Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya kushindwa kuuwa upinzani mmeamua kutengeneza upinzani juu ya upinzani hela za kuchezea mnazo za kutatua shida zetu hamna
Hauko seriousNCCR Mageuzi unaijua vizuri
Nyie chadema yenu haijafikia hata nusu ya mafanikio ya Nccr mageuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Zinalipia kesiUpo sawa lakini kwa nguvu mliokua mmeshindwa hata kujenga ofisi kuu ya chama, M300 ya ruzuku na michango ya wabungunge na zile za ujerumani mnazipeleka wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa hawamo kwenye list ya korona?Tunajua NCCR Mageuzi Ndio chama ambacho upepo unakivumia vizuri baada ya kupita kwenye mawimbi mengi kwa miaka kumi mfululizo!
Kuna kila dalili hawa jamaa ndio wataunda kambi ya Upinzani wakishirikiana na Cuf au ACT Wazalendo
Faida ya NCCR Mageuzi kuwa Chama kikuu cha upinzani
1. Itaharakisha maendeleo kwani hawa watu wanasiasa za kistaarabu na hawana matusi tofauti na upinzani uliopo
2.Hawana historia ya kutumiwa na Mabeberu kuisaliti Nchi tofauti na chama Kilichopo ambacho kimekuwa kikiwatetea Mabeberu badala ya kuwapigania Watanzania
3.kina idadi kubwa ya wasomi refer Masumbuko Lamwai anatajwa kuwa mwanasheria bora kuwahi kutokea kwa Siasa za Upinzani, hivyo watashirikiana na serkali katika kuijenga Nchi
4 Vurugu na lugha mbaya zitaisha bungeni, tutakumbuka kuwa NCCR mageuzi Ndio chama chenye rekodi ya kuwa na wabunge Wengi bungeni kwa wakati moja Lakini hawakuwahi kufanya vurugu bungeni kama Wapinzani waliopo wanaofanya
5.NCCR Mageuzi ina makao makuu bora kabisa hawa waliopo Chama kimepanga kwenye nyumba ya mtu tena ndogo
6.Hakikuwahi kuwadhihaki makaada wake alipoondoka Mrema, Marando hawakumtukana Walisema ni siasa ila wasasa mwanachama akiwakimbia anatukanwa kila aina ya Matusi
7. NCCR Mageuzi kilikuwa chama cha kitaifa Watanzania wote walikiheshimu
Karibuni NCCR Mageuzi Katika ujenzi wa Taifa letu la Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya zoezi la kununua wapinzani sasa mmeanza kununua vyama.
Hizo hela mgewekeza kukabiliana na corona kuliko kununua wapinzani na vyama vyao.
Sasa ngoja corona iwatafune,na kuwafata huko mafichoni mliko.
Hawa hawamo kwenye list ya korona?
Sent from my SM-A720F using Tapatalk
Pale kada wa CCM anapochagua chama kikuu cha upinzani kiwe kipi [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]!
Huyu mtoa post nae vipi? Naona umeibuka kama jua la leo la alasiri ambalo hata hatuelewi ni ishara gani.
Na yule anaesema tufanye maombi anasahau kwamba kuna mambo muhimu ya kuchukulia serious
Shetani akikusifu maana yake hufai mbinguni wala dunuiani
Nipo hapa corner bar na rafiki yangu tunapata Bia yetu moja hapa na rafiki yangu anadai kuwa tokea lini CCM wameanza kupenda vyama vya upinzani hapa nchini kama siyo unafiki!
hakuna chama cha upinzani cha kufanya waliyofanya CDM Tz, hakuna na hakitakuwepo!Chadema ni chama kikuu cha upinzani, wameshindwa kutekeleza majukumu yao Ndio tunawasema
Sent using Jamii Forums mobile app
Alisifiwa sana Mrema na TLP yake,wakaona haibebeki!Sasa wamehamia NCCR kutest mitambo!
Upo sawa lakini kwa nguvu mliokua mmeshindwa hata kujenga ofisi kuu ya chama, M300 ya ruzuku na michango ya wabungunge na zile za ujerumani mnazipeleka wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmmmm! sijui kama watamkodi kwa muda MREMA ili aje kufanya aliyoyafanya 1995.