Faida na hasara za kujenga nyumba yenye flat roof

Faida na hasara za kujenga nyumba yenye flat roof

Watanzania walio wengi huwa wanaogopa mabadiliko, sio kwa nyumba tu hata magari, siasa technology na kila kitu, mtu anaweza kushupaza shingo mara ooh hii design ni mbaya mara ooh itapotea, nani kakwambia kuna style ya myumba iliyowahi kudumu, zinakuja zinapita .Me binafsi ni mpenzi wa majengo hayo na kwa sasa naijenga nikiipaua ntashea na nyinyi. Kwa ambao mmtembelea mji wa Dubai nadhani mnaelewa hzi nyumba zilivyopendezesha mji huo.
Tatizo mnafikiri hizo nyumba ni mpya, hizo zipo tangu zamani na ni design za sehem zenye mvua chache...

Huku kwetu hazikua maarufu kwakua ni eleo la tropical, mvua nyingi...

Kama wadau walivyochangia, flat roof inahitaji fundi mzuri, bati ya geji 26. Ili nyumba ipendeze, itahitaji madirisha makubwa, rangi ngumu.. Mwisho wa siku unakuta hukimbii ngarama ukilinganisha na pitched roof...

Hapo ni mapenzi tu ya ujenzi lkn sio kuepuka gharama
 
Hivi mnatumiaga nini kuelewa vitu!!?? Umeshaambiwa roof inakuwa na slope sasa hiyo swimming pool inatokea wapi.!!!??? Au hujui maana ya slope!!!

Watu kama nyie mnatakiwa mpelekwe site kabisa uone ndio utaelewa hivi hivi utatuchosha sana tunaozielewa.

Mtu unaambiwa kuna gutter za kupitisha maji, but anauliza maji yatapita wapi!!!! Serious!!! Ifike mahali tuwe tunaelewa vitu haraka na kama neno lililotumika hulielewi ni bora kuuliza ueleweshwe.
Halafu ni fundi ujenzi huyo daah[emoji848]
 
Ni kweli kabisa haya yamenikuta juzi nilimwonesha bosi wangu nyumba ninayojenga yaani kabadilika kawa adui naona hata salamu zimekwisha na ili aingie ofisini kwake lazima apite kwangu. Yaani tulikuwa friend sana ila kwa sasa nafikiri anatamani hata niondoke kazini. Kila saa anajifanya nimekosea katika maagizo yaani imekuwa tabu sana
Duh pole sana mkuu
 
Wooooooow! Nemekuwa so impressed na utaalam wenu watanzania. Kumbe mko mbali sana kuliko hata mimi nilivyokuwa nafikiria.
Aisee! Mko poa sana. Hongereni sana sana.

Haya maarifa na utaalam huu mlio nao mgekuwanao pia katika nyanja nyingine kama uundaji wa magari na vitendea kazi vingine vya mashambani, migodini, uvuvi, majumbani, maofisini na kwengine nafikiri mpaka hivi sasa tusingekuwa na matatizo ya ajira kwa vijana wetu.

Ebu tujaribu kufanya vitu vingine mbali na nyumbaaa nyumbaaa, barabaraaa barabaraa na kilimooo kilimooo. Hamwoni kuwa mmedumaa kwenye mambo ambayo yamesha pitwa na wakati?

Mambo ya vitu kama nyumba, maji umeme, afya, usafiri, Telecommunication na free style hayo ni mambo ya kawaida ambayo binadam lazima awe nayo. Sio jambo la kudiscuss tena kama changamoto. Wenzetu wanawaza ku-explorer masayari mengine ulimwenguni ili waanzishe makoloni yao huko, sisi tunadiscuss mamabo ya mapaa ya nyumba? Hii kweli ni umasikini wa akili ndugu zangu. I am sorry!

Hapo nafikiri mko bado kwenye era ya wagiriki na warumi wa kutukuza na kuthamani magofu ambayo hivi sasa hayana thamani katika maisha ya binadam. Kwani kimbunga na tetemeko la ardhi likija kila kitu kinakuwa vumbi.

Angalieni mbele jinsi ya kukabili changamoto za ajira na maisha yetu na ya watoto wetu baadae katika ongezeko la population.

Tunatakiwa tu discuss ideas na sio magofu!
 
Wooooooow! Nemekuwa so impressed na utaalam wenu watanzania. Kumbe mko mbali sana kuliko hata mimi nilivyokuwa nafikiria.
Aisee! Mko poa sana. Hongereni sana sana.

