Faida ya Yanga kutoa sure kwa mechi ya marudiano

Faida ya Yanga kutoa sure kwa mechi ya marudiano

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Mara nyingi timu inaposhinda nyumbani, ikienda ugenini hujipanga kutafuta sare ya aina yoyote na kwa maana hiyo, hucheza zaidi mchezo wa kujihami na si kutafuta magoli.

Hali hii huzigharimu timu nyingi kwani hupelekea kushambuliwa huku yenyewe hushambulia kwa kukabiliana zaidi badala ya kufanya mashambulizi ya kupanga.

Kinachotokea ni mara nyingi timu inayoshambulia muda wote kufanikiwa katika kuanza kufunga na hatimaye kuibuka na ushindi huku timu inayocheza mchezo wa kujihami kuanza kushambulia mara nyingine ikiwa wameshachelewa huku kisaikokjia wakiwa tayari wameshaathirika na hivyo inakuwa rahisi kupoteza mchezo wa marudiano.

Hivyo, kwasababu Yanga haijapata ushindi nyumbani, hawawezi kwenda kucheza mchezo wa kujihami na badala yake watacheza kutafuta magoli kama ambayo Al Hilal nao watacheza ili washinde.

Kwa msingi huo, mechi ya marudiano itakuwa ni ya ushindani na si mchezo wa upande mmoja kama ambavyo ingekuwa iwapo Yanga angeshinda nyumbani na hii ndio faida ya Yanga kutoa sare na wapinzani wao.

Kwasababu Al Hilal inafungika, Yanga wakirekebisha makosa yao madogo madogo huku wakicheza kutafuta ushindi na wanaweza kuandika historia mpya katika hii mchezo.

Naomba niishie hapa tusubiri siku husika iwadie.
 
Nabi ni mbovu kwenye mechi za kimataifa. Ana panga ki kosi uta dhani ana cheza mechi za Ligi na Mbeya City au Singida Big Stars. Hizi Game za CAF ni za mtoano. Hakuna kulemba. Ali takiwa , aanze na Joyce Lomalisa badala ya Jesus Moloko. Pia, ange mtoa kibwana Shomari hata dk ya 26 tu, kwani alipwaya aingie Bakari Nondo Mwamnyeto afu abadilidhe mfumo no na mbinu , wachezaji uwanjani kati ya Faisal na Aziz Ki. Pia aongeze, UKALI. Wachezaji wana lipwa mishahara minono kuliko watu wa Masters Degree, mil 7 hadi mil 15 ila hawajitumi, hawana fighting spirit, mpira wanao cheza hauna maajabu...ni sawa tu na mpira wa Polisi Tz. Aucho, Bangala, Aziz Ki, Jesus Moloko, Diarra, Kisinda, nk hawa wana cheza chini ya kiwango. Aziz Ki ana tabia ya kupooza sana mpira pale shambulizi linapo hitajika. Diarra ana zubaa sana golini na ni mvivu wa kufanya maamuzi hasa mipira ya kona ..hata yale Makosa ya goli la jana (kosa la Bangala), kipa (Diarra) angekuwa shapu, ange futa makosa ya beki kwa kufuata na ku udaka mpira juu hewani (ana tabia ya kubaki sana golini bila kufuata mipira juu kama alivyo kuwa ana fanya kipa wa Al Hilal). Faridi Mussa huwa ana kosa la kukosa Focus (ana mbio na anaweza kukokota mpira vizuri sanaaa ila either atoe cross mbovu au achelewe kutoa cross/pasi hana tofauti sana na Kibu Denis).

Mechi za Yanga hazina nguvu, pressure. Kocha ajaribu kuwachezesha mazoezi ya mpira wa Nguvu na Kasi kama Manchester City (ikiwezekana mazoezini wacheze dk 120).

Viongozi wa YANGA kuweni wakali. Wapeni Malengo wachezaji. Penalty ziwepo kwenye Mikataba ya mishahara zao kama Manchester United. Hela ya YANGA tuna hitaji kuona matunda yake. Kama ni wachezaji wa hivyo! Fukuzeni sajilini wa ndani ya nchi tu, hizo hela za Wadhamini tujenge uwanja wetu.

YANGA BADO INA NAFASI YA KUFUZU. KOCHA AACHE MASIHARA.
 
