Faida 6 za Kiafya za Kufanya Mapenzi Salama

Vincenzo Jr

Platinum Member
Joined
Sep 23, 2020
Posts
24,262
Reaction score
58,728
Kujamiana (ama tendo la ndoa) ni moja ya mambo muhimu sana katika maisha ya mwanadamu.

1. Hulinda mwili dhidi ya magonjwa ya moyo.

2. Huongeza ukakamavu wa mifupa.

3. Hupunguza msongo wa mawazo.

4. Hupunguza maumivu.

5. Hupunguza uwezekano wa kupata saratani ya tezi dume kwa wanaume.

6. Huongeza uwezo wa kunusa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…