Haya maarifa na utaalam huu mlio nao mgekuwanao pia katika nyanja nyingine kama uundaji wa magari na vitendea kazi vingine vya mashambani, migodini, uvuvi, majumbani, maofisini na kwengine nafikiri mpaka hivi sasa tusingekuwa na matatizo ya ajira kwa vijana wetu.

Ebu tujaribu kufanya vitu vingine mbali na nyumbaaa nyumbaaa, barabaraaa barabaraa na kilimooo kilimooo. Hamwoni kuwa mmedumaa kwenye mambo ambayo yamesha pitwa na wakati?

Mambo ya vitu kama nyumba, maji umeme, afya, usafiri, Telecommunication na free style hayo ni mambo ya kawaida ambayo binadam lazima awe nayo. Sio jambo la kudiscuss tena kama changamoto. Wenzetu wanawaza ku-explorer masayari mengine ulimwenguni ili waanzishe makoloni yao huko, sisi tunadiscuss mamabo ya mapaa ya nyumba? Hii kweli ni umasikini wa akili ndugu zangu. I am sorry!

Hapo nafikiri mko bado kwenye era ya wagiriki na warumi wa kutukuza na kuthamani magofu ambayo hivi sasa hayana thamani katika maisha ya binadam. Kwani kimbunga na tetemeko la ardhi likija kila kitu kinakuwa vumbi.

Angalieni mbele jinsi ya kukabili changamoto za ajira na maisha yetu na ya watoto wetu baadae katika ongezeko la population.

Tunatakiwa tu discuss ideas na sio magofu!
Nahisi unakosea sana mkuu, hv huko ulaya wanaishi misutuni ? Hv unajua mwanadamu ili aweze kuishi anahitaji vitu vitatu na makazi ni sehemu ya hayo mahitaji?
Huwezi kuwaza kwenda sayari nyingine wakati hata sehemu ya kulala huna unakuwa unavuka step ,siku nyingine kabla ya kukomenti kwenye nyuzi za wenzako ufikirishe ubongo wako.
 
Nahisi unakosea sana mkuu, hv huko ulaya wanaishi misutuni ? Hv unajua mwanadamu ili aweze kuishi anahitaji vitu vitatu na makazi ni sehemu ya hayo mahitaji?
Huwezi kuwaza kwenda sayari nyingine wakati hata sehemu ya kulala huna unakuwa unavuka step ,siku nyingine kabla ya kukomenti kwenye nyuzi za wenzako ufikirishe ubongo wako.
Asante mkuu kwa swali lako. Kwa kuanza na majibu ya swali lako ningeomba kwanza wewe mwenyewe ujitathmini.

Kwa vile natambua kuwa makazi ni kitu muhinu sana katika maisha ya binadam, sina budi kukubaliana na wewe katika hili, lakini tukiangalia nyuma ni mda gani sasa binadam amekwisha ondokana na maisha ya kuishi kwenye mapango kama wanyama wengine wa msituni?

Nafikiri umesoma katika historia kuwa ma pyramids huko GIZA, Misri yalijengwa na watu weusi. Kama kiingereza kimepanda na hujui hilo basi nakuomba sikiliza hii documentry, nafikir itakupanua maarifa ya kujua wapi unatoka na wapi ulipo na kwa nini?

Mpaka hivi sasa inaweza ikafikia miaka 7,000 hivi toka yaanze kujengwa. Miaka elf tano BC na miaka elfu mbili AC. Haya magofu yote unayo yaona ulimwenguni kama huko Ugiriki na Italia ni copies tu za majengo ambayo ma Nigger (mababu) zetu walikwisha weka msingi wake huko GIZA.

Kwa kutambua kuwa ni miaka karibu elfu saba sasa toka kujengwa kwa hayo ma Pyramids huko GIZA, ndiyo maana inanipa mshangao mkubwa wa kuona vijana kama wewe leo bado mna-discuss mambo ya nyumba kana kwamba nyumba ni kitu cha maana sana cha kuwapotezea mda wakati challenges za sasa ni ajira.

Nilitegemea vijana kama nyie hivi sasa mgekuwa mnadiscuss new technologies za mitandao (Telecommunications), utengenezaji wa drones ili zikatumika kwenye transport, njia mbadala za kupambana na hali ya mazingira, technologies mbali mbali za kuchimba na kubadili rasilimali zetu zikatumika katika kutengeneza vifaa na vitu mbali mbali ambavyo vingetuwezesha sisi kuinua uchumi wetu na hivyo kuboresha maisha yetu kwa kuwa na ajira za kutosha, lakini inasikitisha kuona vijana wenye bongo fresh jama nyinyi mmedumaa bado katika ufahari wa magofu ya majengo kwenye karne hii ya 21. Kama sio kudumaa kwa akili na ukosefu wa maarifa utauita nini huo? Shame on you!

