Faida 10 za kuoa mwanamke mwenye mtoto (single mother)

Faida 10 za kuoa mwanamke mwenye mtoto (single mother)

Ukikua ...utanikumbuka
Nadhani hapa hilo linakuhusu wewe zaidi hisia za kitoto ndiyo zinakupumbaza ugen wa mapenzi mpka inaparamia visivyo halali unaona halali, ukikua ukapata uzoefu ndiyo utaelewa mistake yako.
 
Mzeebaba nakuunga mkono pamoja na changamoto za single mother ila changamoto hizo zinapatikana pia hata kwa wanawake wasio single mothers,,,,hhiyo changamoto kubwa ni kugongewa ambayo inapatikana kwa wanawake wengine wowote pia.
Wewe ni wakwanza ku support

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
𝗙𝗔𝗜𝗗𝗔 𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗢𝗔 𝗠𝗪𝗔𝗡𝗔𝗠𝗞𝗘 𝗠𝗪𝗘𝗡𝗬𝗘 𝗠𝗧𝗢𝗧𝗢

1.Unamuoa wakati ameshapevuka kiakili tayari (Hana utoto utoto).

2.Atalea vizuri watoto mtakao zaa kwa sababu ameshalea mtoto wa kwanza kwa hiyo anao uzoefu wa kulea.

3.Anajua thamani ya kupendwa kwa sababu alishawahi kutendwa ama kuushi na mwanaume.

4.Hatatamani kukupoteza kwa sababu alishawahi kumpoteza ampendaye huko nyuma.

5.Atajilinda sana asikukosee kwa sababu ameshajifunza kupitia makosa yalio mtokea huko nyuma.

6.Akikukosea atakuwa mwepesi wa kuomba msamaha kwa sababu anajua hasara ya kutokuomba msamaha.

7.Anajua thamani ya kuitwa mke wa fulani, kwa sababu aliwahi kuipata fursa hiyo akaipoteza, au huyo mume fulani alimtumia vibaya.

8.Anajua umuhimu wa kuwa mvumilivu, kwa sababu ameshajifunza na kujua kwamba kila mwanaume ana mapungufu yake hakuna mkamilifu.

9.Una kuwa na uhakika kabisaa kuwa huyo sio Mgumba.

[emoji736]ZINGATIA[emoji736]

1.Hawa watu wanafaa na wana haki ya kuolewa na kuwa na ndoa zao

NB: other factors remain constant ie mature of women, ancestry behavior like witch, uchoyo &. Absence of big nyashi....

Team kataa ndoa ...sio mahali penu hapa[emoji3063][emoji3063]View attachment 3213431
10. Wana nafasi ya kutosha kwa bibi kwa ajili ya kuingiza mkuyenge sio kama mabikra ambao lazima utumie nguvu kuingiza mkuyenge
 
Vp kama wameachana willingly
Mkuu acha kuzunguka zunguka, haijalishi waliachana kwa namna gani don't marry a single mom with her Ex alive.

Labda huyo mtoto awe alipatikana kwa njia za ukatili hivyo baba hawezi kujulikana.
 
Back
Top Bottom