Faida za kuathirika na HIV (UKIMWI

Me nikajua sababu za kisayansi kwamba mwili unakuwa na kamechanism Fulani hiviii labda kumbe aaah au basi
 
Pasipo Marekani tusingeweza kuwasiliana anatusaidia sana kwenye technology na mambo mengineyo hivyo basi tutakuwa wendawazimu kwa kutokutambua faida zake

Je unamtambua KONOSUKE MATSUSHITA?
 
Je ni mmarekani au hauutambui mchango wake au haujui hao wamarekani walivyochukua matilio kwake
Ni mjapan alifariki kwa matatizo ya mapafu
Marekani yeye anatengeneza operating system inamaana sawa na roho ya kuendesha mwili

Utatengeneza simu lakini yeye atakupa operating system kwahiyo huwezi kuacha kumtaja
 
Ni mjapan alifariki kwa matatizo ya mapafu
Marekani yeye anatengeneza operating system inamaana sawa na roho ya kuendesha mwili

Utatengeneza simu lakini yeye atakupa operating system kwahiyo huwezi kuacha kumtaja
Hana anachotengeneza zaidi ya WIZI.
Wee subiri Tanzania itokee mali yoyote ya asili ya kipekee katika dunia afu uone mmarekani atakavyokuja kuwahamisha kinyama.
 
bila shaka upo kwenye foolish age ,sasa jichangane ujae kwenye mfumo
 
Kwa maneno mengineni kuwa, ambukiza wengine bila kikomo, leta watoto duniani ambao hutawajibika nao na si ajabu ukafa/mkafa ukiwaacha yatima.
 
Ugonjwa wa Ukimwi bado ni ugonjwa hatari na unao tisha duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…