Faida za kutumia sabuni aina ya dove ni zipi?

Faida za kutumia sabuni aina ya dove ni zipi?

Ahsante sana.

Namalizia Nivea for men, nikitoka tu NIVEA nahamia products za Dove.

Nina deodorant yao nilinunua kkoo ni nzur, nzuri kweli kweli. Nimeona hawa jamaa wapo serious na products zao.
Kuna brands nyingi sana za bidhaa tumezoea tu Dove na Nivea. Mie natumia brands tofauti tofauti na ni nzuri sana baadhi ni hizi kwenye picha. Nyingi nilizijulia Germany wakati nasoma na nikazikuta huku bongo. Hiyo shower jelly ya carex au lifebuoy zinanukia sana ukiogea bafu linabaki na harufu za kimamtoni
20230311_170621.jpg
20230311_170327.jpg
20230311_170552.jpg
20230311_170357.jpg
 

Attachments

  • 20230311_170552.jpg
    20230311_170552.jpg
    48.2 KB · Views: 44
Kwa Bongo duka lenye bidhaa za urembo original na nzuri nenda Home Collection Masaki Branch. Wale jamaa wana kila kitu kutoka bara Ulaya na wazungu wanaoishi Dar majority wanachukua bidhaa pale. Ni kama huko Ulaya tu

Tofauti yetu na wao ni Bei tu
 
Kuna brands nyingi sana za bidhaa tumezoea tu Dove na Nivea. Mie natumia brands tofauti tofauti na ni nzuri sana baadhi ni hizi kwenye picha. Nyingi nilizijulia Germany wakati nasoma na nikazikuta huku bongo. Hiyo shower jelly ya carex au lifebuoy zinanukia sana ukiogea bafu linabaki na harufu za kimamtoniView attachment 2546233View attachment 2546234View attachment 2546235View attachment 2546238
Iyo spray ya dove ni Bei gan ,na vip upatikanaji wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwana Dar kuna maduka yana vitu vyote vinavyopatikana Ulaya. Mie nanunua vitu Home Collection Masaki wale wahindi wamerahisisha sana maisha
Na kuna mhindi mwingine amefungua duka la vipodozi og kutokea uingereza pale kariakoo mtaa wa Amani na Mvita
 
Sabuni nyingine inaitwa Pears nayo ni nzuri na inapatikana maduka mengi hapo Dar
 
Yupo ila nitaangalia jina lake na kushare hapa.....ila kwa wale wazoefu wa kariakoo ile ya kukaribia fire,duka lipo pale ilipokuwa zamani Mussa Telecomunication
poa itapendeza watu wakipajua nchi imeingia uchumi wa kati
 
Kuna brands nyingi sana za bidhaa tumezoea tu Dove na Nivea. Mie natumia brands tofauti tofauti na ni nzuri sana baadhi ni hizi kwenye picha. Nyingi nilizijulia Germany wakati nasoma na nikazikuta huku bongo. Hiyo shower jelly ya carex au lifebuoy zinanukia sana ukiogea bafu linabaki na harufu za kimamtoniView attachment 2546233View attachment 2546234View attachment 2546235View attachment 2546238
Hawapo mitandao ya kijamii?na bei zao zikoje,nilikuwa nataka hii
IMG_20230317_120704.jpg
 
Back
Top Bottom