Faida na hasara za kutumia gesi kwenye gari lilitongenezwa kutumia petrol

Faida na hasara za kutumia gesi kwenye gari lilitongenezwa kutumia petrol

Hapo hapo na Dr. Kivugo ndio ticha wao. Ye ana Harrier hajaweka gesi.


Awali ya yoyote, hakuna sheria, katazo wala muongozo kwamba ukiwa unatengeneza kitu shurti ukitumie,
hiyo ni mosi. Pili, unadhani kumjua au kumtaja huyo Prof. ndio kukubalika kwa hoja yako isiyokuwa ya ukweli?

Nadiriki kusema kuwa huna taarifa sahihi na kama huyu uliyemtaja yupo pale unadhani anajua ya pale pengine kwa faida yako ungemdodosa ili uwe na uhakika kuliko kupotosha.

Kwanza Jua tu, sikukuuliza kwa bahati mbaya iwapo unajua wamejifunzia wapi hao uliowaita 'Vijana wa DIT'.
Ukakurupuka tu na kusema 'hapahapa Dar'. SIO KWELI.
Ukweli ni huu;
Ilisafirishwa na-serikali, timu ya watu ambao tayari walikuwa ni Mafundi kutoka DIT KWENDA KUJIFUNZA SWALA HILO TU HUKOOO JAPAN.

Hawa watu wakasoma, wakamaliza mwishowe wakafanya mitihani.
Haikuishia hapo, ni kwa wale waliofaulu vizuri tu ndio waliodhinishwa kuwa watafanya hiyo kazi na hayo ni maoni kutoka Japan (Kwa wenye Mfumo wao)
Nikushike Sikio kidogo, wapo kati yao walionda huko Japan wakasoma na bado hawakufanikiwa kuidhinishwa kama MAFUNDI. Hii sijui kwako itakupa picha gani lakini kwa mwenye kujielewa ni kuwa hii sio ishu ya kipuuzi.

ANGALIZO:
Mimi si msemaji wala sipo ndani huko lakini angalu najua hilo na sizushi.
Hivyo ukitaka chukua usipotaka acha.

Kingine;
Kuna vitu vinafundishwa pale DIT na baadhi ya sehemu nyingine za mafunzo ya Ufundi stadi.
Kimuonekano kwa asiejua Dunia ilipo na inapokwenda ataona kama havina mpango.
Lakini sasa, thamani yake 'Huko Duniani' kwa anaejua tukilinganisha mapato yake baadae ama huko 'mbelembele' kibongobongo,Hata mtu mwenye Msc. anaefanya Kazi hapa Bongo ni kama anapoteza muda.

Nimechomekea kidogo tu hapo lakini uwanda wa Somo hili ni mpana mno.
Kuna siku nikipata muda nitafungukakadiri ya ninavyojua.

Nawasilisha.
 
Kuna jamaa yangu kafunga gesi gari inamsumbua balaa kwenye kuchanganya na akiwasha AC!!!
 
Mimi nilipanda bolt wenye gesi full a/c lakini wenye mafuta mamaza….o wanashusha vioo tu na jua kali hili.

Nilimuuliza dereva wa gari ya gesi nini tafauti yake alisema mafuta kwa siku anatumia hela nyingi wakati gesi 30,000 siku nzima(gesi rahisi kuliko mafuta).
 
Hasara ni zile nosil za magari zinaharibika. Sababu zilikua designed kupitisha mafuta sasa ukipitisha gesi utakua unazibadili kila siku zinaharibika.

Hizo ndo kesi nyingi tunazoziona huku kwenye magereji yetu sikuizi.

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Gesi ni hewa mafuta yamekaa kwenye state ya liquid, iweje gesi iharibu nozzle?
 
Mimi nilipanda bolt wenye gesi full a/c lakini wenye mafuta mamaza….o wanashusha vioo tu na jua kali hili.

Nilimuuliza dereva wa gari ya gesi nini tafauti yake alisema mafuta kwa siku anatumia hela nyingi wakati gesi 30,000 siku nzima(gesi rahisi kuliko mafuta).
30,000 siku nzima ndio imekaaje hiyo mzee sijakuelewa.
 
Hasara ni gari kukosa nguvu kwenye milima na sehemu za kujazia ni chache faida kubwa kwa sasa ni gharama ndogo za gas compare na petrol, mimi siwezi kubadilisha mpaka watakapojiongeza walete tank zinazofit kwenye ile sehemu ya spare tyre kama hii hapa chini.

images.jpeg-40.jpg


Halafu serikali ya ccm ikishtuka wengi wamefunga gas wataamua kuongeza kodi kwenye gas kwani mafuta sio kwamba ni gharama kwa wazalishaji tatizo ni tozo lukuki zilizowekwa na serikali yetu.
 
Awali ya yoyote, hakuna sheria, katazo wala muongozo kwamba ukiwa unatengeneza kitu shurti ukitumie,
hiyo ni mosi. Pili, unadhani kumjua au kumtaja huyo Prof. ndio kukubalika kwa hoja yako isiyokuwa ya ukweli?

Nadiriki kusema kuwa huna taarifa sahihi na kama huyu uliyemtaja yupo pale unadhani anajua ya pale pengine kwa faida yako ungemdodosa ili uwe na uhakika kuliko kupotosha.

Kwanza Jua tu, sikukuuliza kwa bahati mbaya iwapo unajua wamejifunzia wapi hao uliowaita 'Vijana wa DIT'.
Ukakurupuka tu na kusema 'hapahapa Dar'. SIO KWELI.
Ukweli ni huu;
Ilisafirishwa na-serikali, timu ya watu ambao tayari walikuwa ni Mafundi kutoka DIT KWENDA KUJIFUNZA SWALA HILO TU HUKOOO JAPAN.

