Faida na umuhimu wa kutofanya Tohara

Faida na umuhimu wa kutofanya Tohara

kama govi ni tabu kuosha, vipi kutawaza nako haiwezekani,ama nako hautawazi?maana sehemu zinazotakiwa usafi wa mara kwa mara ni nyingi ikiwemo na makwapa na kinywa. kama unaoga kila siku hili linatoka wapi?

na huu ni uongo mtakatifu ulikolezwachumvi. binafsi nimetokea huko wasikotahiri kabisa, na nilisoma shule ya mixture yenye mazingira mazuri na safi na wanafunzi wake ni wasafi na wametoka karibu kila kona ya nchi, kulingana na mazingira ilipo shule hiyo wavulana ambao ni wenyeji hawanakuwa wamefanyiwa tohara, na sijawahi kuona,kusikia wala kuhisi kuna mtu ananuka kisa ana govi, na ilikuwa inajulikana tu labda kama mtu wakimkuta anaoga na hata wasichana ilikuwa inabaki siri yao kuwa waapenzi wao hawajafanya tohara, mimi mwenyewe nilikuwa na msichana si tu wa mjini bali pia asili yake ni mzalamo na mnyakyusa na aliishi mazingira hayohayo wanapochukia govi, lakini she loved memore than so much na hakuwahi kulalamikia hilo govi. niliwahi kuandika stori ya huyu mtoto japo sikuimalizia.

imani mbaya sana wakati mwingine inapoaminisha watu isivyo. maana mimi katika kipindi chote hicho huo uchafu haukuwa sehemu yangu.


hii ni mechanism ambayo ipo wazi dhahiri shahiri, maandalizi kabla ya mechi, muda wenyewe ulikuwa miaka 15, ulikuwa unaelewa hata kuwa kuna maandalizi kabla ya mechi? ukweli najua ulikuwa unachomeka tu, matokeo yake unakuta msichana hajawa tayari uke umekauka na wewe hujapata stimulation za kuzalisha vilainishi.

inekuwa sasa, hata usingepata. huko usukumani watu wangekuwa wanakimbiwa na wake zao kama kungekuwa kunajitengeneza vidonda kiasi hiki, wakati ndio kwanza kabla ya ukimwi kuharibu mambo kuna wanaume haohao wenye magovi walikuwa wanatembea na wanawake hata 6 kwa siku moja. eti wewe mmoja tu chali tayari vidonda


hayo mambo ya uume uliotahiriwa ndio yanasababisha zaidi mchubuko hasa kwa wanawake na kuwakosesha raha, kumbuka ngozi yao ya ndani laini sana, inapotokea wewe umechubuka na una sugu je mwanamke anakuwa na hali gani? na isitoshe unakuwa hauna tena vifuko vya kutengeneza oil ya kulainisha kama ilivyoelezwa na unakuwa unategemea majimaji ya ukeni ndio pekee yatumike kulainishia




hapa nadhani hukusomavizuri katika maelezo niliyotoa, na kama umesoma vizuri basi hujaelewa kabisa ndio maana unabisha nakuandika nje ya ukeli ulisemwa kwenye maelezo, hapo hatuzungumzii uume unavyoonekana ukiwa haujadinda.

ile ngozi uwepo wake unaruhusu uume kujitanua zaidi na kuchomoka zaidi na kichwa kinatanuka zaidi wakati unapodinda.

ukitahiri ngozi inakatwa na kuondoka yote hivyo haivutiki na ukidinda ile ngozi inakuwa kama inashikilia uume usiwe mrefu zaidi maana haiko elastic/inavutika tena. ukitaka kujua ukweli huu, tumia mano wa manati inavyovutika, kama ina mipira mifupi na isiyovutika kirahisi hairuhusu kuivuta sana vinginevyo itakatika, ila ikiwa ni ndefu na inavutika utaivuta na kuwana urefu zaidi, labda mpaka niweke picha? ndio uelewe japo siwezi maana uzi utahamishwa kwendaajukwa lingine,


sawa.

usilete habari za biblia hapa, utakimbia mjadala bure. tujadili mengine.

Mshinga umetisha!!! Wanaobisha wanabisha tu kwa sababu mila zao potofu zinasema govi halitakiwi. Wamuulize mwanamke aliyefanywa na mwenye govi na asiyenalo. Mimi sijawahi kuambiwa na mwanamke au mwanaume kuwa uume wangu unanuka, na wala sijawahi kusikia hata kwenye shule za boarding kwa kulalamika kuwa kuna harufu mbaya inayotoka kwenye govi, licha ya kulala bweni moja na kushea kitanda (double decker).
 
kwa hiyo tohara ni kwa ajili ya watu wachafu wanaoamua kutupa faida zote kisa hawawezi kuwa wasafi?



nadhani neno asili/nature linatumika vibaya ama limepotoshwa sana maana yake. asili ndio hilo govi, matumizi ya aina yoyote ya dawa iwe ya miti shamba ama viwandani yatakuwa yanaleta kitu kipya ambacho si asili, asili ina tabia moja ya kujibadilisha yenyewe kulingana na mazingira.



huu ushauri unawalenga wanaokiri kushindwa kutunza miili yao. kama unaoga kila siku huo uchafu unatoka wapi?

