Lububi
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 2,158
- 3,808
Wadau wapendao Utukufu kwa Mungu juu na AMAN dunian tuangalie mabadiliko ya kisiasa, kijamii na kiuchumi yatakayotokana na nchi kubwa yenye migogoro ya muda mrefu na siasa ngumu zenye mkono wa kuibiana, na dhulma za walioko nje ya nchi muhanga, itakapopata washirika wa africa masharik wenye mlengo wa kufanya ukanda wa maziwa makuu sehem salama kuishi.
Binafsi naona ni pigo kwa Kigali na Kampala ambao ripot nyingi zinawatuhumu kudistabilise DRC kwa ajenda zao za siri. Pia nafikiria washirika wao katika hujuma dhidi ya DRC watareplace huu mkabo na nini!
DRC kuwa salama na kutawalika ni pigo kwa mataifa kadhaa hasa wanufaika wa maliasili zake.
Je, rwanda, beloved son wa washington atastawi vip bila mali za DRC? Au ndo mwanzo wa mwisho wao! Au wameshashiba!
Binafsi naona ni pigo kwa Kigali na Kampala ambao ripot nyingi zinawatuhumu kudistabilise DRC kwa ajenda zao za siri. Pia nafikiria washirika wao katika hujuma dhidi ya DRC watareplace huu mkabo na nini!
DRC kuwa salama na kutawalika ni pigo kwa mataifa kadhaa hasa wanufaika wa maliasili zake.
Je, rwanda, beloved son wa washington atastawi vip bila mali za DRC? Au ndo mwanzo wa mwisho wao! Au wameshashiba!