Faida na umuhimu wa kutofanya Tohara

Faida na umuhimu wa kutofanya Tohara

kutunza govi nako ni shughuli kubwa sana mkuu usiangalie faida tu! ile ngozi inayoficha kichwa cha engine huwa inatengeneza unga unga flani hivi ambao unafanana na maziwa mtindi, kama si msafi (and almost wenye magovi wengi huwa ku maintain usafi ni kesi) basi utajikuta unanuka sana!

Kama kesi ni kuwa na dushe yenye quality na quantinty kubwa kama wadada wanavyotaka, kuna njia nyingi sana za asili za kuiwezesha dushe yako iwe kama ziwa la saa 6 mchana!

Mtahiriwe tu! hiyo ni hatua mojawapo ya kujenga nidhamu ya usafi!

Unaitwa utoko inahitaji usafi wa hali ya juu aisee maana kama watu kuoga tu wengne inakuwa shida huko chini si itakuwa balaa
 
Kwa tafsiri isiyo rasmi toka kwangu.

Faida wanazopata wanaume ambao hawajafanyiwa tohara

Benefits enjoyed by males who are intact (not circumcised)
1. Full penis length and circumference. The "prepuce" (foreskin) constitutes 50% or more of the skin system of the penis [1]. If unfolded and spread flat, the average adult foreskin measures 60-90 square centimeters (10-14 square inches) [2]. The foreskin creates a visibly longer penis, especially when the foreskin extends beyond the head of the penis. Also, the double-layered tissue of the foreskin engorges with blood during erection and creates a visibly and sensually thicker shaft and glans.When the engorged foreskin retracts behind the coronal ridge of the glans, it often creates a wider and more pronounced "ridge" that many partners find especially stimulating during penetrative intercourse. The circumcised penis appears truncated and thinner than a full-sized intact penis.

kwa kiswahili
1.Uume wenye urefu na upana kamili
Govi linachangia asilimia 50 au zaidi katika mfumo wa ngozi ya uume.Kama likikunjuliwa na kutandandazwa kwa kunyooshwa. litafikia sentimita za mraba 60 mpaka 90(inchi za mraba 10 mpaka 14).Govi linaufanya uume kuwa mrefu hasa ikiwa govi ni refu kupita kichwa cha uume. Wakati uume unapokuwa unasimama govi hujaa damu na kufanya uume na kichwa cha uume kuongezeka unene.Wakati govi lililojaa damu linapojivuta na kuvuka coronal ridge(sehemu iliyoinuka na yenye upeleupele inayozunguka kichwa cha uume) ya kichwa cha uume kunakuwa kunatengenezwa na kufanya sehemu ya kusisimulia/kusisimuliwa (colonal ridge) kuwa pana zaidi ambapo wapenzi huwafanya wapate stimu wakati wa kusex. Uume uliotahiriwa huonekana umepunguzwa na mwembamba kuliko uume usiotahiriwa ulio na urefu kamili .



2. Protection. The sleeve of tissue known as the foreskin normally covers the glans and protects it from abrasion, drying, callusing (keratinization), and environmental contaminants. The glans is intended by nature to be a protected internal organ, like the female clitoris. The effect of an exposed glans and resulting keratinization on human sexual response has never been studied. Increasing reports by circumcised men indicate that keratinization causes a loss of sexual sensation, pleasure and fulfillment [3, 4].

kwa kiswahili
2.Ulinzi.

Govi linafunika kichwa cha uume na kuzuia mikwaruzo,kukauka,kukakamaa ,kuzuia vitu vinavyoweza kusababisha maambukizi kutoka mazingira ulipo. Kichwa cha uume kinategemewa/kinapaswa kulindwa kwa viuongo vya ndani vya mwanaume kama ilivyo kwa kisimi kwa wanawake. Athari kwa kichwa cha uume ulio wazi katika kukakamaa kwenye mapenzi hazijawahi kufanyiwa utafiti. Taarifa nyingi kwa wanaume waliotahiliwa zinaonyesha kuwa msisimko wa kufanya mapenzi, raha unapungua.



3. Ridged bands. The inner foreskin contains bands of densely innervated, sexually responsive tissue [1]. They constitute a primary erogenous zone of the human penis and are important for realizing the fullness and intensity of sexual response [5].

kwa kiswahili
3.Ridged bands(govi kwa ndani lina sehemu ijulikanayo kama ridged bands).
hii ni sehemu muhimu inayosababisha raha inapoguswa ama kugusika kwa wanaume na kusababisha mwitiko wa kimapenzi/mapenzi.