Nabi ni mbovu kwenye mechi za kimataifa. Ana panga ki kosi uta dhani ana cheza mechi za Ligi na Mbeya City au Singida Big Stars. Hizi Game za CAF ni za mtoano. Hakuna kulemba. Ali takiwa , aanze na Joyce Lomalisa badala ya Jesus Moloko. Pia, ange mtoa kibwana Shomari hata dk ya 26 tu, kwani alipwaya aingie Bakari Nondo Mwamnyeto afu abadilidhe mfumo no na mbinu , wachezaji uwanjani kati ya Faisal na Aziz Ki. Pia aongeze, UKALI. Wachezaji wana lipwa mishahara minono kuliko watu wa Masters Degree, mil 7 hadi mil 15 ila hawajitumi, hawana fighting spirit, mpira wanao cheza hauna maajabu...ni sawa tu na mpira wa Polisi Tz. Aucho, Bangala, Aziz Ki, Jesus Moloko, Diarra, Kisinda, nk hawa wana cheza chini ya kiwango. Aziz Ki ana tabia ya kupooza sana mpira pale shambulizi linapo hitajika. Diarra ana zubaa sana golini na ni mvivu wa kufanya maamuzi hasa mipira ya kona ..hata yale Makosa ya goli la jana (kosa la Bangala), kipa (Diarra) angekuwa shapu, ange futa makosa ya beki kwa kufuata na ku udaka mpira juu hewani (ana tabia ya kubaki sana golini bila kufuata mipira juu kama alivyo kuwa ana fanya kipa wa Al Hilal). Faridi Mussa huwa ana kosa la kukosa Focus (ana mbio na anaweza kukokota mpira vizuri sanaaa ila either atoe cross mbovu au achelewe kutoa cross/pasi hana tofauti sana na Kibu Denis).

Mechi za Yanga hazina nguvu, pressure. Kocha ajaribu kuwachezesha mazoezi ya mpira wa Nguvu na Kasi kama Manchester City (ikiwezekana mazoezini wacheze dk 120).

Viongozi wa YANGA kuweni wakali. Wapeni Malengo wachezaji. Penalty ziwepo kwenye Mikataba ya mishahara zao kama Manchester United. Hela ya YANGA tuna hitaji kuona matunda yake. Kama ni wachezaji wa hivyo! Fukuzeni sajilini wa ndani ya nchi tu, hizo hela za Wadhamini tujenge uwanja wetu.

YANGA BADO INA NAFASI YA KUFUZU. KOCHA AACHE MASIHARA.
Pumbavu [emoji1]

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Sasa hivi wananchi wameshapoteana! Poleni sana. Kumbukeni Mpira unadunda, bado kuna dk. 90 nyingine kule Khartoum, mnaweza mkashinda au mkatoa sare yoyote ya kuanzia magoli 2 na mkasonga mbele!
 
Mkiona Simba anafika robo fainali mara tatu mnaona rahisi,mnatakiwa mkomae umbwa nyie[emoji28][emoji23]
Daah!🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Walidhani ni kazi rahisi kama kumeza mlenda 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mara nyingi timu inaposhinda nyumbani, ikienda ugenini hujipanga kutafuta sare ya aina yoyote na kwa maana hiyo, hucheza zaidi mchezo wa kujihami na si kutafuta magoli.

Hali hii huzigharimu timu nyingi kwani hupelekea kushambuliwa huku yenyewe hushambulia kwa kukabiliana zaidi badala ya kufanya mashambulizi ya kupanga.

Kinachotokea ni mara nyingi timu inayoshambulia muda wote kufanikiwa katika kuanza kufunga na hatimaye kuibuka na ushindi huku timu inayocheza mchezo wa kujihami kuanza kushambulia mara nyingine ikiwa wameshachelewa huku kisaikokjia wakiwa tayari wameshaathirika na hivyo inakuwa rahisi kupoteza mchezo wa marudiano.

Hivyo, kwasababu Yanga haijapata ushindi nyumbani, hawawezi kwenda kucheza mchezo wa kujihami na badala yake watacheza kutafuta magoli kama ambayo Al Hilal nao watacheza ili washinde.

Kwa msingi huo, mechi ya marudiano itakuwa ni ya ushindani na si mchezo wa upande mmoja kama ambavyo ingekuwa iwapo Yanga angeshinda nyumbani na hii ndio faida ya Yanga kutoa sare na wapinzani wao.

Kwasababu Al Hilal inafungika, Yanga wakirekebisha makosa yao madogo madogo huku wakicheza kutafuta ushindi na wanaweza kuandika historia mpya katika hii mchezo.

