Vi rendra
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 3,271
- 5,617
Huyo teja.Wanywa gongo akikuangalia usoni utafikiri kakesha kwenye msiba anaomboleza...yaan sura inakuwa imeiva na macho kama yametoka kulia!
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanakunywa Gongo wako very smart.
Wana maisha yao wake kwa waume
Wako vizuri mno.
Kama alivyosema mkulu gongo ni kama pombe zingine tu ila haijapimwa.
Halafu malighafi ya kutengenezea Gongo unajua kama ni sukari? Mana usifananishe pombe zingine za ajabu ajabu na Gongo pure mkuu[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app