Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 1,380
- 1,686
- Thread starter
-
- #81
Hizo ni hasara, alafu unachotakiwa kufahamu ni kwamba mimi nimekuja na faida pekee, hivyo kama unaifahamu faida yeyote ya HIV, UKIMWI na ARV iweke kama haujui na unajua hasara basi amka uende kazini achana na simu asubuhi hiiUmeandika hapa bila kufahamu ya kwamba waathirika wa HIV husisitizwa kutumia kinga kwa sababu kuu mbili.
1. Kuzuia kuambukiza wengine
2. Kuzuia wao wenyewe kupata maambukizi mapya (hii ndio umesahau wakati ukileta point yako)
Kwahiyo shirika la afya duniani hawafahamu kuwa kuna FAIDA za HIV na UKIMWI au wanafahamu ila hawataki watu wajue?Ulichokiandika kina kinzana na Shirika la Afya duniani pamoja na Wizara ya afya hapo una hatari unaweza kuchukuliwa hatua mdogo wangu
Kuwa na ukimwi sio mwisho wa maisha laki usiandike tena hivi
Labda nikufundishe namna nzuri ya kuandika.....
Sawa MkuuMasikini hafilisiki,hii faida usisahau kuiweka
Shirika la Afya duniani halijawahi kuona faida za Ukimwi ndiyo maana limewekeza mabilioni ya dola kupambana na UkimwiKwahiyo shirika la afya duniani hawafahamu kuwa kuna FAIDA za HIV na UKIMWI au wanafahamu ila hawataki watu wajue?
Duniani kupi unapokuzungumzia?Shirika la Afya duniani halijawahi kuona faida za Ukimwi ndiyo maana limewekeza mabilioni ya dola kupambana na Ukimwi
Hilo mbona lipo wazi,ukiwa uja athirika ama katika familia yako ujaguswa moja kwa moja na ugonjwa huu utaudhihaki upendavyo
Hapana ndugu yangu hawakuleta Corona, Corona ilitoka China kwenye maabara za wanasayansi wa kichina waliokosea Formula na sio MarekaniDuniani kupi unapokuzungumzia?
Hawa si ndio walikuja na corona ambayo mr magu aliiona kwenye papai na mbuzi?
Au wewe unajua hao wa duniani kwako wanajua kila kitu?
Sasa kawaambie kuna kijana kafanya tafiti kaja na faida.
He, ndugu kumbe duniani ni Marekani?Hapana ndugu yangu hawakuleta Corona, Corona ilitoka China kwenye maabara za wanasayansi wa kichina waliokosea Formula na sio Marekani
Magufuli alifanya makosa na kutenda dhambi kubwa sana ya kuwasingizia Marekani
Marekani hawakuhusika kwa chochote
Asante, jioni na iwe njema kwako.Aise! Huu ndiyo uzi wa aina yake wa kufungia mwaka 2024!
Umewashutumu Shirika la Afya duniani ndiyo maana nimekusahihishaHe, ndugu kumbe duniani ni Marekani?
Unatumia akili ipi kufikiria?
Yaani hapa tunaongelea DUNIANI wewe umeitaja Marekani ivi unaakili timamu kweli?
Kumbe shirika la afya duniani ni Marekani?Umewashutumu Shirika la Afya duniani ndiyo maana nimekusahihisha
When diplomats met to form the United Nations in 1945, one of the things they discussed was setting up a global health organization. WHO’s Constitution came into force on 7 April 1948 – a date we now celebrate every year as World Health Day.Umewashutumu Shirika la Afya duniani ndiyo maana nimekusahihisha
Shirika la Afya duniani makao makuu ni Switzerland, lilifanikiwa baada kujiunga na umoja wa mataifa duniani wafadhili wake wakubwa wakiwa ni Marekani, Wwingereza, Germany na wengineoKumbe shirika la afya duniani ni Marekani?
Excellent MrWhen diplomats met to form the United Nations in 1945, one of the things they discussed was setting up a global health organization. WHO’s Constitution came into force on 7 April 1948 – a date we now celebrate every year as World Health Day.
In April 1945, during the Conference to set up the United Nations (UN) held in San Francisco, representatives of Brazil and China proposed that an international health organization be established and a conference to frame its constitution convened. On 15 February 1946, the Economic and Social Council of the UN instructed the Secretary-General to convoke such a conference. A Technical Preparatory Committee met in Paris from 18 March to 5 April 1946 and drew up proposals for the Constitution which were presented to the International Health Conference in New York City between 19 June and 22 July 1946. On the basis of these proposals, the Conference drafted and adopted the Constitution of the World Health Organization, signed 22 July 1946 by representatives of 51 Members of the UN and of 10 other nations.
The Conference established also an Interim Commission to carry out certain activities of the existing health institutions until the entry into force of the Constitution of the World Health Organization. The preamble and Article 69 of the Constitution of WHO provide that WHO should be a specialized agency of the UN. Article 80 provides that the Constitution would come into force when 26 members of the United Nations had ratified it. The Constitution did not come into force until 7 April 1948, when the 26th of the 61 governments who had signed it ratified its signature. The first Health Assembly opened in Geneva on 24 June 1948 with delegations from 53 of the 55 Member States. It decided that the Interim Commission was to cease to exist at midnight on 31 August 1948, to be immediately succeeded by WHO.
Kwahiyo mmarekani yule raisi wake mwenye kulala kipuuzi kwenye vikao na kusahau sahau inahusiana na nini na maada yangu ?Excellent Mr
Nimeishia kusoma hapa kwenye pharmacology zenu za vijiweni.Unaambiwa dawa za ARV huwa na antibiotic ndani yake hii antibiotic pia huwasaidia waathirika kutokuandamwa na magonjwa madogo madogo mfano UTI, gono, kaswende na magonjwa ya namna hiyo ndio maana sio ajabu kwa muathirika kukwambia kuwa hajui GONO ni nini.
Pasipo Marekani tusingeweza kuwasiliana anatusaidia sana kwenye technology na mambo mengineyo hivyo basi tutakuwa wendawazimu kwa kutokutambua faida zakeKwahiyo mmarekani yule raisi wake mwenye kulala kipuuzi kwenye vikao na kusahau sahau inahusiana na nini na maada yangu ?
Ushawahi kula HIVNimeishia kusoma hapa kwenye pharmacology zenu za vijiweni.
Yani dawa iliyo katika kundi la kudeal na virus unasema inayo antibiotic ndani tena?