Fahamu zaidi kuhusu tatizo la minyoo sugu na tiba yake

Mayai yake hutulia kwenye shuka na nguo za ndani,
Kwa hiyo kuwaondoa kabisa fua na upige pasi nguo hizo zote ulizogusana nazo pindi wamekushika
Hii mkuu inawezekana ni kwel maana nilitembelewa na mgeni tukachangia godoro mashuka kwa ujumla hali yangu imehamia kwake...
 
habari,,, Nina tatizo la kuwashwa sehem mbalimbali za mwili ikiwemo tumboni karbia na kitov, kwenye mapaja,, hadi katika uume pia na sehem nyingine nying nishazunguka hospital..
Mkuu vp hali yako na je ulitumia dawa gani
 
Je Ni muda gani mzuri wa kutumia wa kutumia huo mchanganyiko?
 
Mkuu kwema? Ulisort hili tatizo?
Napitia hii changamoto, Msaada wako tafadhali.
Ilitumia dawa gani kuosort hili?
 
Kwema kaka, Mrejesho tafadhali.
Ulitumia njia gani kumuondoa huyu kamanda Hookworm maana nami napitia changamoto hiyo.
 
Na kwa anaejisaidia haja Kubwa inatoka na minyoo midogo midogo na wakati mwingine umekaa tu unausikia ukitekenya na kutoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…