Na ndiyo maana kazi yenu kutwa kucha kulaumu serikali tu. Serikali haijafanya hiki, serikali haijafanya kile na kusifu maendeleo ya wenzenu, kana kwamba hao nao maendeleo yao yameshushwa na mungu kutoka mbinguni. Alafu ndugu zangu mkiambiwa kuwa nyie mmedumaa kiakiri mnakasirika na kujifanya kama mnaakili nyingii wakati kumbe ni mabogus tu kichwani.

Wewe mwenyewe kwa jeuri yako unathubutu kunitunia mimi kifua eti "Huwezi kuwaza kwenda sayari nyingine wakati hata sehemu ya kulala huna unakuwa unavuka step ,siku nyingine kabla ya kukomenti kwenye nyuzi za wenzako ufikirishe ubongo wako." Swali langu, kwani wewe umeambiwa kuwa ulizaliwa misituni? Si umezaliwa kwenye nyumba au?

Hivi wewe na akili yako yote hiyo unafikiri hao role models wenu kama wakina Bill Gates na wengineo wakati wanatafuta mbinu za kupata pesa na kuanzisha makampuni, walikuwa wanawaza kujenga nyumba?
No kijana, walikuwa wanawaza wazitumieje technolojia zilizopo ili nao waweze kutoboa. Na ndiyo maana unasikia walikuwa wanajichimbia kwenye magarage ya nyumba za wazazi wao kufanya utafiti wao. Hawakuwa na mda wa kushangaa majengo, hicho kwao kilikuwa ni kitu cha kawaida.

Wewe toka tupate Uhuru unaweza ukawa kijana wa Generation ya tatu au ya nne na toka hapo wenzetu wazungu wameenda mbali sana. Wachina na wa asia nao toka kufa kwa Soviet Union mwishoni mwa miaka ya 80 wamepiga hatua kubwa sana, lakini wewe na hao wenzako bado mmedumaa na paa za nyumba, hivi hujioni kama wewe na hao wenzako ni watu mfu? Huoni kwa mwenendo wenu huo future yenu imekufa? Hamwezi waza vitu tena vya kuwaletea maendeleo na wala hamjijengei msingi mzuri wa maendeleo ya baadae. Nyinyi, naweza sema, ndiyo kwanza mnatoka kwenye hatua ya stone age kwenda kwenye bronze era kwenye karne ya 21. Huo ni ukilitimba wa akili brother!
 
Asante mkuu kwa swali lako. Kwa kuanza na majibu ya swali lako ningeomba kwanza wewe mwenyewe ujitathmini.

Kwa vile natambua kuwa makazi ni kitu muhinu sana katika maisha ya binadam, sina budi kukubaliana na wewe katika hili, lakini tukiangalia nyuma ni mda gani sasa binadam amekwisha ondokana na maisha ya kuishi kwenye mapango kama wanyama wengine wa msituni?

Nafikiri umesoma katika historia kuwa ma pyramids huko GIZA, Misri yalijengwa na watu weusi. Kama kiingereza kimepanda na hujui hilo basi nakuomba sikiliza hii documentry, nafikir itakupanua maarifa ya kujua wapi unatoka na wapi ulipo na kwa nini?

Mpaka hivi sasa inaweza ikafikia miaka 7,000 hivi toka yaanze kujengwa. Miaka elf tano BC na miaka elfu mbili AC. Haya magofu yote unayo yaona ulimwenguni kama huko Ugiriki na Italia ni copies tu za majengo ambayo ma Nigger (mababu) zetu walikwisha weka msingi wake huko GIZA.

Kwa kutambua kuwa ni miaka karibu elfu saba sasa toka kujengwa kwa hayo ma Pyramids huko GIZA, ndiyo maana inanipa mshangao mkubwa wa kuona vijana kama wewe leo bado mna-discuss mambo ya nyumba kana kwamba nyumba ni kitu cha maana sana cha kuwapotezea mda wakati challenges za sasa ni ajira.

