Familia nyingi zinavuja damu, zimejeruhiwa na siasa za kijinga za awamu hii.
Kutekwa watu,kuuawa na kubambikwa kesi ni Mambo yanayoichafua sana hii awamu na haistahili kuongezwa muhula mwingine kwani kufanya hivyo ni kutowatendea haki ndugu zetu kama Mawazo, Ben saa8, Kanguye, Tito Magoti,Azory,Mdude, Lissu na wengineo wengi
Kutekwa watu,kuuawa na kubambikwa kesi ni Mambo yanayoichafua sana hii awamu na haistahili kuongezwa muhula mwingine kwani kufanya hivyo ni kutowatendea haki ndugu zetu kama Mawazo, Ben saa8, Kanguye, Tito Magoti,Azory,Mdude, Lissu na wengineo wengi