Faida za kuathirika na HIV (UKIMWI

Una maanisha mnakuwa mnafanyana wenyewe kwa wenyewe si ndio?

Maana kuambukiza wengine sio faida, inatakiwa mnaofanya hivyo makusudi mhukumiwe kisheria kabisa
 
Ndio maana UKIMWI hauishi kama waathirika wenyewe akili ndio hizi, hivi 🦠 virus au vinakula ubongo
Pia kama ulikuwa ukichukua tahadhari juu ya HIV (UKIMWI), yaani bado haujaathirika basi endelea kuchukua tahadhali maana sehemu ya faida nitakazoziweka hapo chini si chochote si lolote ukilinganisha na hasara.
 
Ukiwa na mwenendo wa aina hii na ukauzingatia huishi hata miaka 7 na UKIMWI. Unakufa mapema sana ukiwa umening'iniza meno nje.
 
Uzi unapotosha sana huu.
HIV zipo aina mbili.
Ukipata HIV type 1 unashauriwa ujihadhari sana ili usipate type 2 maana ukiwa na type 1 usipokuwa makini ukapata tena type 2 matokeo yake hapo kifo njenje.

Nifupishe kwa kusema kuwa ukiwa mwathirika haimaanishi kuwa sasa unaweza kujiachia tu kusex kiholela kwa kuwa tayari ushaupata,.. Lah hasha.. Unapaswa kuzidisha umakini zaidi kwenye kujikinga, tena hata kushinda mtu ambaye bado hajaathirika.
 
Rudia faida namba 5.
Kufa mapema pia ni faida.
 
Vijana wa hovyo hovyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…