Mwamba1961
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 626
- 409
🙄🙄Yaani Engineer wa Japan atengeneze gari la Petroli afu aje kijana wa DIT aniwekee gesi asilia. No way.
Nataka gari ya gesi itengenezwe uko uko kwamba itatumia gesi ikija na petroli naiacha ivo ivo.
Mambo ya Mshana Jr ayo na Meneja Wa Makampuni🙄🙄
kaka una uzoefu na magari ya gesi ??
nataka nijue hasara na faida ya kutumia gesi .....
karibu
mtalaam Mshana Jr na Meneja Wa Makampuni naombeni msaada.....Mambo ya Mshana Jr ayo na Meneja Wa Makampuni
Hasara.. Vituo vya gas ni vichache sana na viko dsm sana sanaHabari wataalam,
Naomba nijue faida na hasara kwa wale waliotumia gesi kama petrol / diesel kwenye magari au bajaji.
natanguliza shukrani zenu kwangu.
Karibuni wataalam.
Hao vijana wa DIT unaowasema unajua wamejifunzia wapi hayo maswala ya kubadilisha mifumo mkuu?Yaani Engineer wa Japan atengeneze gari la Petroli afu aje kijana wa DIT aniwekee gesi asilia. No way.
Nataka gari ya gesi itengenezwe uko uko kwamba itatumia gesi ikija na petroli naiacha ivo ivo.
Kwa maana hiyo, wakati wa kuwasha lazima utumie mfumo wa petrol/ Diesel ?Kilo 15 kwa gari kama Harrier ambayo ndio uwezo wa mtungi wake, kujaza ni sh 21,000 na unatembea umbali wa kilometa 170+. Dar to Moro unafika. Ila lazima uwe na wese, gesi pekee huwezi kuwasha gari
Very true wanaharibu tu magari ya watuYaani Engineer wa Japan atengeneze gari la Petroli afu aje kijana wa DIT aniwekee gesi asilia. No way.
Nataka gari ya gesi itengenezwe uko uko kwamba itatumia gesi ikija na petroli naiacha ivo ivo.
Hapo hapo na Dr. Kivugo ndio ticha wao. Ye ana Harrier hajaweka gesi.Hao vijana wa DIT unaowasema unajua wamejifunzia wapi hayo maswala ya kubadilisha mifumo mkuu?
hahaha we jamaa hebu acha basiVery true wanaharibu tu magari ya watu
Yes, bila mafuta gesi haiwashi gariKwa maana hiyo, wakati wa kuwasha lazima utumie mfumo wa petrol/ Diesel ?
Asante mzee baba Odense ila faida yake uliona kulinganisha na matumizi ya petrol / Diesel ?Hasara ni zile nosil za magari zinaharibika. Sababu zilikua designed kupitisha mafuta sasa ukipitisha gesi utakua unazibadili kila siku zinaharibika.
Hizo ndo kesi nyingi tunazoziona huku kwenye magereji yetu sikuizi.
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Haichanganyi haraka, inakuwa nzito sana tumeitoa majuzi. Halafu kufunga ni gharama M 2. Ukitaka ya gesi agiza ambayo tayari imeundwa hivyo tangu kiwandani sio ya kubadilisha mfumo huku. Pale Tazara kujaza gesi foleni yake balaa