Naomba niishie hapa tusubiri siku husika iwadie.
Yanga wakirekebisha makosa yao Alhilal wao hawatorekebisha?
 
Yanga wakirekebisha makosa yao Alhilal wao hawatorekebisha?
Wanajiona wao tu hesabu zao ndy huwa zinaishia hapo faida huwa wanaiweka upande wao alaf hasara kwa mpinzani
Wakifika sas uwanjan kwenye uhalisia wanapoteana
 
Mara nyingi timu inaposhinda nyumbani, ikienda ugenini hujipanga kutafuta sare ya aina yoyote na kwa maana hiyo, hucheza zaidi mchezo wa kujihami na si kutafuta magoli.

Hali hii huzigharimu timu nyingi kwani hupelekea kushambuliwa huku yenyewe hushambulia kwa kukabiliana zaidi badala ya kufanya mashambulizi ya kupanga.

Kinachotokea ni mara nyingi timu inayoshambulia muda wote kufanikiwa katika kuanza kufunga na hatimaye kuibuka na ushindi huku timu inayocheza mchezo wa kujihami kuanza kushambulia mara nyingine ikiwa wameshachelewa huku kisaikokjia wakiwa tayari wameshaathirika na hivyo inakuwa rahisi kupoteza mchezo wa marudiano.

Hivyo, kwasababu Yanga haijapata ushindi nyumbani, hawawezi kwenda kucheza mchezo wa kujihami na badala yake watacheza kutafuta magoli kama ambayo Al Hilal nao watacheza ili washinde.

Kwa msingi huo, mechi ya marudiano itakuwa ni ya ushindani na si mchezo wa upande mmoja kama ambavyo ingekuwa iwapo Yanga angeshinda nyumbani na hii ndio faida ya Yanga kutoa sare na wapinzani wao.

Kwasababu Al Hilal inafungika, Yanga wakirekebisha makosa yao madogo madogo huku wakicheza kutafuta ushindi na wanaweza kuandika historia mpya katika hii mchezo.

Naomba niishie hapa tusubiri siku husika iwadie.
Kiurahisi tu ? 🤣🤣🤣 aisee mnajifariji bado
 
Mara nyingi timu inaposhinda nyumbani, ikienda ugenini hujipanga kutafuta sare ya aina yoyote na kwa maana hiyo, hucheza zaidi mchezo wa kujihami na si kutafuta magoli.

Hali hii huzigharimu timu nyingi kwani hupelekea kushambuliwa huku yenyewe hushambulia kwa kukabiliana zaidi badala ya kufanya mashambulizi ya kupanga.

Kinachotokea ni mara nyingi timu inayoshambulia muda wote kufanikiwa katika kuanza kufunga na hatimaye kuibuka na ushindi huku timu inayocheza mchezo wa kujihami kuanza kushambulia mara nyingine ikiwa wameshachelewa huku kisaikokjia wakiwa tayari wameshaathirika na hivyo inakuwa rahisi kupoteza mchezo wa marudiano.

Hivyo, kwasababu Yanga haijapata ushindi nyumbani, hawawezi kwenda kucheza mchezo wa kujihami na badala yake watacheza kutafuta magoli kama ambayo Al Hilal nao watacheza ili washinde.

Kwa msingi huo, mechi ya marudiano itakuwa ni ya ushindani na si mchezo wa upande mmoja kama ambavyo ingekuwa iwapo Yanga angeshinda nyumbani na hii ndio faida ya Yanga kutoa sare na wapinzani wao.

Kwasababu Al Hilal inafungika, Yanga wakirekebisha makosa yao madogo madogo huku wakicheza kutafuta ushindi na wanaweza kuandika historia mpya katika hii mchezo.

Naomba niishie hapa tusubiri siku husika iwadie.
Hongera kwa kujitia moyo!! Tatizo uto hawana historia ya kupindua matokeo kwenye mechi za kimataifa!! Ikumbukwe waliwahi kudai watapindua meza huko nigeria baada ya kufungwa hapa nyumbani, matokeo yake kila mtu anayajua, walirudi kimya kimya!!
 
Faida kutoa sare nyumbani
eti faida ya kutoka sare home nimemdharau sana huyu mwamba hata kama Mwananchi atashinda ugenini lakin alichoongea ni pumba kwenye siasa yupo vizur ila huku ni lijinga tu
 
Back
Top Bottom