Faida 10 za kuoa mwanamke mwenye mtoto (single mother)

Faida 10 za kuoa mwanamke mwenye mtoto (single mother)

Lofa,fara na punguani
Matatizo ya mtindio wa ubongo ni janga la kitaifa
 
Kwann mkuu...wakati faida zipo hapo
Narudia mara ya mwisho.

Usioe single mother ikiwa Baba wa mtoto anapumua.

Aidha umehudhuria mazishi yake wewe mwenyewe au uonyeshwe kaburi lake kisha fukua chukua sample uzifananishe na DNA ya huyo mtoto.

Ziada hakikisha umekiona cheti chake cha kifo na Muhtasari mfupi kuhusu kifo chake kutoka kwa Mwenyekiti wa kitongoji.

Uzi ufungwe.
 
Ukiwa mwanamke mwenye akili timamu,hizi nyuzi msizichukulie kama kashfa kwa wanawake bali iwe ni kama lesson kurekebisha mapungufu ya yule aliye single mom,au usome ili ikusaidie usije kuangukia mtego wa kuwa single mom,au ukizaa mwanao wa kike uhangaike asije akaingia kwenye hili kundi,kwakuwa 90% ya single mom kwenye mahusiano wana mapungufu yanayokera sana wanaume,na shida ni kuwa hawako sawa kisaikolojia...
 
Narudia mara ya mwisho.

Usioe single mother ikiwa Baba wa mtoto anapumua.

Aidha umehudhuria mazishi yake wewe mwenyewe au uonyeshwe kaburi lake kisha fukua chukua sample uzifananishe na DNA ya huyo mtoto.

Ziada hakikisha umekiona cheti chake cha kifo na Muhtasari mfupi kuhusu kifo chake kutoka kwa Mwenyekiti wa kitongoji.

Uzi ufungwe.
Vp kama wameachana willingly
 
Singles waoane wenyewe, single father akipata single mother ni sawa kabisa. Binafsi nikijankuwa single father siwezi kuoa kabinti hakana watoto/mtoto
Kwann
 
𝗙𝗔𝗜𝗗𝗔 𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗢𝗔 𝗠𝗪𝗔𝗡𝗔𝗠𝗞𝗘 𝗠𝗪𝗘𝗡𝗬𝗘 𝗠𝗧𝗢𝗧𝗢

1.Unamuoa wakati ameshapevuka kiakili tayari (Hana utoto utoto).

2.Atalea vizuri watoto mtakao zaa kwa sababu ameshalea mtoto wa kwanza kwa hiyo anao uzoefu wa kulea.

3.Anajua thamani ya kupendwa kwa sababu alishawahi kutendwa ama kuushi na mwanaume.

4.Hatatamani kukupoteza kwa sababu alishawahi kumpoteza ampendaye huko nyuma.

5.Atajilinda sana asikukosee kwa sababu ameshajifunza kupitia makosa yalio mtokea huko nyuma.

6.Akikukosea atakuwa mwepesi wa kuomba msamaha kwa sababu anajua hasara ya kutokuomba msamaha.

7.Anajua thamani ya kuitwa mke wa fulani, kwa sababu aliwahi kuipata fursa hiyo akaipoteza, au huyo mume fulani alimtumia vibaya.

8.Anajua umuhimu wa kuwa mvumilivu, kwa sababu ameshajifunza na kujua kwamba kila mwanaume ana mapungufu yake hakuna mkamilifu.

9.Una kuwa na uhakika kabisaa kuwa huyo sio Mgumba.

[emoji736]ZINGATIA[emoji736]

1.Hawa watu wanafaa na wana haki ya kuolewa na kuwa na ndoa zao

NB: other factors remain constant ie mature of women, ancestry behavior like witch, uchoyo &. Absence of big nyashi....

Team kataa ndoa ...sio mahali penu hapa[emoji3063][emoji3063]View attachment 3213431
Mzeebaba nakuunga mkono pamoja na changamoto za single mother ila changamoto hizo zinapatikana pia hata kwa wanawake wasio single mothers,,,,hhiyo changamoto kubwa ni kugongewa ambayo inapatikana kwa wanawake wengine wowote pia.
 
Singles waoane wenyewe, single father akipata single mother ni sawa kabisa. Binafsi nikijankuwa single father siwezi kuoa kabinti hakana watoto/mtoto
Fafanua hapa tupate madini mkuu,why single father Vs single mother nisawa kuoana.
 
Baadhi ya Hasara:

1. Majukumu ya malezi.
2. Mzigo wa kifedha.
3. Mgawanyo wa muda.
4. Uwepo wa baba wa mtoto.
5. Utayari wa kiakili.
6. Mtoto kuwa kipaumbele.
7. Shinikizo la kijamii.
8. Matarajio ya mtoto.
9. Changamoto za nidhamu.
10. Masuala ya urithi.
11. Migogoro ya familia kubwa.
12. Kutoaminiana.
13. Hofu ya mapenzi ya dhati.
14. Uhusiano wa zamani wa mwenza.
15. Malezi yanayotofautiana.
16. Ukosefu wa faragha.
17. Maamuzi ya pamoja kuhusu mtoto.
18. Gharama za elimu ya mtoto.
19. Ushindani wa upendo.
20. Hofu ya kushindwa kukubalika.
21. Kujisikia kutengwa.
22. Mtazamo hasi wa jamii.
23. Ugumu wa kuanzisha ukaribu na mtoto.
24. Shinikizo la kifamilia kutoka pande zote mbili.
25. Hofu ya kuumizwa.
26. Uvumilivu wa hali zisizotarajiwa.
27. Kuongeza idadi ya familia ghafla.
28. Kutokuwa na uhuru wa kufanya maamuzi.
29. Migogoro ya muda wa ubora.
30. Mtoto kutokuwa tayari kukubali mahusiano mapya.
31. Kujiweka pembeni wakati mtoto yupo.
32. Mizozo ya fedha.
33. Hofu ya kupuuzwa.
34. Mtoto kutafuta baba wa damu.
35. Ujinga wa mahitaji ya malezi.
36. Changamoto za kushirikiana majukumu.
37. Hali ya kutokuwa sawa na mtoto.
38. Kushughulika na masuala ya zamani ya mwenza.
39. Maoni ya marafiki kuhusu uhusiano.
40. Kujitahidi kuthibitisha thamani yako kwa mwenza.
41. Hofu ya kutoheshimiwa.
42. Mtoto kushikilia mahusiano ya zamani.
43. Kutoelewana kuhusu mipaka ya mtoto.
44. Migongano ya malezi.
45. Ugumu wa kujenga uhusiano wa kiroho.
46. Kutoweka nafasi yako katika familia.
47. Shinikizo la kuhifadhi amani.
48. Hofu ya kufeli kama baba wa kambo.
49. Muda mwingi wa kuhangaikia masuala ya mtoto.
50. Kukosa nafasi ya kuwa na familia mpya kutoka mwanzo.
Umemaliza Mwamba!
 
Back
Top Bottom