Faida 10 za kuoa mwanamke mwenye mtoto (single mother)

Faida 10 za kuoa mwanamke mwenye mtoto (single mother)

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
π—™π—”π—œπ——π—” 𝗭𝗔 π—žπ—¨π—’π—” 𝗠π—ͺπ—”π—‘π—”π— π—žπ—˜ 𝗠π—ͺπ—˜π—‘π—¬π—˜ 𝗠𝗧𝗒𝗧𝗒

1.Unamuoa wakati ameshapevuka kiakili tayari (Hana utoto utoto).

2.Atalea vizuri watoto mtakao zaa kwa sababu ameshalea mtoto wa kwanza kwa hiyo anao uzoefu wa kulea.

3.Anajua thamani ya kupendwa kwa sababu alishawahi kutendwa ama kuushi na mwanaume.

4.Hatatamani kukupoteza kwa sababu alishawahi kumpoteza ampendaye huko nyuma.

5.Atajilinda sana asikukosee kwa sababu ameshajifunza kupitia makosa yalio mtokea huko nyuma.

6.Akikukosea atakuwa mwepesi wa kuomba msamaha kwa sababu anajua hasara ya kutokuomba msamaha.

7.Anajua thamani ya kuitwa mke wa fulani, kwa sababu aliwahi kuipata fursa hiyo akaipoteza, au huyo mume fulani alimtumia vibaya.

8.Anajua umuhimu wa kuwa mvumilivu, kwa sababu ameshajifunza na kujua kwamba kila mwanaume ana mapungufu yake hakuna mkamilifu.

9.Una kuwa na uhakika kabisaa kuwa huyo sio Mgumba.

[emoji736]ZINGATIA[emoji736]

1.Hawa watu wanafaa na wana haki ya kuolewa na kuwa na ndoa zao

NB: other factors remain constant ie mature of women, ancestry behavior like witch, uchoyo &. Absence of big nyashi....

Team kataa ndoa ...sio mahali penu hapa[emoji3063][emoji3063]
1733630087217.jpg
 
Baadhi ya Hasara:

1. Majukumu ya malezi.
2. Mzigo wa kifedha.
3. Mgawanyo wa muda.
4. Uwepo wa baba wa mtoto.
5. Utayari wa kiakili.
6. Mtoto kuwa kipaumbele.
7. Shinikizo la kijamii.
8. Matarajio ya mtoto.
9. Changamoto za nidhamu.
10. Masuala ya urithi.
11. Migogoro ya familia kubwa.
12. Kutoaminiana.
13. Hofu ya mapenzi ya dhati.
14. Uhusiano wa zamani wa mwenza.
15. Malezi yanayotofautiana.
16. Ukosefu wa faragha.
17. Maamuzi ya pamoja kuhusu mtoto.
18. Gharama za elimu ya mtoto.
19. Ushindani wa upendo.
20. Hofu ya kushindwa kukubalika.
21. Kujisikia kutengwa.
22. Mtazamo hasi wa jamii.
23. Ugumu wa kuanzisha ukaribu na mtoto.
24. Shinikizo la kifamilia kutoka pande zote mbili.
25. Hofu ya kuumizwa.
26. Uvumilivu wa hali zisizotarajiwa.
27. Kuongeza idadi ya familia ghafla.
28. Kutokuwa na uhuru wa kufanya maamuzi.
29. Migogoro ya muda wa ubora.
30. Mtoto kutokuwa tayari kukubali mahusiano mapya.
31. Kujiweka pembeni wakati mtoto yupo.
32. Mizozo ya fedha.
33. Hofu ya kupuuzwa.
34. Mtoto kutafuta baba wa damu.
35. Ujinga wa mahitaji ya malezi.
36. Changamoto za kushirikiana majukumu.
37. Hali ya kutokuwa sawa na mtoto.
38. Kushughulika na masuala ya zamani ya mwenza.
39. Maoni ya marafiki kuhusu uhusiano.
40. Kujitahidi kuthibitisha thamani yako kwa mwenza.
41. Hofu ya kutoheshimiwa.
42. Mtoto kushikilia mahusiano ya zamani.
43. Kutoelewana kuhusu mipaka ya mtoto.
44. Migongano ya malezi.
45. Ugumu wa kujenga uhusiano wa kiroho.
46. Kutoweka nafasi yako katika familia.
47. Shinikizo la kuhifadhi amani.
48. Hofu ya kufeli kama baba wa kambo.
49. Muda mwingi wa kuhangaikia masuala ya mtoto.
50. Kukosa nafasi ya kuwa na familia mpya kutoka mwanzo.
 
