Faida na umuhimu wa kutofanya Tohara


Unaitwa utoko inahitaji usafi wa hali ya juu aisee maana kama watu kuoga tu wengne inakuwa shida huko chini si itakuwa balaa
 
Kaeni na Magovi yenu Enyi Wagalatia. "Kwa sababu kutahiriwa si kitu, wala kutokutahiriwa, bali kiumbe kipya" (Gal 6:15).


Bwana Yesu mwenyewe alitahiriwa siku ya nane kama Wayahudi wote wa kiume. Tohara ya Yesu inakumbukwa kwa sikukuu maalumu katika makanisa mengi duniani hasa Waorthodoksi.
Agano Jipya inaonyesha jinsi gani suala la tohara lilikuwa motomoto mwanzoni mwa Kanisa, wakati Wakristo wengi walitoka katika Uyahudi.

Kufuatana na kitabu cha
Matendo ya Mitume(15:23-29) Mtaguso wa Mitume uliofanyika Yerusalemu uliamua
Wakristo kutoka mataifa wasilazimishwe kutahiriwa.


Hasa
Mtume Pauloalisisitiza kwamba jambo hilo si muhimu tena, cha maana ni kuwa watu wapya kwa imani.

"Kwa sababu kutahiriwa si kitu, wala kutokutahiriwa, bali kiumbe kipya" (
Gal 6:15).
"Maana sisi tu tohara, tumwabuduo Mungu kwa Roho, na kuona fahari juu ya Kristo Yesu, wala hatuutumainii mwili" (Fil 3:3).
Hata hivyo Wakopti wa Misri na Ethiopiawameendelea kutahiri watoto wao.

 
wamasai na tai zetu hoyeeeeeeeeee haahahahahah post imeniacha hoi ila kuita kale kakifaa ketu fagio nimemaind kichizi yani
 
kusema ukweli, ninyi mnaoshabikia magovi hamuwezi kujua umuhimu wa kutahiri hadi mtahiri. hapo mnaongea bila kujua kilichopo ndio maana mnafikiri mmekamilika bila kutahiri. kuwa na govi ni uchafu mkubwa sana ninyi tu hamjielewi. however, kuenjoy sex nakubaliana nanyi kuwa mnaenjoy kuliko sisi tuliokata, kabla sijatahiri nilishadooo hivyo najua ninachoongea.
 

Uchafu gani unaoongelea? Harufu yake ikoje? Be honest, amewahi kuwa karibu na mwenye govi na tukasikia harufu mbaya? Waulize made na manesi kama wanakutana na harufu mbaya yoyote itokanayo na magovi wakati wanawapima. Kwa mwenye govi na asiye msafi kweli kunakuwa na utando mweupe katikati ya govi na kichwa, lakini hautoj harufu. La sivyo tungekuwa tunakataliwa na wasichana. Mke wangu anatoka kwenye kabila linalo tahiri wanaume. Nina watoto wawili wa nje ya ndoa wote na mama mbali mbali. Na hawa mama wanatoka kwenye makabila yasiyo tahiri wanaume. Acheni kuongea kwa kuiga tu.
 
nilishakuwa na govi nikakata ukubwani, nilikata nikiwa na miaka 15, nilibalehe na miaka 13, hivyo two good years nilikuwa nimebalehe na mauchafu yalinitoka usiku nikiwa nimelana asubuhi nayakuta mengi, nikikutana na mwanamke ikasimama kwa kutamani udenda unatoka na kusambaa kwenye govi ukikaa masaa kadhaa unageuka unakuwa mweupe, nikishika mb.olo kwenda kukojoa inanuka mautoko. kuna utoko mweupe mwingi huwa unatoka na kujificha kwenye govi. nilishafanya ngono nikiwa na govi mara kadhaa na ninalijua govi vizurii sana. pamoja na kwamba dini yangu hainilazimishi kukata govi, kwasababu ya kuchekwa na wanafunzi wenzangu nilienda mimi mwenyewe na pesa yangu hospitali wakakata. sasa niko mtu mzima na nimeishi bila govi kwa miaka mingi pia, hivyo najua experience pande zote mbili. kama hauna govi, ukitaka kujua harufu ya govi ilivyo, ni kama vile asubuhi mwanamke asiyekeketwa akiamka kabla hajatawadha mautoko ya asubuhi yanavyonuka ndio hivyohivyo. au mwanake ambaye uchi wake unanuka na govi linanuka vilevile hakuna tofauti.