Nakuona govinda
 
Tohara ni upuuzi ungine tulio letewa na Waarab na Wazungu na sisi kama kawaida tukaingia mkenge!

Mwanamme mwenye sweta anafurahia tendo la ndoa mara 100 zaidi ya aliyetahiriwa sababu dushe la aliyetahiriwa linakuwa rough na kufanya hisia azipate kwa taabu sana!

Kutahiri ni upuuzi

Kama nakuona govinda
 
Kama nakuona govinda

Mkuu
Wazazi wangu ni moja kati ya wazazi wahanga wa kuiga utamaduni wa Waarab na Wazungu kutahiri watoto wa kiume!

Laiti wangetuacha wenyewe tuchague tunataka tuweje na madushe yetu ingefurahisha sana!Kwa hili waliiminya demokrasia
 
Mkakate hayo magovi....msijesababisha wifi zetu wakashinwa kujinafasi na mic
mmmm, kwani kabla ya tendo watu hawaogi? ujue mnalazimisha vitu sana. sehemu za kutoa uchafu ni nyingi sana, hivi hata hao wanaozama chumvini wanaweza kufanya hivyo kama mwanamke hajajisafisha kabla ya tendo? I dont think so japo mimi si muumini wa hilo, the same na hao wa mic, sasa kama mtu unajisafisha kila siku na inajulikana wazi kuwa kwenye faragha lazima mtu ajinafasi atakavyo ,sasa ishindikane vipi mtu kujiandaa kwa ajili ya sex? na moja ya maandalizi ni kuoga, kupiga mswaki ili kila kona pawe ok. hizi naona ni sababu nyepesi unless kama mtu ni mchafu na kama ni mchafu hata kama hana govi bado huwezi kuongea na MIC kisa ana tohara.
 
Zitolewe tu bwana
alafu wewe yaani huwa nakuzimikia kweli , sasa kumbe nitakukosa? dduuuuuuuuuuuuh. lakini yatupasa tuheshimu faida za foreskin na nyinyi mfurahie zaidi faraghani
 
Heheheh ndio gear yako eeeh
alafu ukija ukakolea hautarudi kutoa mrejesho humu, maana watu wengi wanaongea kwa maneno ya KUSIKIA,KUAMBIWA NA MWISHO WANAAMINI. hakuna neno hata kidogo. you get more sweetness and sensationally crazyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy
 
alafu ukija ukakolea hautarudi kutoa mrejesho humu, maana watu wengi wanaongea kwa maneno ya KUSIKIA,KUAMBIWA NA MWISHO WANAAMINI. hakuna neno hata kidogo. you get more sweetness and sensationally crazyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy

Aya mambo yana ufundi... we team govinda komaa nalo... ila dah govinda
 
Mshinga umetisha!!! Wanaobisha wanabisha tu kwa sababu mila zao potofu zinasema govi halitakiwi. Wamuulize mwanamke aliyefanywa na mwenye govi na asiyenalo. Mimi sijawahi kuambiwa na mwanamke au mwanaume kuwa uume wangu unanuka, na wala sijawahi kusikia hata kwenye shule za boarding kwa kulalamika kuwa kuna harufu mbaya inayotoka kwenye govi, licha ya kulala bweni moja na kushea kitanda (double decker).

unajua watu wengi ni waoga sana kuusimamia ukweli ama kusimamia mabadiliko kwa kutetea ukweli, mimi mwenyewe demu wangu alikuwa mtoto wa town na ni mjanja tu lakini pamoja na kwamba alikuwa anajua mwanaume anapaswa kufanyiwa tohara lakini alipoonja alikolea na hakuwahi kusilimulia tena habari za tohara kwa kuwa hakuna siku hilo govi lilimkera na haikuwahi kuotokea. na ni wasichana wengi wa mjini walikuwa wanapata wavulana na hukohuko na wanatoka nao na hakuna cha malalamiko wala nini. lakini hata leo huyo msichana akiwa hapahapa mjini kwenye chuo fulani anaweza akaogopa kusema ukweli lakini anajua govi WALA HALIMKELI MTU NA ALIKUWA NA FURAHA KAMA WASICHANA WENGINE. aibu inatuponza

nikupe kisa kimoja, kuna jamaa alitahiri akiwa school, hapo yupo form three, bahati mbaya bandage ikachomoka mademu wakaiona ndio siri za kuwa ametahiri zikajulikana na ndipo ikajulikana kumbe alikuwa hajafanya tohara, SASA ILIKUWA WENZAKE NA MADEMU WAKAKAA MIAKA YOTE HIYO WASIJUE KAMA ANA GOVI KAMA LINGEKUWA LINATOA HARUFU AMBAYO HUMU WENGI WANAAMINI HIVYO ?
 
With the uses of MIC, many MCs are prone to oral cancer. Abstain it...........
haya ndio mambo ambayo watu hawataki kusikia, every modification of functionality is more trusted than nature. ukiwashauri waache MIC hawatakuelewa kabisa
 
alafu wewe yaani huwa nakuzimikia kweli , sasa kumbe nitakukosa? dduuuuuuuuuuuuh. lakini yatupasa tuheshimu faida za foreskin na nyinyi mfurahie zaidi faraghani

Natamani nione picha!

Kuna mdau hapo kasema Ina raha yake.... doh, i can imagine
 
Back
Top Bottom