4. Gliding action. The foreskin is the only moving part of the penis. During any sexual activity, the foreskin and glans work in unison; their mutual interaction creates a complete sexual response. In heterosexual intercourse, the non-abrasive gliding of the penis in and out of itself within the vagina facilitates smooth and pleasurable intercourse for both partners. Without this gliding action, the corona of the circumcised penis can function as a one-way valve, dragging vaginal lubricants out into the drying air and making artificial lubricants essential for non-painful intercourse [6].

kwa kiswahili.
4.Gliding action(kitendo cha kuteleza)

Govi ni sehemu pekee inayoweza kuteleza kwenye uume. wakati wa kufanya mapenzi govi na kichwa cha uume vinafanya kazi pamoja na mujumuiko huu unatengeneza mwitiko kamili wa mapenzi. kitendo cha mtelezo kati ya govi na kichwa cha uume katika kufanya mapenzi wakati wa kuingiza na kutoa uume ndani ya uke kinaweka mazingira kwa tendo kuwa zuri na la raha kwa wapenzi.Bila mtelezo huu, uume uliofanyiwa tohara unafanya kazi ya kutoa nje vilainishi vilivyomo ndani ya uke wa mwanamke na kuvitoa nje kwenye upepo/hewa kavu na hivyo kufanya matumizi ya vilanishi vya kufanyia mapenzi kuwa na matumizi rasimi ili kuzuia maumivu wakati wa tendo kwa wanaume waliotahiriwa.



5. Specialized sensory tissue. In addition to the "ridged bands" mentioned above, thousands of coiled fine-touch receptors (Meissner's corpuscles) constitute the most important sensory component of the penis [1]. The foreskin contains branches of the dorsal nerve and between 10,000 and 20,000 specialized erotogenic nerve endings of several types, which are capable of sensing slight motion and stretch, subtle changes in temperature, and fine gradations in texture [7, 8, 9, 10, 11, 12].

kwa kiswahili
5.uwepo wa mishipa ya hisia

kwa kuongezea kama ilivyoelezwa awali kwenye ridged band, maelfu ya meissner's corpuscles(mishipa ya hisia za mapenzi) yanabeba sehemu muhimu zaidi ya mishipa ya hisia za uume. Govi lina mishipa ya hisia kati ya aina 10,000 na 20,000 ambayo ni maalumu kwa hisia za mapenzi ambayo ina uwezo wa kusababisha kuhisi hata kwa mguso mdogo tu , kuhisi mabadiliko kidogo ya joto na hata kuhisi mguso kidogo tu wa ngozi nyororo.

6. The frenulum. This is a highly nerve-laden web of tissue that tethers the inner foreskin to the underside of the glans. It is similar to the frenula found under the tongue, the upper lip and the clitoral hood (female foreskin). For many intact men, the penile frenulum is a male "G-spot" that is highly pleasurable when repeatedly stretched and relaxed during sexual activity [13]. Depending on the surgical method used, the frenulum is partially to completely destroyed by circumcision.



kwa Kiswahili
6.Frenulum(mshipa)
Hii ni sehemu yenye uwepo mwingi zaidi wa mishipa ya hisia inayounganisha govi na sehemu ya chini ya kichwa cha uume.Hii sehemu ni sawa na mshipa wa chini ya ulimi, pia ni sawa na mshipa uliopo ndani kwenye lips ya juu katika mdomo na pia ni sawa na mashavu ya uke wa mwanamke.. Kwa wanaume wengi wenye govi sehemu hii ni sawa kabisa na G-spot iliyopo kwa wanawake na sehemu hii inasisimka zaidi inapovutika na kusinyaa kwa kadiri unapoingiza na kutoa uume kwenye uke(pumping).Wakati wa tohara sehemu hii huharibiwa kiasi ama huharibiwa kabisa kutegemea na njia itakayotumika kufanya tohara.

7. Proper blood flow. The foreskin contains several feet of blood vessels, including the frenular artery and branches of the dorsal artery. The loss of this rich vascularization interrupts normal blood flow to the shaft and glans of the penis, damaging the natural function of the penis and altering its development [1].


