Pengn nkupe mfano,Je alie graduate Udsm akapata Gpa ya 4.5 ni sawa na aliehitimu Tia with same same Gpa?Andika vizuri
PengnPengn nkupe mfano,Je alie graduate Udsm akapata Gpa ya 4.5 ni sawa na aliehitimu Tia with same same Gpa?
Akili huna ww..kip uschoelew hapoPengn
nkupe
ndo nini?
Acha ujuhaAkili huna ww..kip uschoelew hapo
Na ww usijifanye mjuaji sn wa kiswahilini kipi kisichofahamika hapo kwa alichokiulizaAcha ujuha
Ndio anaandikaje hivyoNa ww usijifanye mjuaji sn wa kiswahilini kipi kisichofahamika hapo kwa alichokiuliza
Kweli kabisa chuo ni chuo hata madrassa ni chuo.Chuo ni chuo
Utofauti lazima uwepo.ni sawa na kusema aliyesoma Harvard ni sawa na aliyesoma udsm.
Hakika kbsaUtofauti lazima uwepo.ni sawa na kusema aliyesoma Harvard ni sawa na aliyesoma udsm.
So tunawez sema aliesoma Ud anawez kua na dvantage kubwa hata ktk soko la ajira vlevle tofaut na vyuo vingne bla shaka?Hakika kbsa
๐๐๐tukasome qur'aan kbsa au cioKweli kabisa chuo ni chuo hata madrassa ni chuo.
Nashukr kwa kunsaidia maan jamaa anajion kana kwamb ana masters ya kiswanglshNa ww usijifanye mjuaji sn wa kiswahilini kipi kisichofahamika hapo kwa alichokiuliza
๐ Umenikumbusha mara ya kwanza nafika Dar, nimetulia mtaani kuna mmama anamwambia mwanae wa miaka kama 5 hv mbona leo hujaenda chuo? Mh mm nikabaki kushangaa mambo yanaendaje hapa ๐Kweli kabisa chuo ni chuo hata madrassa ni chuo.
Kiaje na wote wanafanya usahili?So tunawez sema aliesoma Ud anawez kua na dvantage kubwa hata ktk soko la ajira vlevle tofaut na vyuo vingne bla shaka?
Unamaanisha nini maana mtu mwenye GPA hiyo TIA au IFM kwenye Account yuko vizuri kuliko wa UDSM Maana hizo ni Taasisi zimespecialize kwenye fedha na Uhasibu ah hujui ulichomaanisha,Pengn nkupe mfano,Je alie graduate Udsm akapata Gpa ya 4.5 ni sawa na aliehitimu Tia with same same Gpa?