Hawa watu wakasoma, wakamaliza mwishowe wakafanya mitihani.
Haikuishia hapo, ni kwa wale waliofaulu vizuri tu ndio waliodhinishwa kuwa watafanya hiyo kazi na hayo ni maoni kutoka Japan (Kwa wenye Mfumo wao)
Nikushike Sikio kidogo, wapo kati yao walionda huko Japan wakasoma na bado hawakufanikiwa kuidhinishwa kama MAFUNDI. Hii sijui kwako itakupa picha gani lakini kwa mwenye kujielewa ni kuwa hii sio ishu ya kipuuzi.

ANGALIZO:
Mimi si msemaji wala sipo ndani huko lakini angalu najua hilo na sizushi.
Hivyo ukitaka chukua usipotaka acha.

Kingine;
Kuna vitu vinafundishwa pale DIT na baadhi ya sehemu nyingine za mafunzo ya Ufundi stadi.
Kimuonekano kwa asiejua Dunia ilipo na inapokwenda ataona kama havina mpango.
Lakini sasa, thamani yake 'Huko Duniani' kwa anaejua tukilinganisha mapato yake baadae ama huko 'mbelembele' kibongobongo,Hata mtu mwenye Msc. anaefanya Kazi hapa Bongo ni kama anapoteza muda.

Nimechomekea kidogo tu hapo lakini uwanda wa Somo hili ni mpana mno.
Kuna siku nikipata muda nitafungukakadiri ya ninavyojua.

Nawasilisha.
Habari za siku nyingi Dr. Kivugo?
 
Link au jina la uzi litafaa sana kama unakumbuka lakini.
 
Hasara ni gari kukosa nguvu kwenye milima na sehemu za kujazia ni chache faida kubwa kwa sasa ni gharama ndogo za gas compare na petrol, mimi siwezi kubadilisha mpaka watakapojiongeza walete tank zinazofit kwenye ile sehemu ya spare tyre kama hii hapa chini.

View attachment 2905258

Halafu serikali ya ccm ikishtuka wengi wamefunga gas wataamua kuongeza kodi kwenye gas kwani mafuta sio kwamba ni gharama kwa wazalishaji tatizo ni tozo lukuki zilizowekwa na serikali yetu.
Mkuu mitungi ya hivi wanaita toroid au donut shape.Hii inatumika zaidi kuweka Liquefied petroleum gas(LPG) kama ile mitungi tunayotumia majumbani kupikia. Ni technolojia mpya bado kwa Tanzania ndo inaanza kuingia kutumia gesi tunayotumia majumbani kama taifa gas,oryx etc. kwenye magari.Bado EWURA hawajaipitisha kutumika ndo wapo kwenye mchakato. Kwasasa Tanzania tunatumia tu gesi asilia(natural gas methane) inayotoka Lindi na Mtwara kui compress na kuweka kwenye mitungi yenye shape ya cylinder(CNG). CNG inahitaji mitungi mikubwa sababu unaicompress (kuigandamiza) gesi iingie kwenye mitungi ikiwa kwenye hali ya gesi(vapour) so itabid mtungi uwe mkubwa. Wakati LPG unaifill mitungi kwa butane na pentane kwenye hali ya kimiminika(liquid) so inakuwa nyingi zaidi kwenye mtungi mdogo. LPG au Autogas ni rahisi zaidi kuliko CNG. Hii technologia ikianza kutumika Tanzania wengi watabadili magari yao sababu inapatikana kirahisi nchi nzima sio kama CNG vituo vipo vitatu tu Tanzania(Dar na Mtwara).
 
Mkuu mitungi ya hivi wanaita toroid au donut shape.Hii inatumika zaidi kuweka Liquefied petroleum gas(LPG) kama ile mitungi tunayotumia majumbani kupikia. Ni technolojia mpya bado kwa Tanzania ndo inaanza kuingia kutumia gesi tunayotumia majumbani kama taifa gas,oryx etc. kwenye magari.Bado EWURA hawajaipitisha kutumika ndo wapo kwenye mchakato. Kwasasa Tanzania tunatumia tu gesi asilia(natural gas methane) inayotoka Lindi na Mtwara kui compress na kuweka kwenye mitungi yenye shape ya cylinder(CNG). CNG inahitaji mitungi mikubwa sababu unaicompress (kuigandamiza) gesi iingie kwenye mitungi ikiwa kwenye hali ya gesi(vapour) so itabid mtungi uwe mkubwa. Wakati LPG unaifill mitungi kwa butane na pentane kwenye hali ya kimiminika(liquid) so inakuwa nyingi zaidi kwenye mtungi mdogo. LPG au Autogas ni rahisi zaidi kuliko CNG. Hii technologia ikianza kutumika Tanzania wengi watabadili magari yao sababu inapatikana kirahisi nchi nzima sio kama CNG vituo vipo vitatu tu Tanzania(Dar na Mtwara).
Uchambuzi mzuri
 
Kuna jamaa yangu kafunga gesi gari inamsumbua balaa kwenye kuchanganya na akiwasha AC!!!i
Unamaanisha Gari ambazo hazijafungwa mfumo wa Gas hazisumbui eee?

Gereji sijui za kazi gani sasa?
 
Habari wataalam,

Naomba nijue faida na hasara kwa wale waliotumia gesi kama petrol / diesel kwenye magari au bajaji.

natanguliza shukrani zenu kwangu.

Karibuni wataalam.

View attachment 2901825
Gesi inachosha sana engine na gari nyingi sana zinazotumia gesi baada ya miaka 2 zinakuwa hoi unakuta engine inatoa milio kama ngoma za wasambaa hasa hivi vi engine vidogo mfano ist
 
Back
Top Bottom