Kigorohe
Senior Member
- May 21, 2019
- 160
- 255
Habari zenu wana JF! Namshukuru Mungu kwa kunipa nasafasi hii ya kuongezeana maarifa na ujuzi ya kulijenga taifa letu.
Bila kupoteza muda naomba niende kwenye mada.
Mimi ni mwanafunzi lakini pia huwa najishugulisha na maswala ya kilimo. Nimelima takribani misimu mitatu bila ya kupata mazao ya uhakika.
Hii huenda inasabishwa na kutokuwa na nguvu za kutosha katika kuhudumia mazao pindi yapo shambani.
Lakini kulingana na mavuno hafifu ktk misimu yote hiyo, nimeamua kubadili mawazo ya kuhamia katika kilimo cha miti aina ya mikaratusi.
Maana hii nahisi hainahitaji huduma kubwa sana ukilinganisha na mazao kama mahindi, karanga au viazi.
Jamani unajua humu kuna wataalam wa kilimo nipeni ushauri wa ziada.
Bila kupoteza muda naomba niende kwenye mada.
Mimi ni mwanafunzi lakini pia huwa najishugulisha na maswala ya kilimo. Nimelima takribani misimu mitatu bila ya kupata mazao ya uhakika.
Hii huenda inasabishwa na kutokuwa na nguvu za kutosha katika kuhudumia mazao pindi yapo shambani.
Lakini kulingana na mavuno hafifu ktk misimu yote hiyo, nimeamua kubadili mawazo ya kuhamia katika kilimo cha miti aina ya mikaratusi.
Maana hii nahisi hainahitaji huduma kubwa sana ukilinganisha na mazao kama mahindi, karanga au viazi.
Jamani unajua humu kuna wataalam wa kilimo nipeni ushauri wa ziada.