Baadhi ya Hasara:

1. Majukumu ya malezi.
2. Mzigo wa kifedha.
3. Mgawanyo wa muda.
4. Uwepo wa baba wa mtoto.
5. Utayari wa kiakili.
6. Mtoto kuwa kipaumbele.
7. Shinikizo la kijamii.
8. Matarajio ya mtoto.
9. Changamoto za nidhamu.
10. Masuala ya urithi.
11. Migogoro ya familia kubwa.
12. Kutoaminiana.
13. Hofu ya mapenzi ya dhati.
14. Uhusiano wa zamani wa mwenza.
15. Malezi yanayotofautiana.
16. Ukosefu wa faragha.
17. Maamuzi ya pamoja kuhusu mtoto.
18. Gharama za elimu ya mtoto.
19. Ushindani wa upendo.
20. Hofu ya kushindwa kukubalika.
21. Kujisikia kutengwa.
22. Mtazamo hasi wa jamii.
23. Ugumu wa kuanzisha ukaribu na mtoto.
24. Shinikizo la kifamilia kutoka pande zote mbili.
25. Hofu ya kuumizwa.
26. Uvumilivu wa hali zisizotarajiwa.
27. Kuongeza idadi ya familia ghafla.
28. Kutokuwa na uhuru wa kufanya maamuzi.
29. Migogoro ya muda wa ubora.
30. Mtoto kutokuwa tayari kukubali mahusiano mapya.
31. Kujiweka pembeni wakati mtoto yupo.
32. Mizozo ya fedha.
33. Hofu ya kupuuzwa.
34. Mtoto kutafuta baba wa damu.
35. Ujinga wa mahitaji ya malezi.
36. Changamoto za kushirikiana majukumu.
37. Hali ya kutokuwa sawa na mtoto.
38. Kushughulika na masuala ya zamani ya mwenza.
39. Maoni ya marafiki kuhusu uhusiano.
40. Kujitahidi kuthibitisha thamani yako kwa mwenza.
41. Hofu ya kutoheshimiwa.
42. Mtoto kushikilia mahusiano ya zamani.
43. Kutoelewana kuhusu mipaka ya mtoto.
44. Migongano ya malezi.
45. Ugumu wa kujenga uhusiano wa kiroho.
46. Kutoweka nafasi yako katika familia.
47. Shinikizo la kuhifadhi amani.
48. Hofu ya kufeli kama baba wa kambo.
49. Muda mwingi wa kuhangaikia masuala ya mtoto.
50. Kukosa nafasi ya kuwa na familia mpya kutoka mwanzo.
Umemaliza IGWEEEEEEE
 
Baadhi ya Hasara:

1. Majukumu ya malezi.
2. Mzigo wa kifedha.
3. Mgawanyo wa muda.
4. Uwepo wa baba wa mtoto.
5. Utayari wa kiakili.
6. Mtoto kuwa kipaumbele.
7. Shinikizo la kijamii.
8. Matarajio ya mtoto.
9. Changamoto za nidhamu.
10. Masuala ya urithi.
11. Migogoro ya familia kubwa.
12. Kutoaminiana.
13. Hofu ya mapenzi ya dhati.
14. Uhusiano wa zamani wa mwenza.
15. Malezi yanayotofautiana.
16. Ukosefu wa faragha.
17. Maamuzi ya pamoja kuhusu mtoto.
18. Gharama za elimu ya mtoto.
19. Ushindani wa upendo.
20. Hofu ya kushindwa kukubalika.
21. Kujisikia kutengwa.
22. Mtazamo hasi wa jamii.
23. Ugumu wa kuanzisha ukaribu na mtoto.
24. Shinikizo la kifamilia kutoka pande zote mbili.
25. Hofu ya kuumizwa.
26. Uvumilivu wa hali zisizotarajiwa.
27. Kuongeza idadi ya familia ghafla.
28. Kutokuwa na uhuru wa kufanya maamuzi.
29. Migogoro ya muda wa ubora.
30. Mtoto kutokuwa tayari kukubali mahusiano mapya.
31. Kujiweka pembeni wakati mtoto yupo.
32. Mizozo ya fedha.
33. Hofu ya kupuuzwa.
34. Mtoto kutafuta baba wa damu.
35. Ujinga wa mahitaji ya malezi.
36. Changamoto za kushirikiana majukumu.
37. Hali ya kutokuwa sawa na mtoto.
38. Kushughulika na masuala ya zamani ya mwenza.
39. Maoni ya marafiki kuhusu uhusiano.
40. Kujitahidi kuthibitisha thamani yako kwa mwenza.
41. Hofu ya kutoheshimiwa.
42. Mtoto kushikilia mahusiano ya zamani.
43. Kutoelewana kuhusu mipaka ya mtoto.
44. Migongano ya malezi.
45. Ugumu wa kujenga uhusiano wa kiroho.
46. Kutoweka nafasi yako katika familia.
47. Shinikizo la kuhifadhi amani.
48. Hofu ya kufeli kama baba wa kambo.
49. Muda mwingi wa kuhangaikia masuala ya mtoto.
50. Kukosa nafasi ya kuwa na familia mpya kutoka mwanzo.
Nina ukaribu asilimia 85% na madaktari na maprofesa chuo kishiriki Cha elimu Dar es salaam ,(DUCE) Je unaniruhusu nianze kuwaoomba tufanye mpango wa kukupa Doctorate ya heshima maana umeonekana kuwa mvumbuzi wa Mambo yaliyowashinda wanaume wengi?
 
