Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Mlinzi Mkuu wa Wakiristo duniani koteNi kweli marekani imesababisha maafa na hasara katika angle mbalimbali za dunia na wote tunajua lakini pia kila nchi ina mazuri na mabaya yake hili hakuna wa kupinga
Sasa leo tuwape maua yao hawa marekani kwa gunduzi zilizofanywa kuisaidia dunia
Mimi nitaanza hapaa
1. Internet kagundua yeye leo hii tunaconnect bara kwa bara nchi kwa nchi
2. Personal computer PC
3. GPSS
4.Smartphone na OS (iOS, Android)
5.Uchunguzi wa Anga (NASA)
6.Mitandao ya Kijamii (Facebook, Twitter, YouTube)
7.Huduma za Mtandaoni (Cloud Computing)
haya mdau shuka na gunduzi za marekani wasiozijua wazijue
Imefanya dunia iwe na amani. Dunia isiyo na kiranja au yenye viranja wengi ni hatari sana. Zamani haikuwa rahisi mwanaume azaliwe na azeeke bila kupigana vita.
Kote huko kuna dini sijui hata unaongea nini ?.Kama dunia ingetawaliwa na nchi kama china,urusi na korea ya kazkazini basi hata dini zisingekuwepo duniani.
Ni Kweli kabisa. Hata Libya na Iraq kuna Amani Sana sasa hivi.Imefanya dunia iwe na amani. Dunia isiyo na kiranja au yenye viranja wengi ni hatari sana. Zamani haikuwa rahisi mwanaume azaliwe na azeeke bila kupigana vita.
Hapana. Sema tu ni kiboko cha magaidi (ambao ktk nchi zenye waislamu wachache wanasema wanatetea dini ya allah, na ktk nchi za kiislamu wanauana waislamu kwa waislamu kila mmoja akitaja jina la mungu wao) lakini siyo mlinzi wa wakristo duniani au mimi sijui wakiristo ni akina nani mkuu.Mlinzi Mkuu wa Wakiristo duniani kote
Mkuuu uongozi ni GREECE kwa kina Aristotle na ma thinkers wakubwa sema wale ma bwana awasemwi tu wanaakili sanaHata hii huduma ya JF hupitia Marekani pia. Asilimia 70 ya huduma za intaneti duniani hupitia Marekani.
Kama upo Mahaha, Dumila, Sumve, na Biharamulo na unakunywa Coca Cola au Pepsi au vinywaji vingine vinavyotengenezwa na hayo makampuni, ishukuru Marekani.
Kama unapenda Bongo Fleva, Afrobeats, au Amapiano, basi ishukuru hip hop [iliyovumbuliwa na Foundational Black Americans] ambayo ina ushawishi mkubwa sana katika hizo tasnia.
Angalia tu jinsi wanamuziki wake wanavyovaa, swaga zao, namna waongeavyo, na utagundua kuwa Wamarekani weusi wana ushawishi mkubwa sana.
Hata mfumo wa uongozaji wa urais, ishukuriwe Marekani maana huko ndiko ulikoanzia.
Kobaz wakusikie sasaAnashirikiana vizuri na swahiba wake Israel kupambana na ugaidi na kuifanya dunia iwe salama
Usa ndo ameleta internetKuleta internet alitisha sana
YaahUsa ndo ameleta internet
Kote huko kuna dini sijui hata unaongea nini ?.
Huna akili
Mimi nimesema hivyo wewe mwenye akili sema lako.Kote huko kuna dini sijui hata unaongea nini ?.
Huna akili
Musk alikuja hapo fala hana lolote leo ni #1! Haya kwenu wakuu kesho tuseme #1 Kiranga mwenye asili ya Afrika Mashariki.Marekani imejenga model ya nchi ambayo mtu yeyote anaweza kuwa yeyote, madaraja yapo ila hayaheshimiwi.
Si kama Uingereza au India ambako ukizaliwa tu unajulikana sehemu yako ni wapi na hutakiwi kuondoka hapo.
Siyo rahisi kihivyo, bado Marekani kuna white privilege.Musk alikuja hapo fala hana lolote leo ni #1! Haya kwenu wakuu kesho tuseme #1 Kiranga mwenye asili ya Afrika Mashariki.
Tumeaminishwa ubaguzi wa ngozi ulishakomeshwa huko.Siyo rahisi kihivyo, bado Marekani kuna white privilege.