Wana sayansi wamethibitisha pia. Na ile ya kula tende unapofungua mfungo wana sayansi pia wana seems ni vizuri kula kitu kitamu ili kuweka sawa kiwango cha sukari mwilini.Haya ni mafundisho ya mtume muhammad swallahu alyh wasalam toka karne nyingi sana.
Ni sunna kula kwa mkono.
Walahi raha sanaWatoto hamuachiwi sinia pekoe yenu lazima kuwe na kubwa wa kuhakikisha mmekula chakula kwanza. Wengine wakishapewa nyama wana nawa mikono.
Pasi na shaka madame ni muislamu,nahisi upo kwenye campaign processes.Unapotumia mikono kulia chakula, vidole vinatoa enzyme ambayo inasaidia ku activate digestion juice ndani ya tumbo. Unaponawa mikono kuna friendly bacteria ambao hubakia kwenye vidole, hawa ni muhimu kwa mdomo, shingo mpaka tumbo.
Jaribu kupunguza u magharibi na kula kwa kutumia mikono yako hasa ukiwa nyumbani.
Huwa naonekena kama msukuma nikila kwa mkono! Asante ngoja niwatagi!Unapotumia mikono kulia chakula, vidole vinatoa enzyme ambayo inasaidia ku activate digestion juice ndani ya tumbo. Unaponawa mikono kuna friendly bacteria ambao hubakia kwenye vidole, hawa ni muhimu kwa mdomo, shingo mpaka tumbo.
Jaribu kupunguza u magharibi na kula kwa kutumia mikono yako hasa ukiwa nyumbani.
Unapotumia mikono kulia chakula, vidole vinatoa enzyme ambayo inasaidia ku activate digestion juice ndani ya tumbo. Unaponawa mikono kuna friendly bacteria ambao hubakia kwenye vidole, hawa ni muhimu kwa mdomo, shingo mpaka tumbo.
Jaribu kupunguza u magharibi na kula kwa kutumia mikono yako hasa ukiwa nyumbani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilimuona mtu anakula ugali na mlenda kwa uma na kisu.... Nilimshangaa mpaka naye akanishangaa
Hata ikibidi kwa kugawana.Na nyama mnahakikisha wote mmepata