Kwa Kiswahili.
7.Mzunguko stahiki wa damu kwenye uume.
Govi lina mishipa baadhi ya damu ikiwemo FRENULAR ARTERY na matawi ya DORSAL ARTERY. Upotevu wa mishipa hii kwa njia ya tohara inasababisha mfumo wa damu kuzunguka kwenye uume na kichwa cha uume kuharibiwa na kuharibu kabisa MATUMIZI HALISIYA UUME pamoja na kuathiri ukuaji ama kujengeka kwa uume.

8. Immunological defense. The soft mucosa of the inner foreskin produces plasma cells, which secrete immunoglobulin antibodies, and antibacterial and antiviral proteins [7, 14], such as the pathogen-killing enzyme called lysozyme and All of the human mucosa (the linings of the mouth, eyelids, vagina, foreskin and anus) are the body's first line of defense against disease. This benefit of the foreskin could be one possible explanation why intact men are at lower risk of chlamydia and other sexually transmitted diseases [16-21].


Kwa Kiswahili
8.Mfumo wa kujilinda na maambukizi mbalimbali.
Majimaji ndani ya govi yanatoa seli zinazozalisha mfumo wa ulinzi kwa kuzalisha seli za ulinzi,pia seli za kupambana na bacteria na seli za kupambana na virusi. Mathalani enzemu zinazoua viambukizi vya magonjwa. Na kwa ujumla majimaji yote katika mwili wa binadamu ikiwemo yanayopatikana kwenye kuta za macho,uke,mkundun na kwenye govi ni sehemu muhimu na za kwanza kwa mfumo wa ulinzi wa mwanadamu dhidi ya shambulio lolote la maambukizi na magonjwa. Faida ya govi inaweza kuelezwa kama moja ya sababu muhimu ya kwa nini wanaume wenye magovi wapo katika hatari ndogo zaidi ya kuambukizwa ugonjwa wa Chlamydia na magonjwa mengine ya zinaa.

9. Langerhans cells. These specialized epithelial cells are a component of the immune system and may play a role in protecting the penis from sexually transmitted infections such as HIV (AIDS) .

Kwa Kiswahili
9.Langerhans cells.
Hizi ni seli zinazotengeneza sehemu ya mfumo wa ulinzi wa mwanadamu na zinaweza kutumika kuzuia/kukinga uume usiambukizwe na magonjwa ya zinaa kama UKIMWI.

10. Proper lymph flow. The foreskin contains lymphatic vessels, which are necessary for proper lymph flow and immunological functioning.

Kwa Kiswahili
10.mzunguko stahiki wa limfu.
Govi lina mishipa ya limfu ambayo ni muhimu kwa usambaaji wa limfu na kazi ya kiulinzi.


11. Estrogen receptors. The foreskin contains estrogen receptors, whose purpose is not yet fully understood and needs further study [22].


Kwa Kiswahili.
11.Estrogen receptors.
Govi lina estrogen receptors ambazo mpaka sasa hazijafanyiwa utafiti wa kina na kunahitajika utafiti wa kina kujua kazi zake.

12. Apocrine glands. These glands produce pheromones, nature's invisible yet compelling signals to potential sexual partners. The effect of their absence on human sexual behavior has never been studied [23].


Kwa Kiswahili
12.Apocrine glands.
Vifuko hivi huzalisha pheromones, viashiria asilia kwa wapenzi, Athari za kutokuwepo kwa vifuko hivi katika tabia za mapenzi hazijawahi kufanyiwa utafiti.


13. Sebaceous glands. The oils produced by these glands lubricate and moisturize the foreskin and glans, so that the two structures function together smoothly.


Kwa Kiswahili
13. vifuko vya Sebasiasi.
Huzalisha mafuta ya kulainishia govi na kichwa cha uume ili kwa pamoja vitu hivi vifanye kazi kwa pamoja vizuri.

14. Dartos fascia. This is a smooth muscle sheath that underlies the scrotum, the entire penis and the tip of the foreskin. It is necessary for proper temperature regulation of the genitals (causing these structures to elongate in the heat and shrink in the cold). Approximately half of the Dartos fascia is destroyed by circumcision [7].


