Faida za kuathirika na HIV (UKIMWI

Kweli Tanzania ina vichaa, nilikua nafkiri hawapo !
 
Nahunga mkono hoja
 
Faida kubwa niliyoiona hapo labda ni kuwahi kuonana na muumba mbingu na ardhi.
 
Faida kubwa niliyoiona hapo labda ni kuwahi kuonana na muumba mbingu na ardhi.
Mwanangu wewe umeona kwenye kuwahi KUFA tu,. Angalia angalia vizuri, unaeza pata faida ingine nikupe kama zawadi.
 
2. KUFANYA KAVU WAKATI WOTE KWA YEYOTE (yaani bila KINGA)

Ndugu yangu asikwambie mtu, miongoni mwa faida waathirika huzipata ni kuinjoi tendo wakati wote bila kukumbuka kinga bila hofu tena.

Umeandika hapa bila kufahamu ya kwamba waathirika wa HIV husisitizwa kutumia kinga kwa sababu kuu mbili.

1. Kuzuia kuambukiza wengine
2. Kuzuia wao wenyewe kupata maambukizi mapya (hii ndio umesahau wakati ukileta point yako)
 
Ukimaliza uje na faida za kuwa na gonorea na syphills

N.b
Najua ulikuwa haujui kwamba waathirika wanawaeza kupata maambukizi mapya sasa wewe jiachie na ukimwi wako uje upate hiv virus 2.0 ndo akili itakukaa sawa
 
Ukimaliza uje na faida za kuwa na gonorea na syphills

N.b
Najua ulikuwa haujui kwamba waathirika wanawaeza kupata maambukizi mapya sasa wewe jiachie na ukimwi wako uje upate hiv virus 2.0 ndo akili itakukaa sawa
Hiyo akili kunikaa sawa naamini ipo kwenye faida namba 5
 
Na uchaa wako nikuona UKIMWI una hasara tu
Ulichokiandika kina kinzana na Shirika la Afya duniani pamoja na Wizara ya afya hapo una hatari unaweza kuchukuliwa hatua mdogo wangu
Kuwa na ukimwi sio mwisho wa maisha laki usiandike tena hivi

Labda nikufundishe namna nzuri ya kuandika.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…