π—™π—”π—œπ——π—” 𝗭𝗔 π—žπ—¨π—’π—” 𝗠π—ͺπ—”π—‘π—”π— π—žπ—˜ 𝗠π—ͺπ—˜π—‘π—¬π—˜ 𝗠𝗧𝗒𝗧𝗒

1.Unamuoa wakati ameshapevuka kiakili tayari (Hana utoto utoto).

2.Atalea vizuri watoto mtakao zaa kwa sababu ameshalea mtoto wa kwanza kwa hiyo anao uzoefu wa kulea.

3.Anajua thamani ya kupendwa kwa sababu alishawahi kutendwa ama kuushi na mwanaume.

4.Hatatamani kukupoteza kwa sababu alishawahi kumpoteza ampendaye huko nyuma.

5.Atajilinda sana asikukosee kwa sababu ameshajifunza kupitia makosa yalio mtokea huko nyuma.

6.Akikukosea atakuwa mwepesi wa kuomba msamaha kwa sababu anajua hasara ya kutokuomba msamaha.

7.Anajua thamani ya kuitwa mke wa fulani, kwa sababu aliwahi kuipata fursa hiyo akaipoteza, au huyo mume fulani alimtumia vibaya.

8.Anajua umuhimu wa kuwa mvumilivu, kwa sababu ameshajifunza na kujua kwamba kila mwanaume ana mapungufu yake hakuna mkamilifu.

9.Una kuwa na uhakika kabisaa kuwa huyo sio Mgumba.

[emoji736]ZINGATIA[emoji736]

1.Hawa watu wanafaa na wana haki ya kuolewa na kuwa na ndoa zao

NB: other factors remain constant ie mature of women, ancestry behavior like witch, uchoyo &. Absence of big nyashi....

Team kataa ndoa ...sio mahali penu hapa[emoji3063][emoji3063]View attachment 3213431
Haya yawezekana kama tu, chanzo Cha yeye kuwa single mom ni 100% makosa ya mwanaume aliyezaa naye. La sivyo, single mama atakuvuruga sana.
 
Uzi
Baadhi ya Hasara:

1. Majukumu ya malezi.
2. Mzigo wa kifedha.
3. Mgawanyo wa muda.
4. Uwepo wa baba wa mtoto.
5. Utayari wa kiakili.
6. Mtoto kuwa kipaumbele.
7. Shinikizo la kijamii.
8. Matarajio ya mtoto.
9. Changamoto za nidhamu.
10. Masuala ya urithi.
11. Migogoro ya familia kubwa.
12. Kutoaminiana.
13. Hofu ya mapenzi ya dhati.
14. Uhusiano wa zamani wa mwenza.
15. Malezi yanayotofautiana.
16. Ukosefu wa faragha.
17. Maamuzi ya pamoja kuhusu mtoto.
18. Gharama za elimu ya mtoto.
19. Ushindani wa upendo.
20. Hofu ya kushindwa kukubalika.
21. Kujisikia kutengwa.
22. Mtazamo hasi wa jamii.
23. Ugumu wa kuanzisha ukaribu na mtoto.
24. Shinikizo la kifamilia kutoka pande zote mbili.
25. Hofu ya kuumizwa.
26. Uvumilivu wa hali zisizotarajiwa.
27. Kuongeza idadi ya familia ghafla.
28. Kutokuwa na uhuru wa kufanya maamuzi.
29. Migogoro ya muda wa ubora.
30. Mtoto kutokuwa tayari kukubali mahusiano mapya.
31. Kujiweka pembeni wakati mtoto yupo.
32. Mizozo ya fedha.
33. Hofu ya kupuuzwa.
34. Mtoto kutafuta baba wa damu.
35. Ujinga wa mahitaji ya malezi.
36. Changamoto za kushirikiana majukumu.
37. Hali ya kutokuwa sawa na mtoto.
38. Kushughulika na masuala ya zamani ya mwenza.
39. Maoni ya marafiki kuhusu uhusiano.
40. Kujitahidi kuthibitisha thamani yako kwa mwenza.
41. Hofu ya kutoheshimiwa.
42. Mtoto kushikilia mahusiano ya zamani.
43. Kutoelewana kuhusu mipaka ya mtoto.
44. Migongano ya malezi.
45. Ugumu wa kujenga uhusiano wa kiroho.
46. Kutoweka nafasi yako katika familia.
47. Shinikizo la kuhifadhi amani.
48. Hofu ya kufeli kama baba wa kambo.
49. Muda mwingi wa kuhangaikia masuala ya mtoto.
50. Kukosa nafasi ya kuwa na familia mpya kutoka mwanzo.
Uzi ufungwe....jamaa katoa faida sijui 7,wewe umetoa hasara kipeuo cha pili cha hizo faida(zingine hata hazieleweki)
 