Kwa Kiswahili.
14.Mshipa wa chini ya uume.
Huu ni mshipa unatokea kwenye korodani mpaka kwenye govi chini ya uume. Kazi yake ni kudhibiti kiwango cha joto linalotakiwa kwenye uume na korodani kwa ajili ya uzalishaji wa mbegu ambapo wakati wa joto , uume huongezeka urefu ili kuruhusu joto kupungua na wakati wa baridi, uume husinyaa ili kuzuia joto zaidi kupote . Baada ya tohara inakadiliwa karibu nusu ya mshipa huu huharibiwa(NB kwa aina ya tohara ya wamasai sehemu hii haihariki maana huwa hawakati sehemu ya chini, wao huita fagio)


15. Natural texture and coloration of the glans. In the intact penis, the glans normally appears moist, shiney, and pinkish-red to dark purple. These visual cues often attract and excite a sexual partner. The glans of a circumcised penis is dry, rough and often light pink to bluish-gray in color.


Kwa Kiswahili
15. Muonekanohalisi na rangi ya kichwa cha uume.

Kwa wanaume ambao hawajafanyiwa tohara, kichwa cha uume huwa nyevunyevu,king'aacho na rangi yenye mchanganyiko wa pink na nyekundu kelekea kwenye weusi na dhambalau.
Muonekano huu unamvutia mpenzi. Kichwa cha uume ulifanyiwa tohara kinaonekana rough na kilichokauka kikiwa na rangi ya pink nyepesi kuelekea rangi ya mchanganyiko wa bluu na kijivu.

16. Zero risk of serious infection or surgical injury. Unfortunate boys who suffer botched circumcisions lose part or all of their penis from surgical mishap or subsequent infection. They are often "sexually reassigned" by castration and "transgender surgery." They are relegated to a life of hormone therapy and are compelled to live their lives as pseudo-females, the success of which has never been fully assessed [24-46].

Kwa Kiswahili
16. Kukwepa hatari yoyote ya maambukizi hatari ama athari na ajari ya tohara.
Kwa bahati mbya vijana ambao hujikuta katika tohara zilizokosewa ama kufanywa vibaya hujikuta wakipoteza sehemu ya uume wao ama uume wote kwa sababu ya makosa yanayoweza kufanywa katika kutahiri ama kwa maambukizi . mara nyingi wanafanyiwa mabadiliko ya jinsia kwa kuhasiwa ama kubadilishwa jinsia.na wanalazimika kuishi kama wanawake kwa kuwa kudungwa dozi ya homoni lakini hata hivyo hili halijaweza kufakiwa kwa kiwango stahiki


17. Zero risk of death from surgery. Every year boy die from the complications of circumcision, a fact that the American circumcision industry ignores, obscures, or downplays [29-31].

Kwa Kiswahili.
17. Kukwepa hatari yoyote ya kifo kitokanacho na tohara.
Kila mwaka vijana wanafariki kutokana na makosa yanayofanywa kwenye tohara , ukweli ambao Mamlaka za tohara nchini Marekani zinaupuuza,kuuzima/kuuzuia ama kuupa nafasi ndogo.



18. Zero risk of delayed or diminished maternal bonding. Circumcision, even if anesthesia is used, causes unavoidable operative trauma and post-operative pain that has been shown to disrupt bonding with the mother, which in turn interferes with the first developmental task of every human, that of trust (trust in human contact, in personal safety, etc) [47-51].


19. Electromagnetic "cross-communication." Anecdotal reports suggest that, without the mucosa of its foreskin, the penis lacks the capacity for the subtle electromagentic energy transfer that occurs during contact between two mucous membranes (the vaginal walls and the exposed inner lining of the foreskin). Such contact contributes to the full experience of sexual pleasure. These reports deserve further scientific study.
20. The foreskin is necessary for optimal health and well-being of the male, as well as contributing to fulfillment
in his sexual relationships.

Kaeni na Magovi yenu Enyi Wagalatia. "Kwa sababu kutahiriwa si kitu, wala kutokutahiriwa, bali kiumbe kipya" (Gal 6:15).


Bwana Yesu mwenyewe alitahiriwa siku ya nane kama Wayahudi wote wa kiume. Tohara ya Yesu inakumbukwa kwa sikukuu maalumu katika makanisa mengi duniani hasa Waorthodoksi.
Agano Jipya inaonyesha jinsi gani suala la tohara lilikuwa motomoto mwanzoni mwa Kanisa, wakati Wakristo wengi walitoka katika Uyahudi.

Kufuatana na kitabu cha
Matendo ya Mitume(15:23-29) Mtaguso wa Mitume uliofanyika Yerusalemu uliamua
Wakristo kutoka mataifa wasilazimishwe kutahiriwa.


Hasa
Mtume Pauloalisisitiza kwamba jambo hilo si muhimu tena, cha maana ni kuwa watu wapya kwa imani.

