Faida za kuathirika na HIV (UKIMWI

Faida za kuathirika na HIV (UKIMWI

1. KUTOKUWA NA MIPAKA WALA HOFU KATIKA TENDO
Hii mara hofu juu ya HIV hupunguza sana raha ya tendo na kukosa na umahiri. Pia ukufanya kuwa mipaka na woga kwenye baadhi ya watu katika jamii yako inayokuzunguka na kupelekea kuwaogopa na kushindwa kufanya nao.

2. KUFANYA KAVU WAKATI WOTE KWA YEYOTE (yaani bila KINGA)
Ndugu yangu asikwambie mtu, miongoni mwa faida waathirika huzipata ni kuinjoi tendo wakati wote bila kukumbuka kinga bila hofu tena.

4. KUKUFAYA KUPATA WATOTO KWA WINGI
Ambao bado hawajathirika wengi wao wamekuwa na spidi ndogo ya kupata watoto na hii ni mara kwa mara kuwa na matumizi ya condom hali ambayo huwapelekea spidi yao ya kutia mimba na kutiwa mimba kupungua.
Una maanisha mnakuwa mnafanyana wenyewe kwa wenyewe si ndio?

Maana kuambukiza wengine sio faida, inatakiwa mnaofanya hivyo makusudi mhukumiwe kisheria kabisa
 
Ndio maana UKIMWI hauishi kama waathirika wenyewe akili ndio hizi, hivi 🦠 virus au vinakula ubongo
Pia kama ulikuwa ukichukua tahadhari juu ya HIV (UKIMWI), yaani bado haujaathirika basi endelea kuchukua tahadhali maana sehemu ya faida nitakazoziweka hapo chini si chochote si lolote ukilinganisha na hasara.
 
20240915_183024.jpg


Max ikikupendeza tuongezee option ya kureply kwa sauti 🙌😅
 
Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️

Ndugu yangu leo ngoja nije na faida za kuwa muathirika wa HIV.

Kama wewe ni muathirika wa HIV basi tafadhali soma hadi mwisho itakusaidia.

Pia kama ulikuwa ukichukua tahadhari juu ya HIV (UKIMWI), yaani bado haujaathirika basi endelea kuchukua tahadhali maana sehemu ya faida nitakazoziweka hapo chini si chochote si lolote ukilinganisha na hasara.

Twende sawa.

Unaambiwa katika dunia kila kitu kina hasara na faida. Hivyo kabla kufikilia kufanya unashauliwa kuanza kuangalia pande zote mbili yaani (ADVANTAGE na DESADVANTAGE ) kimombo changu changu kinaweza kisiwe sawa ni kutokana na kiwango chagu cha elimu.

Basi bwana, miongoni mwa faida kubwa ya kuwa muathirika ni

1. KUTOKUWA NA MIPAKA WALA HOFU KATIKA TENDO
Hii hofu juu ya HIV hupunguza sana raha ya tendo na kukosa na umahiri. Pia ukufanya kuwa na mipaka na woga kwenye baadhi ya watu katika jamii yako inayokuzunguka na kupelekea kuwaogopa na kushindwa kufanya nao.

2. KUFANYA KAVU WAKATI WOTE KWA YEYOTE (yaani bila KINGA)

Ndugu yangu asikwambie mtu, miongoni mwa faida waathirika huzipata ni kuinjoi tendo wakati wote bila kukumbuka kinga bila hofu tena.

3. KUTOKUPATA MAGONJWA MADOGO MADOGO YA ZINAA

Unaambiwa dawa za ARV huwa na antibiotic ndani yake hii antibiotic pia huwasaidia waathirika kutokuandamwa na magonjwa madogo madogo mfano UTI, gono, kaswende na magonjwa ya namna hiyo ndio maana sio ajabu kwa muathirika kukwambia kuwa hajui GONO ni nini.

4. KUKUFAYA KUPATA WATOTO KWA WINGI

Ambao bado hawajathirika wengi wao wamekuwa na spidi ndogo ya kupata watoto na hii ni mara kwa mara kuwa na matumizi ya condom hali ambayo huwapelekea spidi yao ya kutia mimba na kutiwa mimba kupungua.

5. KUKUFANYA UFE MAPEMA KABLA YA UKONGWE

Ndugu yangu UKONGWE ni mbaya sana. Hivyo watumia wengi wa ARV hufa mapema kabla ya kuzeeka UKONGWE.