Nilitegemea vijana kama nyie hivi sasa mgekuwa mnadiscuss new technologies za mitandao (Telecommunications), utengenezaji wa drones ili zikatumika kwenye transport, njia mbadala za kupambana na hali ya mazingira, technologies mbali mbali za kuchimba na kubadili rasilimali zetu zikatumika katika kutengeneza vifaa na vitu mbali mbali ambavyo vingetuwezesha sisi kuinua uchumi wetu na hivyo kuboresha maisha yetu kwa kuwa na ajira za kutosha, lakini inasikitisha kuona vijana wenye bongo fresh jama nyinyi mmedumaa bado katika ufahari wa magofu ya majengo kwenye karne hii ya 21. Kama sio kudumaa kwa akili na ukosefu wa maarifa utauita nini huo? Shame on you!

Na ndiyo maana kazi yenu kutwa kucha kulaumu serikali tu. Serikali haijafanya hiki, serikali haijafanya kile na kusifu maendeleo ya wenzenu, kana kwamba hao nao maendeleo yao yameshushwa na mungu kutoka mbinguni. Alafu ndugu zangu mkiambiwa kuwa nyie mmedumaa kiakiri mnakasirika na kujifanya kama mnaakili nyingii wakati kumbe ni mabogus tu kichwani.

Wewe mwenyewe kwa jeuri yako unathubutu kunitunia mimi kifua eti "Huwezi kuwaza kwenda sayari nyingine wakati hata sehemu ya kulala huna unakuwa unavuka step ,siku nyingine kabla ya kukomenti kwenye nyuzi za wenzako ufikirishe ubongo wako." Swali langu, kwani wewe umeambiwa kuwa ulizaliwa misituni? Si umezaliwa kwenye nyumba au?

Hivi wewe na akili yako yote hiyo unafikiri hao role models wenu kama wakina Bill Gates na wengineo wakati wanatafuta mbinu za kupata pesa na kuanzisha makampuni, walikuwa wanawaza kujenga nyumba?
No kijana, walikuwa wanawaza wazitumieje technolojia zilizopo ili nao waweze kutoboa. Na ndiyo maana unasikia walikuwa wanajichimbia kwenye magarage ya nyumba za wazazi wao kufanya utafiti wao. Hawakuwa na mda wa kushangaa majengo, hicho kwao kilikuwa ni kitu cha kawaida.

Wewe toka tupate Uhuru unaweza ukawa kijana wa Generation ya tatu au ya nne na toka hapo wenzetu wazungu wameenda mbali sana. Wachina na wa asia nao toka kufa kwa Soviet Union mwishoni mwa miaka ya 80 wamepiga hatua kubwa sana, lakini wewe na hao wenzako bado mmedumaa na paa za nyumba, hivi hujioni kama wewe na hao wenzako ni watu mfu? Huoni kwa mwenendo wenu huo future yenu imekufa? Hamwezi waza vitu tena vya kuwaletea maendeleo na wala hamjijengei msingi mzuri wa maendeleo ya baadae. Nyinyi, naweza sema, ndiyo kwanza mnatoka kwenye hatua ya stone age kwenda kwenye bronze era kwenye karne ya 21. Huo ni ukilitimba wa akili brother!

1.Mzee mwenzangu hili ni jukwaa la ujenzi na makazi kwa hyo mada zote zinazojadiliwa humu zinahusiana na ujenzi
2. Humu JF kuna forum ya Science na Gadjets na pia Intelligence , mawazo yako sio mabaya kabisa ila umekosea sehemu ya kuyawasilisha .
3.Hapa duniani kila mtu anakitu cha kumpatia furaha wewe kama furaha yako ni kugundua sayari au telecomunication sawa , wenzako sisi tunapenda ujenzi sioni kama kuna tatizo pia tumetofautiana interest, kuna wanaopenda mahusiano, magari ,fasion, siasa n.k yote kwa yote ni hatuna mamlaka ya kuwakebei au kuwakashifu kama wewe unavyofanya.
4.Kwa taarifa yako kama hujui Ujenzi ni industry kubwa sana inayochochea nchi kukua kiuchumi inatoa ajira tukiachana na kilimo sekta inayofuata kwa kutoa ajira nyingi ni ujenzi za moja kwamoja na zisizo za moja kwa moja kama wasanifu majengo ,civil engineers ,QSn.k
Kuna viwanda vya mabati ,cement ,rangi tires , n.k hvi viwanda sio tu kuajiri pia vinalipa kodi serikalini ambayo inamlipa mshahara mwalimu wa shule ya msingi kazuramimba .Pia kwenye ujenzi kuna mama ntilie ,magari ya kubeba matirio,wasomba tofari na wafyatua tofari ,kuna fundi wajenzi n.k .Nchi bila ujenzi haiwezi kuendelea hata kidogo.
Hata uko ugiriki au ulaya unakokusifia vijana wao wanawaza vikubwa bado watu wanajenga sidhani kama wanaishi maporini au mapangoni , au kwenye magofu .
5. Ujenzi ni utamaduni wa enzi na enzi hata kama tunawaza vikubwa kiasi gani ujenzi utakuwepo na watu wataendelea kubadili style za ujenzi kila mara ili kuipendezesha dunia.
Mimi binafsi nikiona mtu amefikisha umri flani hana nyumba yake mwenyewe ya kuishi bado anakaa kwao au anatangatanga kwenye nyumba za kupanga huwa naona kuna sehemu kafail hata angekuwa anamiliki B100 account, naamini ujenzi au umiliki wa makazi ni sawa na kuwa na nguo au chakula.

