Faida za kula kwa mkono

Faida za kula kwa mkono

Haya ni mafundisho ya mtume muhammad swallahu alyh wasalam toka karne nyingi sana.

Ni sunna kula kwa mkono.
Wana sayansi wamethibitisha pia. Na ile ya kula tende unapofungua mfungo wana sayansi pia wana seems ni vizuri kula kitu kitamu ili kuweka sawa kiwango cha sukari mwilini.
 
Watoto hamuachiwi sinia pekoe yenu lazima kuwe na kubwa wa kuhakikisha mmekula chakula kwanza. Wengine wakishapewa nyama wana nawa mikono.
Walahi raha sana
Nimekumbuka 50 years ago
Asante sana
Ila na mimi nimefuata yale yale
 
Unapotumia mikono kulia chakula, vidole vinatoa enzyme ambayo inasaidia ku activate digestion juice ndani ya tumbo. Unaponawa mikono kuna friendly bacteria ambao hubakia kwenye vidole, hawa ni muhimu kwa mdomo, shingo mpaka tumbo.

Jaribu kupunguza u magharibi na kula kwa kutumia mikono yako hasa ukiwa nyumbani.
Pasi na shaka madame ni muislamu,nahisi upo kwenye campaign processes.
 
Unapotumia mikono kulia chakula, vidole vinatoa enzyme ambayo inasaidia ku activate digestion juice ndani ya tumbo. Unaponawa mikono kuna friendly bacteria ambao hubakia kwenye vidole, hawa ni muhimu kwa mdomo, shingo mpaka tumbo.

Jaribu kupunguza u magharibi na kula kwa kutumia mikono yako hasa ukiwa nyumbani.
Huwa naonekena kama msukuma nikila kwa mkono! Asante ngoja niwatagi!
 
Unapotumia mikono kulia chakula, vidole vinatoa enzyme ambayo inasaidia ku activate digestion juice ndani ya tumbo. Unaponawa mikono kuna friendly bacteria ambao hubakia kwenye vidole, hawa ni muhimu kwa mdomo, shingo mpaka tumbo.

Jaribu kupunguza u magharibi na kula kwa kutumia mikono yako hasa ukiwa nyumbani.


Marekebisho.
Enzyme haitokei vidoleni, ila macho yanapoona na kuhisi umeshika chakula cha baridi au jotojoto ndio mdomo na tumbo hujiandaa kwa kutoa hiyo enzyme (vimeng'enyo").
 
Pamoja na kula kwa mikono lakini wao wamagharibi hawafi haraka kama sisi huku (life expectancy)
 
Back
Top Bottom