"Kwa sababu kutahiriwa si kitu, wala kutokutahiriwa, bali kiumbe kipya" (
Gal 6:15).
"Maana sisi tu tohara, tumwabuduo Mungu kwa Roho, na kuona fahari juu ya Kristo Yesu, wala hatuutumainii mwili" (Fil 3:3).
Hata hivyo Wakopti wa Misri na Ethiopiawameendelea kutahiri watoto wao.

 
wamasai na tai zetu hoyeeeeeeeeee haahahahahah post imeniacha hoi ila kuita kale kakifaa ketu fagio nimemaind kichizi yani
 
kusema ukweli, ninyi mnaoshabikia magovi hamuwezi kujua umuhimu wa kutahiri hadi mtahiri. hapo mnaongea bila kujua kilichopo ndio maana mnafikiri mmekamilika bila kutahiri. kuwa na govi ni uchafu mkubwa sana ninyi tu hamjielewi. however, kuenjoy sex nakubaliana nanyi kuwa mnaenjoy kuliko sisi tuliokata, kabla sijatahiri nilishadooo hivyo najua ninachoongea.
 
kusema ukweli, ninyi mnaoshabikia magovi hamuwezi kujua umuhimu wa kutahiri hadi mtahiri. hapo mnaongea bila kujua kilichopo ndio maana mnafikiri mmekamilika bila kutahiri. kuwa na govi ni uchafu mkubwa sana ninyi tu hamjielewi. however, kuenjoy sex nakubaliana nanyi kuwa mnaenjoy kuliko sisi tuliokata, kabla sijatahiri nilishadooo hivyo najua ninachoongea.

Uchafu gani unaoongelea? Harufu yake ikoje? Be honest, amewahi kuwa karibu na mwenye govi na tukasikia harufu mbaya? Waulize made na manesi kama wanakutana na harufu mbaya yoyote itokanayo na magovi wakati wanawapima. Kwa mwenye govi na asiye msafi kweli kunakuwa na utando mweupe katikati ya govi na kichwa, lakini hautoj harufu. La sivyo tungekuwa tunakataliwa na wasichana. Mke wangu anatoka kwenye kabila linalo tahiri wanaume. Nina watoto wawili wa nje ya ndoa wote na mama mbali mbali. Na hawa mama wanatoka kwenye makabila yasiyo tahiri wanaume. Acheni kuongea kwa kuiga tu.
 
Uchafu gani unaoongelea? Harufu yake ikoje? Be honest, amewahi kuwa karibu na mwenye govi na tukasikia harufu mbaya? Waulize made na manesi kama wanakutana na harufu mbaya yoyote itokanayo na magovi wakati wanawapima. Kwa mwenye govi na asiye msafi kweli kunakuwa na utando mweupe katikati ya govi na kichwa, lakini hautoj harufu. La sivyo tungekuwa tunakataliwa na wasichana. Mke wangu anatoka kwenye kabila linalo tahiri wanaume. Nina watoto wawili wa nje ya ndoa wote na mama mbali mbali. Na hawa mama wanatoka kwenye makabila yasiyo tahiri wanaume. Acheni kuongea kwa kuiga tu.
nilishakuwa na govi nikakata ukubwani, nilikata nikiwa na miaka 15, nilibalehe na miaka 13, hivyo two good years nilikuwa nimebalehe na mauchafu yalinitoka usiku nikiwa nimelana asubuhi nayakuta mengi, nikikutana na mwanamke ikasimama kwa kutamani udenda unatoka na kusambaa kwenye govi ukikaa masaa kadhaa unageuka unakuwa mweupe, nikishika mb.olo kwenda kukojoa inanuka mautoko. kuna utoko mweupe mwingi huwa unatoka na kujificha kwenye govi. nilishafanya ngono nikiwa na govi mara kadhaa na ninalijua govi vizurii sana. pamoja na kwamba dini yangu hainilazimishi kukata govi, kwasababu ya kuchekwa na wanafunzi wenzangu nilienda mimi mwenyewe na pesa yangu hospitali wakakata. sasa niko mtu mzima na nimeishi bila govi kwa miaka mingi pia, hivyo najua experience pande zote mbili. kama hauna govi, ukitaka kujua harufu ya govi ilivyo, ni kama vile asubuhi mwanamke asiyekeketwa akiamka kabla hajatawadha mautoko ya asubuhi yanavyonuka ndio hivyohivyo. au mwanake ambaye uchi wake unanuka na govi linanuka vilevile hakuna tofauti.

