Uchaguzi 2020 Faida nyingine kwa Tundu Lissu, anabebwa na mkoa anaotoka

Uchaguzi 2020 Faida nyingine kwa Tundu Lissu, anabebwa na mkoa anaotoka

Tundu Lisu ni mgombea sahihi wa upinzani kwa sasa,kama alivyo Magu kwa upande wa Chama tawala, mgawanyo wa upinzani mara kwenda kwa ACT, CHADEMA na mawanyo mwingine wa CUF halisi na CUF ya Lipumba ndivyo vitakua mtaji kwa CCM.
 
Hahaha Wanyira bana kwa hiyo mmeshindwa tayari mmekimbilia ukabila jinga kabisa.Namba hazikubali kwa Lissu hana watu. Ukiingiza ukabila ndiyo kabisaaaaaa, poleni
 
Tundu Lisu ni mgombea sahihi wa upinzani kwa sasa,kama alivyo Magu kwa upande wa Chama tawala, mgawanyo wa upinzani mara kwenda kwa ACT, CHADEMA na mawanyo mwingine wa CUF halisi na CUF ya Lipumba ndivyo vitakua mtaji kwa CCM.
Such a benevolent truth that should be told. Mi kwa kweli bado simuamini Membe. Ni bora Lissu apambane na JPM maana aliodhihirisha hilo kwa vitendo miaka michache iliyopita
 
Lissu kakamilika kila idara
Huwezi kumkuta na makando kando.
Hata hizo flyover hawezi kuyauza screpa
#NI YEYE
 
Kachero Mbobezi ndo habari ya mjini kwa sasa!

Kama hoja yako ingekuwa valid basi Anna Mgwira angekuwa ndiye Rais wa JMT kupitia ACT.
 
Such a benevolent truth that should be told. Mi kwa kweli bado simuamini Membe. Ni bora Lissu apambane na JPM maana aliodhihirisha hilo kwa vitendo miaka michache iliyopita
Once a spy always spy perhaps Bernad yupo kimkakati kusaidia chama chake alichokulia. Who knows?
 
Mtu mwenye akili timamu ataachaje kumpigia kura Magu ? Mnafikili Urais ni kama kuokota Dodo chini ya muembe ?.. Mtu kakaa Belgium huko karibu miaka mitatu, hajui shida za watanzania , alafu simply tu eti watu wamchague kwa kipi hasa ,!. Hatutoi kura kwa simpathy , aeleze atafanya Nini zaidi ya alichofanya JPM ndo tumpe kura.
Ili awaumize tena 5 yrs
 
Mkuu hakuna anaemuweza JPM kwa uchaguzi huu , tunadanganyana na kujifariji tu !. Watatoa challenge tu ila hawawezi kushinda huo ndo ukweli mchungu !. Huwezi kuwa na mgombea mmoja mmoja wa Cdm , act , cuf na wengine then ushinde dhidi ya CCM never !.
Wanaungana
 
Mtu mwenye akili timamu ataachaje kumpigia kura Magu ? Mnafikili Urais ni kama kuokota Dodo chini ya muembe ?.. Mtu kakaa Belgium huko karibu miaka mitatu, hajui shida za watanzania , alafu simply tu eti watu wamchague kwa kipi hasa ,!. Hatutoi kura kwa simpathy , aeleze atafanya Nini zaidi ya alichofanya JPM ndo tumpe kura.
Kuna mtz yeyeto mwenye akili timamu atachagua kuteseka tena 5 yrs
 
Naamini hata ugomvi wao wa wenyewe kwa wenyewe ulikuwa wa kimkakati...Kinachofanywa sasa ni sawa na mzazi wa watoto watatu kwenda dukani kununua soda mbili kisha arudi nazo nyumbani na kuwapatia mtoto wa pili moja na wa tatu ya pili kisha wamgawie mdogo wao nusu nusu...simply mdogo atakuwa amekunywa ujazo mkubwa kuliko wenzie. Kuitoa CCM madarakani bila kuwa na upinzani ulioshikamana ni jambo la kufikirika na kusadikika kwa wakati mmoja.
 
Kwa Mara nyingi kwa miaka mingi CCM wamekua wakipiga propaganda mfu juu ya VIONGOZi na wagombea wa CHADEMA kuwa ni wa kutoka Kaskazini.

Sasa faida kubwa aliyonayo Tundu Lissu na CHADEMA ni sehemu anayotoka na Uraia wake pia.

Lissu anatoka katika Mkoa ambao haulaumiwi, hauogopwi, hauchukiwi wala haupigwi vita kwa chochote kama mikoa ya kaskazini (ingawa chuki hizo ni ujinga na Ukaburu tu.)

Lissu anatoka Singida. Mkoa wa Singida upo katikati ya Tanzania. Tundu Lissu hana utata wa Uraia.

Kwa Mkoa anaotoka Lissu hakuna mtu anaweza kumchukia kwa sababu Watanzania hupenda kuongozwa na Rais atokaye katika makabila yenye idadi ndogo ya watu.

Kama Wazanaki, Wazaramu, Wakwere na Wamakonde.

Kwa kifupi Lissu anabebwa na uraia wake na Mkoa anaotoka.
Kila unapogusa Lissu anajizole point tu
 
Back
Top Bottom