Nikisema UKONGWE namaanisha ile kuanzia miaka 80 na kuendelea jambo ambalo waathirika wengi wa HIV hawafiki.

Akhsante.
Ukiwa na mwenendo wa aina hii na ukauzingatia huishi hata miaka 7 na UKIMWI. Unakufa mapema sana ukiwa umening'iniza meno nje.
 
Uzi unapotosha sana huu.
HIV zipo aina mbili.
Ukipata HIV type 1 unashauriwa ujihadhari sana ili usipate type 2 maana ukiwa na type 1 usipokuwa makini ukapata tena type 2 matokeo yake hapo kifo njenje.

Nifupishe kwa kusema kuwa ukiwa mwathirika haimaanishi kuwa sasa unaweza kujiachia tu kusex kiholela kwa kuwa tayari ushaupata,.. Lah hasha.. Unapaswa kuzidisha umakini zaidi kwenye kujikinga, tena hata kushinda mtu ambaye bado hajaathirika.
 
Uzi unapotosha sana huu.
HIV zipo aina mbili.
Ukipata HIV type 1 unashauriwa ujihadhari sana ili usipate type 2 maana ukiwa na type 1 usipokuwa makini ukapata tena type 2 matokeo yake hapo kifo njenje.

Nifupishe kwa kusema kuwa ukiwa mwathirika haimaanishi kuwa sasa unaweza kujiachia tu kusex kiholela kwa kuwa tayari ushaupata,.. Lah hasha.. Unapaswa kuzidisha umakini zaidi kwenye kujikinga, tena hata kushinda mtu ambaye bado hajaathirika.
Rudia faida namba 5.
Kufa mapema pia ni faida.
 
Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️

Ndugu yangu leo ngoja nije na faida za kuwa muathirika wa HIV.

Kama wewe ni muathirika wa HIV basi tafadhali soma hadi mwisho itakusaidia.

Pia kama ulikuwa ukichukua tahadhari juu ya HIV (UKIMWI), yaani bado haujaathirika basi endelea kuchukua tahadhali maana sehemu ya faida nitakazoziweka hapo chini si chochote si lolote ukilinganisha na hasara.

Twende sawa.

Unaambiwa katika dunia kila kitu kina hasara na faida. Hivyo kabla kufikilia kufanya unashauliwa kuanza kuangalia pande zote mbili yaani (ADVANTAGE na DESADVANTAGE ) kimombo changu changu kinaweza kisiwe sawa ni kutokana na kiwango chagu cha elimu.

Basi bwana, miongoni mwa faida kubwa ya kuwa muathirika ni

1. KUTOKUWA NA MIPAKA WALA HOFU KATIKA TENDO
Hii hofu juu ya HIV hupunguza sana raha ya tendo na kukosa na umahiri. Pia ukufanya kuwa na mipaka na woga kwenye baadhi ya watu katika jamii yako inayokuzunguka na kupelekea kuwaogopa na kushindwa kufanya nao.

2. KUFANYA KAVU WAKATI WOTE KWA YEYOTE (yaani bila KINGA)

Ndugu yangu asikwambie mtu, miongoni mwa faida waathirika huzipata ni kuinjoi tendo wakati wote bila kukumbuka kinga bila hofu tena.

3. KUTOKUPATA MAGONJWA MADOGO MADOGO YA ZINAA

Unaambiwa dawa za ARV huwa na antibiotic ndani yake hii antibiotic pia huwasaidia waathirika kutokuandamwa na magonjwa madogo madogo mfano UTI, gono, kaswende na magonjwa ya namna hiyo ndio maana sio ajabu kwa muathirika kukwambia kuwa hajui GONO ni nini.

4. KUKUFAYA KUPATA WATOTO KWA WINGI

Ambao bado hawajathirika wengi wao wamekuwa na spidi ndogo ya kupata watoto na hii ni mara kwa mara kuwa na matumizi ya condom hali ambayo huwapelekea spidi yao ya kutia mimba na kutiwa mimba kupungua.

5. KUKUFANYA UFE MAPEMA KABLA YA UKONGWE

Ndugu yangu UKONGWE ni mbaya sana. Hivyo watumia wengi wa ARV hufa mapema kabla ya kuzeeka UKONGWE.

Nikisema UKONGWE namaanisha ile kuanzia miaka 80 na kuendelea jambo ambalo waathirika wengi wa HIV hawafiki.

Akhsante.
Vijana wa hovyo hovyo.
 
Back
Top Bottom