Hahahaaaaaaaa! EXPOSURE!!!!!!!!!!!!! Ipi labda ambayo sina? Mimi mthomi tena nimesoma shule za bei chafu kwa enzi hizo, wazazi wangu alhamdulilah wana PROFESSION zao, ndugu zangu MASHALLAH wameiona dunia na wanajiweza sanaa tu! Na mimi mwenyewe si haba I HAVE DATED SOME HIGHLY SUCCESSFUL MEN! THEY TOOK ME PLACES, Nimefanya kazi MULTINATIONAL COMPANIES na watu wa maana hadi EXPATRIATES!!!!!!!! Nimedhunguka dhunguka dunia kwa ndugu dhangu abroad, nimesoma higher learning institutions. SASA SIJUI EXPOSURE GANI UNAYOSEMEA???????????? LABD NIKO OVER EXPOSED!!!!!!! YOU DONT KNOW ME DUDE!!!!!!!!! DONT TALK OF SOMETHING YOU DONT HAVE A CLUE.
TRUST ME WEALTHY MEN ARE THE WORSTTTTTTTTTTTTTTTTT!!!!!!!! Bora hata wa uswazi kidogo wana utu![/Q Ndo nlichokua naongea....embu soma coment zako na post zako they are similar in some facts kuhusu maisha...kuna NEGATIVITY unazoongea kuhusu maisha n u always talk about that over and over again(kwa njia tofauti)....na exposure nliongea sio ya shule, kuasafiri nchi mabli mabli au all that...ni exposure ya maisha tu kujua aina mabali mabali za maisha na mahusiano na maisha kwa ujumla(kujua kuna watu wanaishi maisha ya kupendana na yanapendana, kujua kuna wanawake wanawaheshimu wanaume na maisha yanaenda kujua kuna watu wana-hustle kutafuta hela kawaida na inawezekana and all that)...I know hatuwezi kulingana kuhusu ufahamu wetu wa maisha...ila kama unajua kitu flani au maisha flani it doen't mean hamna maisha mengine...
Koh! Koh! Koh! Doc You make me SPEECHLESS!!!!!!!!!!!!! so now SINA EXPOSURE YA MAISHA? Sababu naishi MARS au PLUTO! Sasa huko shule, makazini, familia, majirani kote SIONI MAISHA YAO SO SINA EXPOSURE!!!!!!!!!!!
Hahahaaaaaaaaa! DOC sijabisha hao watu HAWAPO! ILA WAMEPUNGUA SANAAAA WENGI NI WAKO 50'S na wanaelekea kuwa EXTINCT!!!!!!!!!!!
Come to think of it I TRY TO BELIEVE SO MYSELF!!!!!!!!!! But what i KEEP SEEING makes me a doubtful being. Nyingi SHOW OFF NA ILLUSIONS TU! Watu mbele za watu wanashana mikono, full mapendo, ukichunguza kundani baba ana watoto wa nje balaaaa! Hahahaaaaaaa!