Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aliyeleta mada hakugusia kabisa vitu vingine muhimu kwa wachagga: kusogeza mipaka, kupenda "ela" (kukwiba), kukaa mbali na wake zao, urithi kwa wanaume tu, kisusio.
Ok then! Hao wanawake wanaokucfia ts just they are hooking ua bucks buddy! They also want money. Pili cna cha kuniliza bse mie cio mchagga arifu.....i wanna know the facts only bse mengi yanapotoshwa kuhusu hawa watu.
naona wadau mnasema nimesau kuandika hiki mara kile kuhusu wachagga.nilichokiandika sijakitunga mimi.nime-copy toka mtandao wa wikipedia na ku-paste hapa jamvini ndio maana nikaweka link chini ya thread kuonyesha source of information.kwa anaeteka kusahihisaha au kuongeza taarifa aingie katika mtandao wa wikipedia kuna option ya ku-edit.Sifa moja aliyosahau kuiandika mtoa mada ni..........
Endelea kuwapa hizo nguvu bse humu jamvini wapo and soon watahamia kwako wote.......then i will bet my neck.Naona bado hujanielewa, mimi siwapi pesa bali nguvu zangu za kiume. Soma mistari tena usikurupuke tu kunijibu.
Kwasababu ni wachaga.Period!mleta mada kuna kitu amesahau."kwanini wachaga wengi sura zao zimefafana?yaani ukimwaona sura tu, utajua huyu ametokea moshi,why?
Hongera arifu...... Mie ni mkikuyu na namiliki eneo rombo an ma yf to be ni mchagga thts nice....Nadeclea interest "mamsapu wangu mchaga tena wa rombo mashati" ukoo kimario! Hanipi shida walasioni uchagga wake juu yahaya yasemwayo, labda wale wa chagga wa kale(enzi za mwalimu).
Sioni umuhimu wake hata kidogo! Kwa zamani miaka ya 47 ilikuwa hivi ila siku hizi karibia kila kabila limesoma na wachagga wengi walisomeshwa na waseminari kwa bure enzi zile kwani wazazi wao walikuwa hawana uwezo na ni wafanyakazi wa seminari. Kwa hiyo wachagga walikuwa hawana budi kusoma.
kwa hiyo unataka kusema wakati wachaga wanafanya kazi kwenye seminari makabila mengine walikuwa wapi? wasukuma walikuwa wakivua samaki? haihusu wachaga siku zote ni watu wakuona mbali
kwa vitega uchumi vilivyopo kweli mkoa huu unastahili kuitwa jiji
Kwa hii ya tatu ni kwa sababu wanaume wengi wa kichagga hawajui mapenzi, hii wala si siri. Utakuta jamaa yupo na demu/mke wake kitandani huku anawaza akaibe wapi ama akihamka asubuhi afanye kitu gani huku demu/mke anawaza akajitongoze kwa nani ili afurahishe nafsi yake. Na nafikiri hii pia inachangia kina Wolper, Uwoya, Lulu, na visichana vingine vya kichagga hapa Bongo kuwa viruka njia,[/QUOTE
Mchango wako hauna uthibitisho. Ni dhana tupu.
Monyaiichi, sikia hizi habari za wachagga kuwa watu wa kuona mbali si za ukweli ila ni kasumba tu. Nakubaliana nawe to some extent kuwa wachagga wanapenda ku husstle, lakini I am telling you as I know si porojo wala nini...hakuna mtu asiyependa kuwa na pesa au amaisha mazuri. Watu wengi ni husstlers hapa bongo na ndiyo maana mpaka likazuka hili jina la wamachinga unafikiri ni kwa nini? wamachinga ni watu wa kusini, si ndiyo au nao ni wachagga kwa mtazamo wako?
Unazungumzia "uniqueness"?mleta mada kuna kitu amesahau."kwanini wachaga wengi sura zao zimefafana?yaani ukimwaona sura tu, utajua huyu ametokea moshi,why?
Ok then! Hao wanawake wanaokucfia ts just they are hooking ua bucks buddy! They also want money. Pili cna cha kuniliza bse mie cio mchagga arifu.....i wanna know the facts only bse mengi yanapotoshwa kuhusu hawa watu.
Wengi wao ni waizi/majambazi.