Mr. Mangi
JF-Expert Member
- Sep 21, 2014
- 1,514
- 768
- Thread starter
- #41
Nitakujibu vizuri endapo utanipa faida tano za kujuwa kutumia silaha zote hizo ulizotaja kwa mwalimu au mwanafunzi wa chuo kikuu. Hii hela iliyotumika kuwapeleka wanafunzi hawa huko je huoni kama ingeweza kurumika katika kuleta faida kubwa zaifi ya hiyo? Hebu tuangalie tena je! Kupelekwa huko jeahini ndio kuwa wazalendo? Hamjaona jeshi likiasi??? Ukakamavu mnaousema pia siuoni kwani wanajeshi wa sasa hawana lolote hata kilometa kadhaa hawapendi kutembea na hata wakiwa na kazi nyingine ni bure tuu. Kama una mtazamo wa kuku kuangalia mwisho unapo kula basi tazama miaka 6 baadae utapata Jibu.
khs hela huu ni uwekezaji wenye faida za muda mrefu, pia kumbuka sisi tuliapa kama wanajeshi wa akiba wa jeshi letu hivyo faida ya kuzijua silaha ni pindi utakapohitajika kulitumikia taifa utumie uelewa huo kulingana na ulichoitiwa uwe ni mwalimu, dokta, mzururaji n.k