Nina ukaribu asilimia 85% na madaktari na maprofesa chuo kishiriki Cha elimu Dar es salaam ,(DUCE) Je unaniruhusu nianze kuwaoomba tufanye mpango wa kukupa Doctorate ya heshima maana umeonekana kuwa mvumbuzi wa Mambo yaliyowashinda wanaume wengi?
Ungeanza tu huo mchakato mkuu... mimi naangalia sanamu yake tujenge wapi.
 
π—™π—”π—œπ——π—” 𝗭𝗔 π—žπ—¨π—’π—” 𝗠π—ͺπ—”π—‘π—”π— π—žπ—˜ 𝗠π—ͺπ—˜π—‘π—¬π—˜ 𝗠𝗧𝗒𝗧𝗒

1.Unamuoa wakati ameshapevuka kiakili tayari (Hana utoto utoto).

2.Atalea vizuri watoto mtakao zaa kwa sababu ameshalea mtoto wa kwanza kwa hiyo anao uzoefu wa kulea.

3.Anajua thamani ya kupendwa kwa sababu alishawahi kutendwa ama kuushi na mwanaume.

4.Hatatamani kukupoteza kwa sababu alishawahi kumpoteza ampendaye huko nyuma.

5.Atajilinda sana asikukosee kwa sababu ameshajifunza kupitia makosa yalio mtokea huko nyuma.

6.Akikukosea atakuwa mwepesi wa kuomba msamaha kwa sababu anajua hasara ya kutokuomba msamaha.

7.Anajua thamani ya kuitwa mke wa fulani, kwa sababu aliwahi kuipata fursa hiyo akaipoteza, au huyo mume fulani alimtumia vibaya.

8.Anajua umuhimu wa kuwa mvumilivu, kwa sababu ameshajifunza na kujua kwamba kila mwanaume ana mapungufu yake hakuna mkamilifu.

9.Una kuwa na uhakika kabisaa kuwa huyo sio Mgumba.

[emoji736]ZINGATIA[emoji736]

1.Hawa watu wanafaa na wana haki ya kuolewa na kuwa na ndoa zao

NB: other factors remain constant ie mature of women, ancestry behavior like witch, uchoyo &. Absence of big nyashi....

Team kataa ndoa ...sio mahali penu hapa[emoji3063][emoji3063]View attachment 3213431
Huwajui wanawake! Nyamaza
 
4.Hatatamani kukupoteza kwa sababu alishawahi kumpoteza ampendaye huko nyuma.
Mtoto wa kiume kukimbilia Single Mother ni UDHAIFU, U-DOMO ZEGE, ULOFA & USHAMBA. Yaani ni sawa na Porini Swala wapo wengi ila wewe unaenda kula Mzoga, huu ni Udhaifu.

Hakuna cha maana utakipata kwa single mother ambaye mzazi mwenzake bado anaishi, Lakini kama utaamua kujifunza kwa vitendo basi endelea na hizo fikra, Muda utakufunza vizuri.

Huwezi kufanikiwa sehemu ambapo mwanaume mwenzako ameshindwa, You are not special kama unavyofikiria.

Be a Man, yajue ya kuzingatia ili uachane na wake za watu.
 
Unasaliti kambi au sio
...
Single mother hawezi kukupenda hata 5% ya upendo anaompa mwanae atakuactia tu
Haihitaji hata common sense kujua hilo
...
ipo wazi kabisa kama ya mbuzi
 
Back
Top Bottom