6.Mwisho lakini sio kwa umuhimu tuambie kitu gani wewe binafsi umekivumbua ambacho kinasaidia nchi kusonga mbele ili sisi vijana unaotuita bongo lala wenye udumavu wa akili na ubongo tuweze kutoka usingzini wa kuwaza magofu kila kukicha
 
1.Mzee mwenzangu hili ni jukwaa la ujenzi na makazi kwa hyo mada zote zinazojadiliwa humu zinahusiana na ujenzi
2. Humu JF kuna forum ya Science na Gadjets na pia Intelligence , mawazo yako sio mabaya kabisa ila umekosea sehemu ya kuyawasilisha .
3.Hapa duniani kila mtu anakitu cha kumpatia furaha wewe kama furaha yako ni kugundua sayari au telecomunication sawa , wenzako sisi tunapenda ujenzi sioni kama kuna tatizo pia tumetofautiana interest, kuna wanaopenda mahusiano, magari ,fasion, siasa n.k yote kwa yote ni hatuna mamlaka ya kuwakebei au kuwakashifu kama wewe unavyofanya.
4.Kwa taarifa yako kama hujui Ujenzi ni industry kubwa sana inayochochea nchi kukua kiuchumi inatoa ajira tukiachana na kilimo sekta inayofuata kwa kutoa ajira nyingi ni ujenzi za moja kwamoja na zisizo za moja kwa moja kama wasanifu majengo ,civil engineers ,QSn.k
Kuna viwanda vya mabati ,cement ,rangi tires , n.k hvi viwanda sio tu kuajiri pia vinalipa kodi serikalini ambayo inamlipa mshahara mwalimu wa shule ya msingi kazuramimba .Pia kwenye ujenzi kuna mama ntilie ,magari ya kubeba matirio,wasomba tofari na wafyatua tofari ,kuna fundi wajenzi n.k .Nchi bila ujenzi haiwezi kuendelea hata kidogo.
Hata uko ugiriki au ulaya unakokusifia vijana wao wanawaza vikubwa bado watu wanajenga sidhani kama wanaishi maporini au mapangoni , au kwenye magofu .
5. Ujenzi ni utamaduni wa enzi na enzi hata kama tunawaza vikubwa kiasi gani ujenzi utakuwepo na watu wataendelea kubadili style za ujenzi kila mara ili kuipendezesha dunia.
Mimi binafsi nikiona mtu amefikisha umri flani hana nyumba yake mwenyewe ya kuishi bado anakaa kwao au anatangatanga kwenye nyumba za kupanga huwa naona kuna sehemu kafail hata angekuwa anamiliki B100 account, naamini ujenzi au umiliki wa makazi ni sawa na kuwa na nguo au chakula.

6.Mwisho lakini sio kwa umuhimu tuambie kitu gani wewe binafsi umekivumbua ambacho kinasaidia nchi kusonga mbele ili sisi vijana unaotuita bongo lala wenye udumavu wa akili na ubongo tuweze kutoka usingzini wa kuwaza magofu kila kukicha
Duuh! Asante sana mzee mwenzangu kwa kunifungua macho. Nilikuwa nimeenda mbali sana kwa kutojua. Nilifikiri niko kwenye jukwaa la siasa kumbe ni jukwaa la ujenzi. Vijana wangu nawaomba radhi. Mnisamehe sana sana. Niliwaingilia uhuru wenu wa mawazo. Poleni sana na endeleeni na mjadala wenu.
 
Back
Top Bottom