kissambivi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 218
- 119
Kwani Kuna shida Gani?JF imevamiwa na walevi sasa
Kila kiumbe kina ulevi wake.Unaweza kukuta weye ni mlevi wa kupenda usaliti au kunywa uji wa mapande.JF imevamiwa na walevi sasa
Ni furaha kulewa na marafiki×2JF imevamiwa na walevi sasa
Usaliti na ulevi wapi na wapi.!!Kila kiumbe kina ulevi wake.Unaweza kukuta weye ni mlevi wa kupenda usaliti au kunywa uji wa mapande.
Unakielewa kiswahili vizuri?Au umeanza kukiandika na kujifunza ukiwa JF?Unaelewa maana ya neno ulevi?Usaliti na ulevi wapi na wapi.!!
Ulikuwa unakunywa nn boss hadi jamii ikaacha kukuheshimu?Mkuu kunywa ila pombe sio nzuri zimenipa matatizo ya kiafya sitayasema hapa coz sijapimwa Bado ila..nahisi ninayo.
Achilia mbali kutoheshimika na jamii
We jamaa utakuwa mwalimu tena wa primary...Unakielewa kiswahili vizuri?Au umeanza kukiandika na kujifunza ukiwa JF?Unaelewa maana ya neno ulevi?
Acha mbwembwe na ubashiri uchwara.Unaelewa maana ya ulevi?We jamaa utakuwa mwalimu tena wa primary...
K vant na Safari bia..almost karibu bia zote nimeshakunywa na vingine vikali...ila baada ya kushika pesa nikabaki kwenye konyagi na k vant...Ulikuwa unakunywa nn boss hadi jamii ikaacha kukuheshimu?
Ulizidisha.Jitahidi uache kabisa au upunguze polepole.Iandae akili.K vant na Safari bia..almost karibu bia zote nimeshakunywa na vingine vikali...ila baada ya kushika pesa nikabaki kwenye konyagi na k vant...
Pole Sana humwagili moyo mkuu kazia maji kwasanaa changanya na K.vant .Mambo yataenda...Mkuu kunywa ila pombe sio nzuri zimenipa matatizo ya kiafya sitayasema hapa coz sijapimwa Bado ila..nahisi ninayo.
Achilia mbali kutoheshimika na jamii
Jamii inajua kwamba kumwagilia moyo ni sehemu ya mahitaji ya mwili wa binadamu wewe wawapi?Ulikuwa unakunywa nn boss hadi jamii ikaacha kukuheshimu?
We jamaa ni muongo knoma halaf 2story twako tuletuleK vant na Safari bia..almost karibu bia zote nimeshakunywa na vingine vikali...ila baada ya kushika pesa nikabaki kwenye konyagi na k vant...
Boss, japokuwa swali halikukulenga wewe lakini nashauri Kuwa makini kabla ya kujibu ili ujiridhishe kuwa unajibu swali lililoulizwa.Jamii inajua kwamba kumwagilia moyo ni sehemu ya mahitaji ya mwili wa binadamu wewe wawapi?