CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
Nianze na hasara sababu ni nyingi:
*Tofauti na kale ka dada, Mwijaku hajui mpira ni shabiki hoyahoya ukimuambia akuachambulie hata formation za mpira ni debe tupu.
*Ni lolopolopo haswa halijui kuchuja maneno hana tofauti na lile tambara tulilolitupa
*Akili yake ni kujikweza yeye na kutaka kuonyesha mafanikio ya kitu yanatokana na yeye hapo hana tofauti na lile sukule tambara letu la zamani
FAIDA ZA DC WIJAKU
*Kwa sasa sukule limeletewa mwezi mchanga mwenzake , Its high time ajue kwamba Barbra na Mo dewji ni way above level zake akae kuvurumishishiana matusi na Mwijaku na ndani ya siku moja tu ishajionyesha kwamba ni jambo sahihi kabisa kuwakutanisha nguruwe wawili kwenye zizi lenye matope machafu yanayonuka wavurumushane huko, hata mashabiki wa utopolo wameligundua hilo ndiyo maana wote wana mu attack Mwijaku na siyo kay mziwanda.
Wakati vita ya hawa wehu wawili inaendelea embu tulieni mtutafutie afisa habari anayefanya kazi kiuweledi
*Tofauti na kale ka dada, Mwijaku hajui mpira ni shabiki hoyahoya ukimuambia akuachambulie hata formation za mpira ni debe tupu.
*Ni lolopolopo haswa halijui kuchuja maneno hana tofauti na lile tambara tulilolitupa
*Akili yake ni kujikweza yeye na kutaka kuonyesha mafanikio ya kitu yanatokana na yeye hapo hana tofauti na lile sukule tambara letu la zamani
FAIDA ZA DC WIJAKU
*Kwa sasa sukule limeletewa mwezi mchanga mwenzake , Its high time ajue kwamba Barbra na Mo dewji ni way above level zake akae kuvurumishishiana matusi na Mwijaku na ndani ya siku moja tu ishajionyesha kwamba ni jambo sahihi kabisa kuwakutanisha nguruwe wawili kwenye zizi lenye matope machafu yanayonuka wavurumushane huko, hata mashabiki wa utopolo wameligundua hilo ndiyo maana wote wana mu attack Mwijaku na siyo kay mziwanda.
Wakati vita ya hawa wehu wawili inaendelea embu tulieni mtutafutie afisa habari anayefanya kazi kiuweledi