Sehem ya haja kubwa mkuu.Pole unawashwa sehemu zipi za mwili?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sehem ya haja kubwa mkuu.Pole unawashwa sehemu zipi za mwili?!
Hahahhahahahahahaa mkuu una utani wa ngumiUnawashwa nn hasa?
Tumia dawa ya zentel kiboko only 2days, inaua minyoo aina zote, ni dawa ya maji imewekwa kwenye kichupa kidogo, inapatikana kwenye maduka ya dawa kwa sh. 5000, Matumizi yake unakunywa yote, asubuhi sana kabla hujala chochote, believe me hii dawa ni kibokoHabari wanajf Nina tatizo la minyoo nilienda kupima nikaambiwa ni minyoo ya hookworms nikatumia dawa lakini bado tatizo la kuwashwa bado lipo.
Nikaja hapa nikaona Kuna tiba ya kitunguu swaumu nimeanza wiki ya pili sasa ila bado tatizo lipo.
Naombeni msaada ni dawa gani inaweza maliza hili tatizo:
Kweli Mkuu hata mie huwa ananisumbua sanaEnterobius vermicularis ndio anasababisha mtekenyo kwenye anus(pruritus ani)
Mbona mie Nilitumia ya kidonge lakini sijaona msaadaTumia dawa ya zentel kiboko only 2days, inaua minyoo aina zote, ni dawa ya maji imewekwa kwenye kichupa kidogo, inapatikana kwenye maduka ya dawa kwa sh. 5000, Matumizi yake unakunywa yote, asubuhi sana kabla hujala chochote, believe me hii dawa ni kiboko
Albendazole inamaliza kaziKweli Mkuu hata mie huwa ananisumbua sana
Nimeshatumia hiyo mkuu tena ZENTELAlbendazole inamaliza kazi
Mayai yake hutulia kwenye shuka na nguo za ndani,Nimeshatumia hiyo mkuu tena ZENTEL
Daaaaahhhh Aiseeeeeeeee sawa mkuu,Mayai yake hutulia kwenye shuka na nguo za ndani,
Kwa hiyo kuwaondoa kabisa fua na upige pasi nguo hizo zote ulizogusana nazo pindi wamekushika
Unafanya Kazi gani? Unaishi Wapi kwa sasa?Daaaaahhhh Aiseeeeeeeee sawa mkuu,
ila kuna kitu kingine some time najihisi kama kuna vitu vinatembea/vinacheza kwenye Mbavu, tumboni na hata kiunoni mpaka miguuni. Hivi ni nini tatizo zaidi mkuu...?
Mie ni fundi mechanical, naishi Dar es SalaamUnafanya Kazi gani? Unaishi Wapi kwa sasa?
Unamaanisha vitu vinacheza kwa nje na kuacha michirizi ama?Mie ni fundi mechanical, naishi Dar es Salaam
Hyo ni kachumbariNyanya: Dawa kiboko ya minyoo
Minyoo ni wadudu hatari ambao huingia tumboni mwa binadamu na kusababisha matatizo kadhaa ya kiafya. Ukubwa wa minyoo tumboni hutofautiana, kuna minyoo yenye urefu wa kuanzia inchi sita hadi inchi 26, ikitegemea imekaa kwa muda gani tumboni...
[emoji23][emoji23][emoji23]Kweli Mkuu hata mie huwa ananisumbua sana
Kachumbar ya vitunguu swaum vitupuHyo ni kachumbari
Kuna mpaka dozi tatu mfulizo ikitegemea unatibu minyoo aina gani. Soma vizuri yale maelekezo kwenye ZentelNimeshatumia hiyo mkuu tena ZENTEL
najisaidia haja kubwa imetawanyika kama mavi ya mbuzi, msaada tafadhaliNimeshatumia hiyo mkuu tena ZENTEL