Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,403
- 12,775
CCM wataongelewa na madaraja na zahanatiKwanini mada nzuri nzuri kumhisu Lisu zimeongezeka kuliko za ccm kueleza kazi walizozifanya katika miaka 5?
Huyo mshamba mwenye roho mbaya asiweza kuzuia chuki na ubaguzi wake yeye achaguliwe kwa kipi hasa?eti watu wamchague kwa kipi hasa ,!
Kwa sababu kwa kawaida makopo matupu huwa na kelele nyingiKwanini mada nzuri nzuri kumhisu Lisu zimeongezeka kuliko za ccm kueleza kazi walizozifanya katika miaka 5?
Such a benevolent truth that should be told. Mi kwa kweli bado simuamini Membe. Ni bora Lissu apambane na JPM maana aliodhihirisha hilo kwa vitendo miaka michache iliyopitaTundu Lisu ni mgombea sahihi wa upinzani kwa sasa,kama alivyo Magu kwa upande wa Chama tawala, mgawanyo wa upinzani mara kwenda kwa ACT, CHADEMA na mawanyo mwingine wa CUF halisi na CUF ya Lipumba ndivyo vitakua mtaji kwa CCM.
Once a spy always spy perhaps Bernad yupo kimkakati kusaidia chama chake alichokulia. Who knows?Such a benevolent truth that should be told. Mi kwa kweli bado simuamini Membe. Ni bora Lissu apambane na JPM maana aliodhihirisha hilo kwa vitendo miaka michache iliyopita
maybeOnce a spy always spy perhaps Bernad yupo kimkakati kusaidia chama chake alichokulia. Who knows?
Ili awaumize tena 5 yrsMtu mwenye akili timamu ataachaje kumpigia kura Magu ? Mnafikili Urais ni kama kuokota Dodo chini ya muembe ?.. Mtu kakaa Belgium huko karibu miaka mitatu, hajui shida za watanzania , alafu simply tu eti watu wamchague kwa kipi hasa ,!. Hatutoi kura kwa simpathy , aeleze atafanya Nini zaidi ya alichofanya JPM ndo tumpe kura.
WanaunganaMkuu hakuna anaemuweza JPM kwa uchaguzi huu , tunadanganyana na kujifariji tu !. Watatoa challenge tu ila hawawezi kushinda huo ndo ukweli mchungu !. Huwezi kuwa na mgombea mmoja mmoja wa Cdm , act , cuf na wengine then ushinde dhidi ya CCM never !.
Kuna mtz yeyeto mwenye akili timamu atachagua kuteseka tena 5 yrsMtu mwenye akili timamu ataachaje kumpigia kura Magu ? Mnafikili Urais ni kama kuokota Dodo chini ya muembe ?.. Mtu kakaa Belgium huko karibu miaka mitatu, hajui shida za watanzania , alafu simply tu eti watu wamchague kwa kipi hasa ,!. Hatutoi kura kwa simpathy , aeleze atafanya Nini zaidi ya alichofanya JPM ndo tumpe kura.
Naamini hata ugomvi wao wa wenyewe kwa wenyewe ulikuwa wa kimkakati...Kinachofanywa sasa ni sawa na mzazi wa watoto watatu kwenda dukani kununua soda mbili kisha arudi nazo nyumbani na kuwapatia mtoto wa pili moja na wa tatu ya pili kisha wamgawie mdogo wao nusu nusu...simply mdogo atakuwa amekunywa ujazo mkubwa kuliko wenzie. Kuitoa CCM madarakani bila kuwa na upinzani ulioshikamana ni jambo la kufikirika na kusadikika kwa wakati mmoja.maybe
Ni wauaji tu yote yamemezwa na wengi waliowapoteza na wengine kufungwa magerezani bila sababu za msingiKwanini mada nzuri nzuri kumhisu Lisu zimeongezeka kuliko za ccm kueleza kazi walizozifanya katika miaka 5?
Kila unapogusa Lissu anajizole point tuKwa Mara nyingi kwa miaka mingi CCM wamekua wakipiga propaganda mfu juu ya VIONGOZi na wagombea wa CHADEMA kuwa ni wa kutoka Kaskazini.
Sasa faida kubwa aliyonayo Tundu Lissu na CHADEMA ni sehemu anayotoka na Uraia wake pia.
Lissu anatoka katika Mkoa ambao haulaumiwi, hauogopwi, hauchukiwi wala haupigwi vita kwa chochote kama mikoa ya kaskazini (ingawa chuki hizo ni ujinga na Ukaburu tu.)
Lissu anatoka Singida. Mkoa wa Singida upo katikati ya Tanzania. Tundu Lissu hana utata wa Uraia.
Kwa Mkoa anaotoka Lissu hakuna mtu anaweza kumchukia kwa sababu Watanzania hupenda kuongozwa na Rais atokaye katika makabila yenye idadi ndogo ya watu.
Kama Wazanaki, Wazaramu, Wakwere na Wamakonde.
Kwa kifupi Lissu anabebwa na uraia wake na Mkoa anaotoka.
Mada nzuri kwa Lissu, kura nyingi kwa Magufuli! Ahahahahahahah! Kijumbejumbe tu!!!!Kwanini mada nzuri nzuri kumhisu Lisu zimeongezeka kuliko za ccm kueleza kazi walizozifanya katika miaka 5?