ukweli ni kwamba, wanawake wote duniani hutamani wanaume wanaokuwa nao wakate govi, ukiona wanakuwa na wewe wakati haujakatwa ujue wanakaa na wewe kwasababu fulani tu ila wanapendelea ungekata. ni sawa na mwanamke kumpenda mwanaume mwenye kibamia, mwanamke atakwambia ohoo mimi sina shinda hata kama kibamia ila moyoni anatamani dushe. wanawadanganya sana hao wanawake. kama mwanamke mwenyewe anauchukia uchafu wake yaani utoko wake ambao unaweza kumsababishia hata fangas, sembuse govi toka kwa mwanaume ambalo anajua kuwa kama atakuwa alichepuka linahifadhi vimelea vingi kuliko aliyekata. wamekudanganya, jichunguze pengine wamekupendea pesa.a kama unataka kuamini wape wale koni alafu waangalie usoni utapata jibu.
 
Mimi Mme wangu ana govi jaman Ni shida linatoa harufu mbaya sana lina nuka boro hilo, afu nadhani huwa Ni kazi sana kulisafisha maana anaweza kulisafisha halafu likapungua tu harufu. Shida nyingine ya govi Ni akipiga tako tatu tu kamaliza, sifurahii mapenzi hata kidogo naweza kufika kilelen Mara moja kwa miezi 3 , afu lenyewe linapenda kugonga kweli.
 
Mimi Mme wangu ana govi jaman Ni shida linatoa harufu mbaya sana lina nuka boro hilo, afu nadhani huwa Ni kazi sana kulisafisha maana anaweza kulisafisha halafu likapungua tu harufu. Shida nyingine ya govi Ni akipiga tako tatu tu kamaliza, sifurahii mapenzi hata kidogo naweza kufika kilelen Mara moja kwa miezi 3 , afu lenyewe linapenda kugonga kweli.

Mengine siri za ndani tusiwe matahira kila wakati.
 
Mengine siri za ndani tusiwe matahira kila wakati.

Peleka ujinga uko siri unazijua weye au na wewe unamtesa mkeo kwa boro ambalo halijatahiriwa badiliken wanaume wenye mikono ya sweta mnatesa wake zenu
 
Mmii nina govi na sasa nina miaka 29. Nimesoma boarding skuls nyingi tu na mpaka sasa nimefanya degree na nipo kazini.

Kiukweli mwanzo nlikuwa najutia sana kuwa na govi coz shule walikuwa wananicheka sana ila tangu nlipoweza kujitambua sijawahi kabisa kuwaza hata kukata hii kitu. Katika wanawake wote nliowahi kukutana nao hapa Dar na mikoani kila mwanamke anapagawaga kimpango wake na sijawahi kufanya sex na mwanamke yeyote akanipiga chini. Sana sana huwa sijui wanasimuliana maana marafiki zao naonaga nao wanajigonga mpaka washkaj zangu wananiambiaga nina dawa za kishirikina kumbe hata!

Kuna wakati unafanya sex na mdada mpaka unaona kweli kachanganyikiwa hajielewi wakat huo huo anakwambia ashakuwa na wanaume wengine b4 lakini huu mziki ni mpya. Wengi sana ninaokutana nao huwa wanapagawa ila nahisi ni kwa sababu hiki wanachopataga kwangu hawakuwahi kukipata sehem yyte coz govi kwa hapa mjini ni one in thousands!

Kuna mdada niliwahi kuwanae mwaka juzi alisema tangu anaanza kuwajua wanaume hakuwahi kupata orgasm inside vagina yaani hakuwahi kukojozwa na mwanaume kwa pennis penetration ya kawaida mpaka labda kwa masturbation ya critoris ila suprisingly I did it for da first time na alishasahu kufikishwa kileleni kwa njia ya kawaida bt alinishangaa jinsi nlivyomkuna mpaka akafika. Alinipenda kama ndo nmemtoa bikra ya pili vile. Alikuwa ana mchumba na alitaka kumuacha bt mimi sikuwa interested nae kuwa mke wangu so tukaishia kuwa partners tu akijisikia alikuwa ananitafuta namtuliza.

I really love my pennis coz kuna muda wakt nipo chuo iliwahi kuniweka mjini kwa mwaka mmoja na nusu nakula nakunywa na pesa napewa na nalindwa mi kazi yangu ni kupiga show za maana tu. Utaanzia wapi kuniambia nikate!?

