falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,189
- 9,299
- Thread starter
- #21
ila nakukumbusha hakuna biashara isiyo na faida wala hasara, hata kipindi hiki kuna kampuni zinaleta mabus mapya kabisaBiashara ya bus kama huna roho ya paka lazima ufe presha, kwa miaka hii sio biashara ya kusena ujaribu inabidi ufanye utafiti wa kutosha ujiridhishe la sivyo utakula za uso...
Wengi waliopata faida nzuri ni wale waliofanya hii biashara miaka ya nyuma, hivi sasa ushindani ni mkubwa mno, usishangae bus kusafirisha hata abiria wasiozidi 15