Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
Mkuu huyu akiingia Bungeni anakwenda kuwa waziri, hata waktio uliopita alikuwepo, je alibadili nini?
tukubaliane kitnendo cha kuwa waziri na wakati huohuo mbunge kawaida huwezi timiza majukumu yako ya ubunge hata siku moja.
tukubaliane kitnendo cha kuwa waziri na wakati huohuo mbunge kawaida huwezi timiza majukumu yako ya ubunge hata siku moja.