.
Wanabodi kwa yule anayefahamu dawa ya kumaliza kabisa minyoo ya aina zote ambayo ni Sugu anijuze hapa naitafuta dawa hii.
Maana hizi Albendazol, Combatrin na Mabendazole naona zimechemsha, nahitaji kwa ajili ya mtu mzima na si mtoto dawa ambayo inauwa minyoo ya aina zote.
Karibuni bandugu na si vibaya ukiipa promo phamacy ambayo naweza kupata dawa hii.
Wanabodi kwa yule anayefahamu dawa ya kumaliza kabisa minyoo ya aina zote ambayo ni Sugu anijuze hapa naitafuta dawa hii.
Maana hizi Albendazol, Combatrin na Mabendazole naona zimechemsha, nahitaji kwa ajili ya mtu mzima na si mtoto dawa ambayo inauwa minyoo ya aina zote.
Karibuni bandugu na si vibaya ukiipa promo phamacy ambayo naweza kupata dawa hii.
Kinatumikaje sasa mkuuKitunguu Saumu ndio dawa
Wanabodi kwa yule anayefahamu dawa ya kumaliza kabisa minyoo ya aina zote ambayo ni Sugu anijuze hapa naitafuta dawa hii.
Maana hizi Albendazol, Combatrin na Mabendazole naona zimechemsha, nahitaji kwa ajili ya mtu mzima na si mtoto dawa ambayo inauwa minyoo ya aina zote.
Karibuni bandugu na si vibaya ukiipa promo phamacy ambayo naweza kupata dawa hii.
Kuna dawa inaitwa Zentel kidonge ni 5000/= unatumia kimoja au zaidi inategemea na ukubwa wa tatizo but kimoja ni dose na ndio komoni.Wanabodi kwa yule anayefahamu dawa ya kumaliza kabisa minyoo ya aina zote ambayo ni Sugu anijuze hapa naitafuta dawa hii.
Maana hizi Albendazol, Combatrin na Mabendazole naona zimechemsha, nahitaji kwa ajili ya mtu mzima na si mtoto dawa ambayo inauwa minyoo ya aina zote.
Karibuni bandugu na si vibaya ukiipa promo phamacy ambayo naweza kupata dawa hii.
Unawashwa nn hasa?Habari wanajf Nina tatizo la minyoo nilienda kupima nikaambiwa ni minyoo ya hookworms nikatumia dawa lakini bado tatizo la kuwashwa bado lipo.
Nikaja hapa nikaona Kuna tiba ya kitunguu swaumu nimeanza wiki ya pili sasa ila bado tatizo lipo.
Naombeni msaada ni dawa gani inaweza maliza hili tatizo:
Niliambiwa hiyo minyoo ndio inayo washaUnawashwa nn hasa?