Faida za kutumia sabuni aina ya dove ni zipi?

Faida za kutumia sabuni aina ya dove ni zipi?

Nilikuwa natumia Dove sana ngozi yangu ilikuwa muruwa sasa nikasema acha nibadilishe sabuni.

Baada ya miezi 6 nimerudia kutumia Dove tena hapa ndio nimeijua samani ya hii sabuni ya Dove sitorudia kosa la kutumia sabuni nyengine zaidi ya Dove na Total tu.

Halafu kuwa makini unapo nunua sabuni na lotion kuna watu wanatengeneza fake kutoka China wanaleta Tanzania ninao ushahidi wa hili jambo.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Nilikuwa natumia Dove sana ngozi yangu ilikuwa muruwa sasa nikasema acha nibadilishe sabuni. Baada ya miezi 6 nimerudia kutumia Dove tena hapa ndio nimeijua samani ya hii sabuni ya Dove sitorudia kosa la kutumia sabuni nyengine zaidi ya Dove na Total tu. Halafu kuwa makini unapo nunua sabuni na lotion kuna watu wanatengeneza fake kutoka China wanaleta Tanzania ninao ushahidi wa hili jambo.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
Thanks... Hapo kutofautisha kati ya fake na original ndiyo kazi sasa
 
Nilikuwa natumia Dove sana ngozi yangu ilikuwa muruwa sasa nikasema acha nibadilishe sabuni. Baada ya miezi 6 nimerudia kutumia Dove tena hapa ndio nimeijua samani ya hii sabuni ya Dove sitorudia kosa la kutumia sabuni nyengine zaidi ya Dove na Total tu. Halafu kuwa makini unapo nunua sabuni na lotion kuna watu wanatengeneza fake kutoka China wanaleta Tanzania ninao ushahidi wa hili jambo.


Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Tofauti ni zip? Picha kama hutojali
 
Sielewi kwa nini!
Na hapa kwetu hamna hata sabuni ya maana yaani ukiondoa Dove,Geisha na dettol japokuwa zimeshachakachuliwa sana, sijui sabuni gani ya kuogea inabaki!
hakuna kwa kweli..
naona labda Imperial walau
 
Back
Top Bottom