Faida na hasara za kutumia mafundi maiko kwenye ujenzi

Mafundi maiko mbona wako poa tu na wanjua.kikubwa kama kujenga tafuta fundi maiko aliefanya kazi za kuonekana na macho yako na pia wakupaua nao wapo usimpe jukumu lote amalize fundi huyohuyo wengi njaa atakuambia na kupaua anaweza kumbe hola
 
Ni kweli aisee,kuna engineer alinifanyia calculation za hovyo sana. Wanaweka vitu vikubwa sana kama wanajenga β€œhandaki”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…