Uchaguzi 2020 Faida tutakazopata Watanzania NCCR Mageuzi atakapokuwa chama kikuu cha upinzani baada ya Oktoba 2020

Huyu mtoa post nae vipi? Naona umeibuka kama jua la leo la alasiri ambalo hata hatuelewi ni ishara gani.

Na yule anaesema tufanye maombi anasahau kwamba kuna mambo muhimu ya kuchukulia serious
 
Hawa hawamo kwenye list ya korona?

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
 
Baada ya zoezi la kununua wapinzani sasa mmeanza kununua vyama.
Hizo hela mgewekeza kukabiliana na corona kuliko kununua wapinzani na vyama vyao.
Sasa ngoja corona iwatafune,na kuwafata huko mafichoni mliko.
 
Huo ni wivu kwa Nccr mageuzi Baada ya Chadema kufubaa kisiasa
Baada ya zoezi la kununua wapinzani sasa mmeanza kununua vyama.
Hizo hela mgewekeza kukabiliana na corona kuliko kununua wapinzani na vyama vyao.
Sasa ngoja corona iwatafune,na kuwafata huko mafichoni mliko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…