Kitu kingine nahisi mimi huwa naenjoy sana sex. Sidhani kama wenzangu waliotahiriwa huwa wanafikia hii raha ninayoipata coz nahisi kwao hakuna friction ya kutosha ni kama ni kuchomeka na kuchomoa tu bt nadhan kwangu friction ni kubwa huenda ndo maana na girls huwa wanaenjoy.

Ila kukaa na govi kuna changamoto zake. Usafi ni muhimu sana katika mwili wako. Mfano mimi nikiwa home naoga 3 to 4 times a day ila si kwa sababu ya govi pia napenda sana kuoga na kuwa msafi. Sasa kwa wenzangu wa kula lazima kuoga hiyari ni balaa. Pia kuna jinsi ya kuuweka uume wako ili ukae unapata hewa kama uliotahiriwa. Hii inasaidia kuonekana mzuri unavutia pia ngozi ya ndani inakaa nje mda mrefu hivyo inakuwa ngumu na hivyo kuhimili frictions bila kuleta michubuko haraka hii husaidia kuzuia maambukizi ya magonjwa kirahisi. Inasaidia pia kuuweka uume katika shape ya kutahiliwa na kwa sababu inakaa hivi mda wote inakuwa automatically ipo katika shape hiyo hata ukiitoa inarudi tu na ni ngumu sana mwanamke kujua kama hujatahiriwa coz inavutia kama nyingine tu. Pia siwezi kufanya sex na mwanamke yeyote mpaka nioge kwanza nijisafishe vizuri hii inaniweka vizuri psycologically na kumset free mwanamke kucheza na dushe langu bila wasiwasi.

Some of girls washaninyonya cone several times bt sijawahi kuona wakishtuka au wakiniuliza kitu ila naona kama wanaishangaa mashine yangu huenda wanaifananisha na wanazoonaga kwenye movie na sio wanazoonaga live kwa wengine bt otherwise huwa wanaenoy nami nawa set free kuchezea dushe langu bila wasiwasi.

Kiafya naamini ina madhara lakini sio kama tunavyokaririshwa. Usafi ni muhimu sana ukiwa na govi na tuelewe kuwa govi halisababishi magonjwa ila kama haliko sterilized linachangia transmission kirahisi tu especially kwa STDs na UTI.

Tusipotoshane, wazungu wanaowaambia muyakate wao hawayakati ingia google usome % ya wanaume wa kiingereza waliotahiri utashangaa! Haifiki hata nusu! Sio kwamba tuwaige kwa kutotahiri ila tujue kuwa kutahiri sio kila kitu. Wao wanaenjoy na wake na waume zao kwa hayo hayo magovi na tunawaona wana akili ila sisi akionekana mwenye govi ni sheedah!

All in all I really love my pennis and I feel lucky kuwa nalo mpaka leo. Nawashukuru walionilea kuliacha mpaka leo na siwezi kumsikiliza ----- yeyote aniambie nilikate. Tena nahisi tutagombana kabisa na huyo mtu maana faida yake naiona mimi.

Wewe kama umeshalikata ujue ndo halirudi tena ila mimi ninalo bado na silikati coz naona faida zake kwangu ni nyngi kuliko hasara zake na hizo hasara zake pia nshajua jinsi ya kuziepuka/kuzicontol kwa hiyo ni kama hazipo tena.

Kwa maoni binafsi au kutaka ushauri njoo PM kwa maoni ya kawaida we endelea hapa hapa wala usijali. Hata ukitaka kutukana we tukana tu ila ndo ivo ushakuwa na mkosi ulikata lako mi sikati.
 
1037e7b38145af0670d989b4143e5bd3.jpg
A reduced risk of some sexually transmitted diseases in men. Protection against penile cancer and a reduced risk of cervical cancer in female sex partners. Prevention of balanitis (inflammation of the glans) and balanoposthitis (inflammation of the glans and foreskin).Sep
 
1037e7b38145af0670d989b4143e5bd3.jpg
A reduced risk of some sexually transmitted diseases in men. Protection against penile cancer and a reduced risk of cervical cancer in female sex partners. Prevention of balanitis (inflammation of the glans) and balanoposthitis (inflammation of the glans and foreskin).Sep
acdb98b6e7aca679bf4fa99305e25379.jpg
 
Back
Top Bottom