ukweli ni kwamba, wanawake wote duniani hutamani wanaume wanaokuwa nao wakate govi, ukiona wanakuwa na wewe wakati haujakatwa ujue wanakaa na wewe kwasababu fulani tu ila wanapendelea ungekata. ni sawa na mwanamke kumpenda mwanaume mwenye kibamia, mwanamke atakwambia ohoo mimi sina shinda hata kama kibamia ila moyoni anatamani dushe. wanawadanganya sana hao wanawake. kama mwanamke mwenyewe anauchukia uchafu wake yaani utoko wake ambao unaweza kumsababishia hata fangas, sembuse govi toka kwa mwanaume ambalo anajua kuwa kama atakuwa alichepuka linahifadhi vimelea vingi kuliko aliyekata. wamekudanganya, jichunguze pengine wamekupendea pesa.a kama unataka kuamini wape wale koni alafu waangalie usoni utapata jibu.
 
Mimi Mme wangu ana govi jaman Ni shida linatoa harufu mbaya sana lina nuka boro hilo, afu nadhani huwa Ni kazi sana kulisafisha maana anaweza kulisafisha halafu likapungua tu harufu. Shida nyingine ya govi Ni akipiga tako tatu tu kamaliza, sifurahii mapenzi hata kidogo naweza kufika kilelen Mara moja kwa miezi 3 , afu lenyewe linapenda kugonga kweli.
 

Mengine siri za ndani tusiwe matahira kila wakati.
 
Mengine siri za ndani tusiwe matahira kila wakati.

Peleka ujinga uko siri unazijua weye au na wewe unamtesa mkeo kwa boro ambalo halijatahiriwa badiliken wanaume wenye mikono ya sweta mnatesa wake zenu
 
Mmii nina govi na sasa nina miaka 29. Nimesoma boarding skuls nyingi tu na mpaka sasa nimefanya degree na nipo kazini.

Kiukweli mwanzo nlikuwa najutia sana kuwa na govi coz shule walikuwa wananicheka sana ila tangu nlipoweza kujitambua sijawahi kabisa kuwaza hata kukata hii kitu. Katika wanawake wote nliowahi kukutana nao hapa Dar na mikoani kila mwanamke anapagawaga kimpango wake na sijawahi kufanya sex na mwanamke yeyote akanipiga chini. Sana sana huwa sijui wanasimuliana maana marafiki zao naonaga nao wanajigonga mpaka washkaj zangu wananiambiaga nina dawa za kishirikina kumbe hata!

Kuna wakati unafanya sex na mdada mpaka unaona kweli kachanganyikiwa hajielewi wakat huo huo anakwambia ashakuwa na wanaume wengine b4 lakini huu mziki ni mpya. Wengi sana ninaokutana nao huwa wanapagawa ila nahisi ni kwa sababu hiki wanachopataga kwangu hawakuwahi kukipata sehem yyte coz govi kwa hapa mjini ni one in thousands!

Kuna mdada niliwahi kuwanae mwaka juzi alisema tangu anaanza kuwajua wanaume hakuwahi kupata orgasm inside vagina yaani hakuwahi kukojozwa na mwanaume kwa pennis penetration ya kawaida mpaka labda kwa masturbation ya critoris ila suprisingly I did it for da first time na alishasahu kufikishwa kileleni kwa njia ya kawaida bt alinishangaa jinsi nlivyomkuna mpaka akafika. Alinipenda kama ndo nmemtoa bikra ya pili vile. Alikuwa ana mchumba na alitaka kumuacha bt mimi sikuwa interested nae kuwa mke wangu so tukaishia kuwa partners tu akijisikia alikuwa ananitafuta namtuliza.

