Selling Price = Direct Cost + Indirect Cost + Profit margin
1. Direct Cost zipo wazi zinajulikana kilahisi
2. Indirect cost (overhead costs) hapa ndio mtihani
3. Profit margin hii inategemea na policy yako lakini pia aina ya bidhaa kama ina ushindani sokoni au la. Pia kama bidhaa yako ni parculiar sokoni utapiga pesa mpaka basi. Mambo ya demand pia huasili profit margin. Saa nyingine inabidi tu uuze kama jirani yako Kwa faida kiduchu.