I really love my pennis coz kuna muda wakt nipo chuo iliwahi kuniweka mjini kwa mwaka mmoja na nusu nakula nakunywa na pesa napewa na nalindwa mi kazi yangu ni kupiga show za maana tu. Utaanzia wapi kuniambia nikate!?

Kitu kingine nahisi mimi huwa naenjoy sana sex. Sidhani kama wenzangu waliotahiriwa huwa wanafikia hii raha ninayoipata coz nahisi kwao hakuna friction ya kutosha ni kama ni kuchomeka na kuchomoa tu bt nadhan kwangu friction ni kubwa huenda ndo maana na girls huwa wanaenjoy.

Ila kukaa na govi kuna changamoto zake. Usafi ni muhimu sana katika mwili wako. Mfano mimi nikiwa home naoga 3 to 4 times a day ila si kwa sababu ya govi pia napenda sana kuoga na kuwa msafi. Sasa kwa wenzangu wa kula lazima kuoga hiyari ni balaa. Pia kuna jinsi ya kuuweka uume wako ili ukae unapata hewa kama uliotahiriwa. Hii inasaidia kuonekana mzuri unavutia pia ngozi ya ndani inakaa nje mda mrefu hivyo inakuwa ngumu na hivyo kuhimili frictions bila kuleta michubuko haraka hii husaidia kuzuia maambukizi ya magonjwa kirahisi. Inasaidia pia kuuweka uume katika shape ya kutahiliwa na kwa sababu inakaa hivi mda wote inakuwa automatically ipo katika shape hiyo hata ukiitoa inarudi tu na ni ngumu sana mwanamke kujua kama hujatahiriwa coz inavutia kama nyingine tu. Pia siwezi kufanya sex na mwanamke yeyote mpaka nioge kwanza nijisafishe vizuri hii inaniweka vizuri psycologically na kumset free mwanamke kucheza na dushe langu bila wasiwasi.

Some of girls washaninyonya cone several times bt sijawahi kuona wakishtuka au wakiniuliza kitu ila naona kama wanaishangaa mashine yangu huenda wanaifananisha na wanazoonaga kwenye movie na sio wanazoonaga live kwa wengine bt otherwise huwa wanaenoy nami nawa set free kuchezea dushe langu bila wasiwasi.

Kiafya naamini ina madhara lakini sio kama tunavyokaririshwa. Usafi ni muhimu sana ukiwa na govi na tuelewe kuwa govi halisababishi magonjwa ila kama haliko sterilized linachangia transmission kirahisi tu especially kwa STDs na UTI.

Tusipotoshane, wazungu wanaowaambia muyakate wao hawayakati ingia google usome % ya wanaume wa kiingereza waliotahiri utashangaa! Haifiki hata nusu! Sio kwamba tuwaige kwa kutotahiri ila tujue kuwa kutahiri sio kila kitu. Wao wanaenjoy na wake na waume zao kwa hayo hayo magovi na tunawaona wana akili ila sisi akionekana mwenye govi ni sheedah!

All in all I really love my pennis and I feel lucky kuwa nalo mpaka leo. Nawashukuru walionilea kuliacha mpaka leo na siwezi kumsikiliza ----- yeyote aniambie nilikate. Tena nahisi tutagombana kabisa na huyo mtu maana faida yake naiona mimi.

Wewe kama umeshalikata ujue ndo halirudi tena ila mimi ninalo bado na silikati coz naona faida zake kwangu ni nyngi kuliko hasara zake na hizo hasara zake pia nshajua jinsi ya kuziepuka/kuzicontol kwa hiyo ni kama hazipo tena.

Kwa maoni binafsi au kutaka ushauri njoo PM kwa maoni ya kawaida we endelea hapa hapa wala usijali. Hata ukitaka kutukana we tukana tu ila ndo ivo ushakuwa na mkosi ulikata lako mi sikati.
 
A reduced risk of some sexually transmitted diseases in men. Protection against penile cancer and a reduced risk of cervical cancer in female sex partners. Prevention of balanitis (inflammation of the glans) and balanoposthitis (inflammation of the glans and foreskin).Sep
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…